Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Wewe usioe. Ahahahaha utatafuta lawama kwa ndugu.Daah mimi ninayependa kurudi home saa 10 chap baada ya job, nikipata mke wa makelele itakuwaje sijui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe usioe. Ahahahaha utatafuta lawama kwa ndugu.Daah mimi ninayependa kurudi home saa 10 chap baada ya job, nikipata mke wa makelele itakuwaje sijui
Tuacheni...pole tunajua unasoma thread ila unalala na mkeo mzungu wa nne yaani mnalala kama kaka na dada pole si ulitaka ndoa maisha ndio hayo wengine mnanyimwa mpaka mke analala na track na jeans na ww mwanaume unamuangalia huna cha kufanya ni.ubwge
Mi natania mwaya mie nimeshampata yule niliyemtaka hana kasoro namshukuru Mungu kwa hiloomimi sitak ndoa
😂 maisha ya ndoa yanahitaji ujizime data kweli kweli.Mwingine nipo nimemuacha Bar muda sio mrefu anasema wife katumia Hela yake yote kulipa kwenye kikundi alikuwa anadiwa.
Anasema wife kajieleza lkn jamaa hajamuelewa ameona aje anywe kwanza ndo arudi. Naona hata mzungu wa nne hapa haupo Kuna mmoja atalala jikoni ama sebreni
Umemshauri jambo la kheri kwakua mie pia nimtu. Wakuwahi kurudi hom Ila naishia kufika kwenye mabanda ya kuku na mbuzi kufanya usafi nakulisha kuku siwezi kukaaa ata seblen! Hawa viumbe wanakeraa sanaWewe usioe. Ahahahaha utatafuta lawama kwa ndugu.
Tunatamani kuingia ila tunaogopa pia..Umemshauri jambo la kheri kwakua mie pia nimtu. Wakuwahi kurudi hom Ila naishia kufika kwenye mabanda ya kuku na mbuzi kufanya usafi nakulisha kuku siwezi kukaaa ata seblen! Hawa viumbe wanakeraa sana
Haiepukiki kuingia Ila mtangulize mungu napia akili zako ziwe sawa vngnevyo yule jamaa wa magunia yamkaaa ataendelea kupata wafuasiTunatamani kuingia ila tunaogopa pia..
tumewaacha mda tuTuacheni...
ila weww utakuwa unakasoroMi natania mwaya mie nimeshampata yule niliyemtaka hana kasoro namshukuru Mungu kwa hiloo
hatar sanaMwingine asubuhi hii anaenda kazini na mahasira jana kakutana Meseji katika Simu ya Mkewe..... Mke anamsifia Jamaa anajua kuzagakua
history ndefuKwani ilikuaje wakafikia huko?
Kwake sina kwako ndio ninayoila weww utakuwa unakasoro
ahahah unajua akikutana na mchepuko wake anakusemaje?Kwake sina kwako ndio ninayo
Amin Amin nakwambiaDaah mimi ninayependa kurudi home saa 10 chap baada ya job, nikipata mke wa makelele itakuwaje sijui
Ukioa mmeru atakuwa anakufukuza ukirudi home mapema. Wao wanajua mwanaume anarudi home saa tatu usiku kwenda mbeleDaah mimi ninayependa kurudi home saa 10 chap baada ya job, nikipata mke wa makelele itakuwaje sijui
Hadi tendo?Kwenye ndoa huwezi ukapata kila kitu,mengine unapotezea