Kuna Mtu kila siku anakuja kujisaidia pembeni ya Nyumba yangu

Kuna Mtu kila siku anakuja kujisaidia pembeni ya Nyumba yangu

Nani kakuambia kuwa ni ushirikina.

Mbona kikanuni ushirikina wa hivyo utakuwa hatari kwa mfanyaji wake. Maana anaacha sehemu ya DNA zake eneo la tukio. Ni kama jambazi akavamie mahali ili aache kitambulisho kwa makusudi HAILETI MANTIKI!?🤯

Tafuta sababu nyingine kama bifu au mengineyo ila uchawi hapana. Utakuwa uchawi wa kiboya sana. Maana kulogwa back ni sekunde tu, too risky of a strategy.


Kweli kabisa kajichanganya acha nimuangamize mkuu
 
Mimi naenda kumtafuta ktk rada maana yeye hufanya hili jambo usiku mnene.
Kwa point hii

Nakuhakikishia katika hao watu watatubuliowahi kuwahisihisi hapo mtaani kwako. Utaenda kumuona mmojawapo

Tufanye jaribio la kitafiti. Funga kamera na tumia kwenye 'rada'. Ukishapata majibu ya rada nenda kalinganishe na ya kamera. Jitungie ka-Single Blind Experimental Study
 
Wakuu, kuna mtu yeye huwa anakuja kujisaidia pembeni ya Nyumba yangu.

Najua huyu anafanya ushirikina Ila nimwambie tu ntampoteza vibaya Sana.
Mkuu usijiunge na genge la Mafwele.

Mripoti polisi huyo mshenzi
 
Nimetoa tahadhari kwa watu wanaofanya hivi kutokana na masharti ya waganga.
Chukua hayo mavi kayatie kwenye kichuguu.
Hakikisha yameingia ndani na kuliwa na mchwa ili hata akija kukuomba msamaha iwe vigumu kwako kwenda kuyatoa.
Atakua anajinyea popote akiwa Hana habari.
 
Back
Top Bottom