Kuna muda lafudhi zinakuwa zinakata vibe

Naipenda lafudhi ya kisukuma😂😂😂
Siipendi ya kichaga na kihaya.
 
Kwa Afrika nigeria wanaongea vibaya mno,, yani nawaonaga kama wachafu sana hao watu
Come = komu oo

Mom = Momaa

I need to go = I nuu goo

He play football = He pay fuuboo

[emoji13] [emoji1184]
 
Itakuwa unawasema wajomba gete
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…