GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Ameweka akiba viti maalumu, inamaana analijua hiloHalima harudu bungeni aisee, hata mfanyaje
Haswaaa!!!Halima harudu bungeni aisee, hata mfanyaje
Aka paue kwanza kanisa linalo vujia waumini wakati wa mvuaKwa sera hizi nilizozisikia kutoka kwa Porn Master Gawajiboy kwamba ataleta meri ya uvuvi na kuajiri vijana wote wa kawe imenikosha sana aiseee...
Kwa sera hizi nilizozisikia kutoka kwa Porn Master Gawajiboy kwamba ataleta meri ya uvuvi na kuajiri vijana wote wa kawe imenikosha sana aiseee...
Hili kanisa hata banda langu la kufugia nguruwe lina ubora kuliko hilo hapo anapotumia kuwapigia hela wafuasi wake kila JumapiliAka paue kwanza kanisa linalo vujia waumini wakati wa mvua
'Meri' ndiyo Kiswahili cha wapi hiki?
Kwa jinsi anavyowadhalilisha wafuasi wake haendi mbinguni huyu tapeliAmeshindwa kujenga kanisa lake hapo ubungo limebaki linaning'inia juu juu mibati michakavu ndo ataijenga kawe. Hebu acheni utani.
Kabla hajajenga kanisa?Kwa sera hizi nilizozisikia kutoka kwa Porn Master Gawajiboy kwamba ataleta meri ya uvuvi na kuajiri vijana wote wa kawe imenikosha sana aiseee...
Aaah mkuu, bado yumo humu?Hili kanisa hata banda langu la kufugia nguruwe lina ubora kuliko hilo hapo anapotumia kuwapigia hela wafuasi wake kila JumapiliView attachment 1565757