Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Mwaga chumvi na upupu ya mawe awashwe makalioWakuu, kuna mtu yeye huwa anakuja kujisaidia pembeni ya Nyumba yangu.
Najua huyu anafanya ushirikina Ila nimwambie tu ntampoteza vibaya Sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwaga chumvi na upupu ya mawe awashwe makalioWakuu, kuna mtu yeye huwa anakuja kujisaidia pembeni ya Nyumba yangu.
Najua huyu anafanya ushirikina Ila nimwambie tu ntampoteza vibaya Sana.
Kama unajua pakumpeleka basi haina haja ya maigizo. Mshughulikie ipaswavyo.Mimi sitomtisha Ila ntampoteza
Maana kajichanganya mwenyewe.
Nani kakuambia kuwa ni ushirikina.
Mbona kikanuni ushirikina wa hivyo utakuwa hatari kwa mfanyaji wake. Maana anaacha sehemu ya DNA zake eneo la tukio. Ni kama jambazi akavamie mahali ili aache kitambulisho kwa makusudi HAILETI MANTIKI!?🤯
Tafuta sababu nyingine kama bifu au mengineyo ila uchawi hapana. Utakuwa uchawi wa kiboya sana. Maana kulogwa back ni sekunde tu, too risky of a strategy.
Unamchokoza kipenzi cha mamaMara pap, kumbe ni kada mtiifu Lucas Mwashambwa , unamkuta na shati lake la CCM kachutama anashusha mzigo.
Mwaga chumvi na upupu ya mawe awashwe makalio
Hakawii kutoa machozi ya furaha😂Unamchokoza kipenzi cha mama
Kwa point hiiMimi naenda kumtafuta ktk rada maana yeye hufanya hili jambo usiku mnene.
Kama unajua pakumpeleka basi haina haja ya maigizo. Mshughulikie ipaswavyo.
Unamtia kichaa cha kula mashonde yake mwenyewe.
Kumradhi, kumanuwa ndio nini mkuu? 😂Mkuu..funga CCTV camera 📸..utamkamata akiwa ame manuwa makalio picha ulete mrejesho
CCTV camera?CCM wataitoa.Mkuu..funga CCTV camera 📸..utamkamata akiwa ame manuwa makalio picha ulete mrejesho
Amechanua makalio mubashar kama anacheza mdundiko.Kumradhi, kumanuwa ndio nini mkuu? 😂
Usije ukakuta ni mbwa mkuuWakuu, kuna mtu yeye huwa anakuja kujisaidia pembeni ya Nyumba yangu.
Najua huyu anafanya ushirikina Ila nimwambie tu ntampoteza vibaya Sana.
Mafi ya mbwa na binadamu ni tofauti.Usije ukakuta ni mbwa mkuu
Mkuu usijiunge na genge la Mafwele.Wakuu, kuna mtu yeye huwa anakuja kujisaidia pembeni ya Nyumba yangu.
Najua huyu anafanya ushirikina Ila nimwambie tu ntampoteza vibaya Sana.
Daaah changamoto kwa kweliMafi ya mbwa na binadamu ni tofauti.
Anamtamuenzi p diddy sioAmechanua makalio mubashar kama anacheza mdundiko.
Amvizie na kumkamata.Amtandike bakora za shingoni hadi alie na kusaga meno.Sijajua mtu huwa anasagaje meno ila ahakikishe anayasaga.Daaah changamoto kwa kweli
Mkuu usijiunge na genge la Mafwele.
Mripoti polisi huyo mshenzi
Kabisa.Ni kupakwa mafuta tu ili ang'ae.Anamtamuenzi p diddy sio
Chukua hayo mavi kayatie kwenye kichuguu.Nimetoa tahadhari kwa watu wanaofanya hivi kutokana na masharti ya waganga.