othuman dan fodio
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 6,850
- 11,033
Mil250 ndio unashangaa wkt kuna watu wana gari za bilioni kwenda mbele achilia mbali za mili400Huko Coco Beach, sio mara moja, kuna mwamba anapita pita na Hummer yake ya umeme namba E full kipupwe kama mufindi haigongi.
View attachment 3231977
Hana mbwembwe hajaweka personalized number plate.
View attachment 3231980
Ikumbukwe chuma inauzwa Tsh Mil 250 kwenda juu, hapo bila usafiri wa kuileta Bongo wala Ushuru wa TRA (ambao utakua approximately Mil 100+)!
View attachment 3231982
Hummer EV ina range ya kuanzia kilometers 450 kwenda juu kutegemea na model na ukubwa wa battery.
Kweli kuna magari,mikoko na vipando.Ukimuona tena msalimie sana kwa niaba yangu mkuu.Huko Coco Beach, sio mara moja, kuna mwamba anapita pita na Hummer yake ya umeme namba E full kipupwe kama mufindi haigongi.
View attachment 3231977
Hana mbwembwe hajaweka personalized number plate.
View attachment 3231980
Ikumbukwe chuma inauzwa Tsh Mil 250 kwenda juu, hapo bila usafiri wa kuileta Bongo wala Ushuru wa TRA (ambao utakua approximately Mil 100+)!
View attachment 3231982
Hummer EV ina range ya kuanzia kilometers 450 kwenda juu kutegemea na model na ukubwa wa battery.
Kuvimba kama vile katununua na sisi!Jamaa wala havimbi ila kuna watu wana spacio ila mvimbo wake sasa.
Anashangaa kulingana na kipato chake,we hushangai!?Mil250 ndio unashangaa wkt kuna watu wana gari za bilioni kwenda mbele achilia mbali za mili400
Kwanini wanaziuza Sasa gari Kali hivyoPia kuna Hummer H3 na Cadillac Escalade ESV zote zipo sokoni.
Washua walikuwa wanatumia, gari zipo vizuri sana.
Hii comment yako ni nzito sana ndugu yangu...Kama kuna njia umejitokeza kwako ya kuukwepa umaskini usijiulize mara mbili hata kama haramu!
Hamna haramu inayo zidi umaskini
Utu uzingatiwe
Hapa waliosoma physics na maths ndio wame elewa.Kwa gari kama Hummer, ambalo ni kubwa na zito, halipo efficiency sana.
Hii ina efficiency ya 2.6 km kwa kWh. Yaani unit moja ya umeme inaenda kilometa 2.6 kwahiyo kwa kilometa 450 utatakiwa uwe na unit 173 ambazo ni kama Tsh Elfu 60.
Ila gari kama Tesla model 3 ina efficiency ya 7-8 km kwa Kwh. Yaani unit moja ya umeme unaenda kilometa 7-8.
Hii inatokana na uzito na drag coefficient, kwahiyo kwa izo kilometa 450 ukiwa na Tesla utatakiwa utumie unit 56 ambazo ni kama Tsh 20,000/=
Efficiency ni kama unavyosema fuel consumption ya gari.
Nje ⁴ya mada:TRA wanatoza ushuru kwenye zilizotumika nje ya nchi “used motor vehicle valuation system”
Gari mpya kwa maana haijawahi kusajiliwa tangu kutengenezwa hazina mfumo huo wa kodi bali hulipia baadhi ya services levy za bandarini,
Electric Vehicle Cars ni Tax exempted iwe mpya au used utalipia port charges tu, namaanishi zile gharama za kutoa kwenye meli na parking
mfumo wa kukadiria kodi unatumika kwa gari used tu
Mimi naishi huku najua maisha yetuHahahaha nilikua nakutaka na RR ya kijana wa Bakhressa uko, kumbe inaenda uwanjani Chamazi.
Tufanye kazi tu my friend, hakuna fahari yoyote katika umaskini.Hii comment yako ni nzito sana ndugu yangu...
Nimeisoma mara mbili mbili...
Ahsante
Unaogopa nini kusema kwamba kodi hutumika kununulia wachezaji wa SBS & FG na uendeshaji mzima wa hizo timu?Asilimia zaidi ya 50% Kodi inayokusanywa inaingia kwenye mifuko ya watu binafsi
Kabisa...Tufanye kazi tu my friend, hakuna fahari yoyote katika umaskini.
Mkuu kwa Tanzania, gari ya umeme ni kama ipi??Kwa gari kama Hummer, ambalo ni kubwa na zito, halipo efficiency sana.
Hii ina efficiency ya 2.6 km kwa kWh. Yaani unit moja ya umeme inaenda kilometa 2.6 kwahiyo kwa kilometa 450 utatakiwa uwe na unit 173 ambazo ni kama Tsh Elfu 60.
Ila gari kama Tesla model 3 ina efficiency ya 7-8 km kwa Kwh. Yaani unit moja ya umeme unaenda kilometa 7-8.
Hii inatokana na uzito na drag coefficient, kwahiyo kwa izo kilometa 450 ukiwa na Tesla utatakiwa utumie unit 56 ambazo ni kama Tsh 20,000/=
Efficiency ni kama unavyosema fuel consumption ya gari.
JF kuna visorokwinyo sana. Kama ungeleta uzi na kusema kuna jamaa umeona akunyanyaswa na mke wake, au amekamatika kwa mchepuko wake. Watu wangekuwa wanakupa pole humu wakidai huyu jamaa ni wewe ila unajifanya ni third part ukileta story za mwingine humu ili kupata ushauri.Huko Coco Beach, sio mara moja, kuna mwamba anapita pita na Hummer yake ya umeme namba E full kipupwe kama mufindi haigongi.
View attachment 3231977
Hana mbwembwe hajaweka personalized number plate.
View attachment 3231980
Ikumbukwe chuma inauzwa Tsh Mil 250 kwenda juu, hapo bila usafiri wa kuileta Bongo wala Ushuru wa TRA (ambao utakua approximately Mil 100+)!
View attachment 3231982
Hummer EV ina range ya kuanzia kilometers 450 kwenda juu kutegemea na model na ukubwa wa battery.
Kwamba ukileta gari jipya 0km, utalipia port chargea na wharfage tu?TRA wanatoza ushuru kwenye zilizotumika nje ya nchi “used motor vehicle valuation system”
Gari mpya kwa maana haijawahi kusajiliwa tangu kutengenezwa hazina mfumo huo wa kodi bali hulipia baadhi ya services levy za bandarini,
Electric Vehicle Cars ni Tax exempted iwe mpya au used utalipia port charges tu, namaanishi zile gharama za kutoa kwenye meli na parking
mfumo wa kukadiria kodi unatumika kwa gari used tu
Ukikosoa kumbuka kuleta na calculation za tax za NEW CARKwamba ukileta gari jipya 0km, utalipia port chargea na wharfage tu?
Haupo serious