Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una uhakika kwamba yuko hapa JF?Wakuu, kuna mtu yeye huwa anakuja kujisaidia pembeni ya Nyumba yangu.
Najua huyu anafanya ushirikina Ila nimwambie tu ntampoteza vibaya Sana.
Ha afanye windo tu kwa kweli amuweke stick za kutosha za makalioAmvizie na kumkamata.Amtandike bakora za shingoni hadi alie na kusaga meno.Sijajua mtu huwa anasagaje meno ila ahakikishe anayasaga.
🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽Chukua hayo mavi kayatie kwenye kichuguu.
Hakikisha yameingia ndani na kuliwa na mchwa ili hata akija kukuomba msamaha iwe vigumu kwako kwenda kuyatoa.
Atakua anajinyea popote akiwa Hana habari.
Yaani mtu akojoe kwenye ukuta wako leo na kesho na kesho tena wewe unaishia kunusa mikojo tu?
Mvizie umnase, vinginevyo ni wewe unapombeka na kukojoa hapo.
Nikupe upupu? Uumwage eneo husika, atawashwa makalio Hadi basi. Niliwahi kuwawekea matejaWakuu, kuna mtu yeye huwa anakuja kujisaidia pembeni ya Nyumba yangu.
Najua huyu anafanya ushirikina Ila nimwambie tu ntampoteza vibaya Sana.
😂 ila wachawi wana visaKabisa.Ni kupakwa mafuta tu ili ang'ae.
Nishaweka mavi yake ktk kichuguuNikupe upupu? Uumwage eneo husika, atawashwa makalio Hadi basi. Niliwahi kuwawekea mateja
Hujaamua kupotezaa muda yaani chap chapNishaweka mavi yake ktk kichuguu

Wakuu, kuna mtu yeye huwa anakuja kujisaidia pembeni ya Nyumba yangu.
Najua huyu anafanya ushirikina Ila nimwambie tu ntampoteza vibaya Sana.
Kesi ya jinai hii 😆😆Mara pap, kumbe ni kada mtiifu Lucas Mwashambwa , unamkuta na shati lake la CCM kachutama anashusha mzigo.
Kuachama, au kujipanua ovyo au kuacha space katikati ya mstari.Kumradhi, kumanuwa ndio nini mkuu? 😂