Uchaguzi 2020 Kuna Mtu 'ameshaaminishwa' kabisa tayari ni Mbunge wa Kawe, ila kuna uwezekano Siku ya Matokeo 'akafa' pia

Kwa sera hizi nilizozisikia kutoka kwa Porn Master Gawajiboy kwamba ataleta meri ya uvuvi na kuajiri vijana wote wa kawe imenikosha sana aiseee...
Niliona huo mkutano na mahudhurio hafifu sana na wana CCM wakiwa na nyuso za kuchoka na anachozungumza. CCM tunaojiamini hatuyumbishwi kamwe.
 
Kilio na kusaga meno hapo lumumba 😭 😭 😱
 
Nawahakikishia wana Kawe yafuatayo;
1. Mwana Kawe atakaekufa nitamfufua!
2. Yeyote atakaeugua Kawe nitamponyesha!
3. Viwete wote Kawe nitawaponyesha!
4. wagumba wote Kawe watapata watoto!
Chezeni na tapeli mtayaona šŸ˜€
 
Mbona Mimi ni muislam, lakini nitamchagua gwajima? Acha kutuongelea wote. Jisemee wewe
Hakuna muislam juha hivo mkuu.... Alafu ww haupo kawe......
Gwajima ni hatari sn kwa taifa kwa sababu zifuatazo....
. Ni muongo
. Ni tapeli
. Ni mcheza porn
. Ni mdini
. Ni mkabila.....

Itakua ni makosa makubwa sn na Mungu hawezi kukubali mtu aliyeonyesha ushetani kwa uwazi kabisa awe kiongozi wa Wananchi kisiasa...
Yy aendelee kuwatapeli waumini wake basi inatosha
 
Halima ni kuongea tu sana ila mambo ya maendeleo hamna kitu, mi huyu kubenea ndo muhuni kabisa
 
Niliona huo mkutano na mahudhurio hafifu sana na wana CCM wakiwa na nyuso za kuchoka na anachozungumza. CCM tunaojiamini hatuyumbishwi kamwe.
Na hao wachache walioenda ni kwa ajiri ya roll call kuonesha wapo pamoja na kuchukua tule tuposho lkn kiuhakisia hakuna wa kumpigia kura gwajipornboy
 
Kwa sera hizi nilizozisikia kutoka kwa Porn Master Gawajiboy kwamba ataleta meri ya uvuvi na kuajiri vijana wote wa kawe imenikosha sana aiseee...
Kwa sasa Gwajima a.k.a mla kondoo mla wafuasi wake yupo tayari kuahidi hata Bandari kawe ili mradi apate kulipora jimbo la kawe kwa njia haramu za kishetani
 
Kwa sasa Gwajima a.k.a mla kondoo mla wafuasi wake yupo tayari kuahidi hata Bandari kawe ili mradi apate kulipora jimbo la kawe kwa njia haramu za kishetani
Haitawezekana...... Halima km Halima ni mtu na nusu
 
Halima ni kuongea tu sana ila mambo ya maendeleo hamna kitu, mi huyu kubenea ndo muhuni kabisa
Mbunge haleti maendeleo live yeye hupeleka mapendekezo Bungeni na halimashauri na wao ndiyo watekelezaji, Halima Mdee Bungeni hufanya kazi kubwa hasinzii hagongi meza hovyo hovyo kwa ndiyo kama wabunge wana kama wabunge wa CCM kuna mapungufu ya maendeleo itakuwa ni hujuma za makusudi kumkomoa zilizokuwa zikifanywa na Bashite meya na mkurugenziccm wa Kinondoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…