Uchaguzi 2020 Kuna Mtu 'ameshaaminishwa' kabisa tayari ni Mbunge wa Kawe, ila kuna uwezekano Siku ya Matokeo 'akafa' pia

Kuna siku aliongea akiwa jukwaani kwamba ikibidi mtu achechemee, au awe chochote, CCM inachukua jimbo.

Hapo unadhani alimaanisha nini?
Yule naamini Makonda hakumsingizia kwenye mambo ya kuuza sembe kweli, na ndo wakati ule akawa na Jeuri ya kusema atanunua Boeing na Treni😀
 
Anajaribu kutudanganya wananchi wa jimbo la KAWE kwamba atanunua meli na kuajiri vijana wetu wakati ameshindwa kujenga kanisa na badala yake anatumia uwanja wa Tanganyika packers kutapeli watu .
 
Anajaribu kutudanganya wananchi wa jimbo la KAWE kwamba atanunua meli na kuajiri vijana wetu wakati ameshindwa kujenga kanisa na badala yake anatumia uwanja wa Tanganyika packers kutapeli watu .
Shiriki vita ya kupiga vita usagaji Kawe

Kawe bila usagaji inawezekana

Nini atakubariki kushiriki hii vita
 
Mimi kama mkaazi na mpiga kura Jimbo la Kawe kura yangu,Wake zangu wanne na Wadada wa kazi wanne na Vijana wangu waliofikisha umri wa kupiga kura 13 tutampigia kura kwa kishindo Askofu Mkuu Gwajima kwasababu zifuatazo.

Mosi atageuza Misikiti na Madrassa kuwa Sunday School.Hii itasaidia kupunguza Msogangamano wa watoto wetu wa Jimbo la Kawe.

Pili Picha za kale kamchezo ketu pendwa zitaruhusiwa rasmi katika jimbo la Kawe.

Tatu atatuhakikishia Sisi wakaazi wa kanda pendwa kupata kwa urahisi viwanja katika Jimbo la Kawe.

Nne Cardinal Pengo ataisoma number na waumini wake lazima watutii na kutuheshimu,

Kawe ni mwendo wa kupiga chafya tu hakuna mwingine zaidi ya Askofu Mfufuaji wafu.
 
Halima ni kuongea tu sana ila mambo ya maendeleo hamna kitu, mi huyu kubenea ndo muhuni kabisa
Maendeleo kivipi yaani au unazungumzia zile zama za mbunge kusema nichagueni mimi nitaleta barabara au nitaleta maji ooh noo hizo zama zimepita huku kawe. Sera hizo zinaeleweka kwingine labda hukooo matembele ya pili. Mbunge hakusanyi kodi kwahiyo hatuzungumzii kabisa Halima hakuleta maendeleo
 
Kazi ya mbunge ni nn
 

Nabashiri huyo mtu ni huyu hapa.
Tumshauri tu arudi akalishe kondoo ambao Mungu amempa kuwalisha kwani watapotea.
Ningekuwa mshirika wa huyu mtu, nisingetoa sadaka wala michango kanisani kwani anaitumia vibaya badala ya kuendeleza kanisa na kuwafikia wasiofikiwa, yeye anatumia mapato ya kanisa kwenye kampeni.
 
Gwajima japo ana viashilia vyote vya utahil lakini nadhani yeye na nyinyiemu yake wana mikakati mbadala na sio kutegemea kura za wana kawe
Tutawafanya kama alivyopendekeza Maalim kule visiwani.
 
Chama chako kimeona kimepata dume. Lets wait and see
 
Atakayempa kura huyu tapeli atakuwa msukule. Yaani ununue treni bila kujenga reli kwanza? Halafu misukule yake inarukaruka kumshangilia kama manyani vile.
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…