Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Halima Mdee ndio mbunge wa Kawe huyo mwingine aendelee kutoa filamu zake za pilau.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kuna Wapiga Kura ambao aina yao ya 'Maamuzi' wakati wa Kupiga Kura huwa naipenda mno ni wa Jimbo la Kawe. Yaani ukiwaona ni kama vile 'Malofa' fulani na unaweza ukadhani kuwa wapo na Wewe kabisa ila kumbe ndani ya Mioyo yao wanasubiri tu Siku ya 'Hukumu' ifike nao 'wamanyooshe' Mtu kama kawaida yao.
Kuna Mtu anadhani anachukiwa tu na Wapiga Kura wa Kawe ila 'kasahau' kuwa hata Wenzake wa Tanganyika Packers na Mwenge hawamtaki sana.
Kwa sera hizi nilizozisikia kutoka kwa Porn Master Gawajiboy kwamba ataleta meri ya uvuvi na kuajiri vijana wote wa kawe imenikosha sana aiseee...
Tunajua unampenda sana Halima Mdee lakini kamwe hatoshinda kabisa turudi hapa october kupeana feedback
Hili kanisa hata banda langu la kufugia nguruwe lina ubora kuliko hilo hapo anapotumia kuwapigia hela wafuasi wake kila JumapiliView attachment 1565757
Ndugu mwenye jina kama dawa ya ...., uzi wako unanipa faraja. Mimi ni a Paying member wa CCM, sik mpiga debe, tena ni mlipiaji kwa miaka zaidi ya 20 sasa.Kama kuna Wapiga Kura ambao aina yao ya 'Maamuzi' wakati wa Kupiga Kura huwa naipenda mno ni wa Jimbo la Kawe. Yaani ukiwaona ni kama vile 'Malofa' fulani na unaweza ukadhani kuwa wapo na Wewe kabisa ila kumbe ndani ya Mioyo yao wanasubiri tu Siku ya 'Hukumu' ifike nao 'wamanyooshe' Mtu kama kawaida yao.
Kuna Mtu anadhani anachukiwa tu na Wapiga Kura wa Kawe ila 'kasahau' kuwa hata Wenzake wa Tanganyika Packers na Mwenge hawamtaki sana.
Halima harudi bungeni aisee, hata mfanyaje
Kwa niliyoyaona na kuyasikia kata ya msasani,mikocheni na kawe yenyewe nadiriki kusema mleta mada uko sahihi kabisaKama kuna Wapiga Kura ambao aina yao ya 'Maamuzi' wakati wa Kupiga Kura huwa naipenda mno ni wa Jimbo la Kawe. Yaani ukiwaona ni kama vile 'Malofa' fulani na unaweza ukadhani kuwa wapo na Wewe kabisa ila kumbe ndani ya Mioyo yao wanasubiri tu Siku ya 'Hukumu' ifike nao 'wamanyooshe' Mtu kama kawaida yao.
Kuna Mtu anadhani anachukiwa tu na Wapiga Kura wa Kawe ila 'kasahau' kuwa hata Wenzake wa Tanganyika Packers na Mwenge hawamtaki sana.
'Meri' ndiyo Kiswahili cha wapi hiki?
Tunajua unampenda sana Halima Mdee lakini kamwe hatoshinda kabisa turudi hapa october kupeana feedback
Unakauli chafu, yaani unamtabilia mwenzio kifo kisa tuu mambo ya siasa, kumbuka kunamaisha baada ya siasa. Tuongelee maswala ya siasa habari za vifo tuweke pembeniiii.Kama kuna Wapiga Kura ambao aina yao ya 'Maamuzi' wakati wa Kupiga Kura huwa naipenda mno ni wa Jimbo la Kawe. Yaani ukiwaona ni kama vile 'Malofa' fulani na unaweza ukadhani kuwa wapo na Wewe kabisa ila kumbe ndani ya Mioyo yao wanasubiri tu Siku ya 'Hukumu' ifike nao 'wamanyooshe' Mtu kama kawaida yao.
Kuna Mtu anadhani anachukiwa tu na Wapiga Kura wa Kawe ila 'kasahau' kuwa hata Wenzake wa Tanganyika Packers na Mwenge hawamtaki sana.
Mbona Mimi ni muislam, lakini nitamchagua gwajima? Acha kutuongelea wote. Jisemee weweSisi waislamu hatutaki hata kidogo kusikia jina la gwajima.......
Kura zote kwa Halima Mdee
Na wewe umeamini🤧🤧Kwa sera hizi nilizozisikia kutoka kwa Porn Master Gawajiboy kwamba ataleta meri ya uvuvi na kuajiri vijana wote wa kawe imenikosha sana aiseee...