dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Same una tamani wew usituweke kwenye wingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😄😄😄huo ni uongooooAahhaaaaaa,hapo kwenye utelezi nilikuwa nachangamsha genge tu
siwezi fanya ushirikina dokta hata siku mojaUsifanye ushirikina kak
Sijajua haswa ni fundi kwa fani gani, lakini kwa vyovyote fundi bila kuongeza thamani unaweza ukabaki kuwa fundi msaidizi wakati wote.Kweli mkuu kulala njaa mara chache ika kuna muda mkuu unakata hata mwezi simu haziiti zikiita n za elf5 ukipt 10 hapo una majukumu kama yote wazazi wankutegemea uwapge tafu, kuna ndg pia japo hawa sio wa maana tunawatupa lkn kuna time unajiuliza nitakua saidia fund mpaka lini..? Unafanya kazi ngumu pesa hakuna kuna malengo ambayo wazaz wako wamefeli kuyafanikisha unakuta ww unaendeleza pale walipoishia sio kama familia yako itakushka mkono hapana
Wewe amekupa hiyo fursa mara baada ya kujifungia ndani ukamuuliza Mungu wako?Ukiona uchungu unazidi basi kuna fursa inakuita badala ya kulalamika mitandaoni embu jifungie katika chumba chako cha ndani umuulize Mungu wako kwa imani yako.
Ni wapi anataka kukupeleka.
Kuna fursa gani huioni.
Nadhani inaweza kuwa msaada zaidi na kukupa amani moyoni.
Wewe amekupa hiyo fursa mara baada ya kujifungia ndani ukamuuliza Mungu wako?
Eh bwana wakuu chaneli za pesa ni ngumu sana kuna muda mambo yanabana moka unatamani hata ungekua una imani ya kishirikina ukaroge ilimradi na mm nipate chaneli za pesa wazee mambo hayaendi ukiangalia vijana wenzetu wanafanya mambo ya maendeleo sisi tunakomaa kupambana lakini inakua ni kama tunawafanyia kazi watu wengine aisee tutakua saidia fundi mpaka lini?
Lakini tuna imani iko siku lakini dah mambo sio kabsa Unakaa unajiuliza hili swali lakn hupati majibu unajaribu kutafta chaneli lakini nako ni ngumu aisee inaumiza sana Kuna muda unatamani ubeti lakn unaona ni kupoteza muda maana unaweza weka odd 1 na bado ukaliwa yaan dah
rubii mpe connection basi mleta mada.
Umeshajaribu utajir wa punje za kuku Mkuu,miaka yako miwili unakula mpk Rihanna halafu Christmas yako ya pili unavuta pumzi chapuu tu kwa harakaEh bwana wakuu chaneli za pesa ni ngumu sana kuna muda mambo yanabana moka unatamani hata ungekua una imani ya kishirikina ukaroge ilimradi na mm nipate chaneli za pesa wazee mambo hayaendi ukiangalia vijana wenzetu wanafanya mambo ya maendeleo sisi tunakomaa kupambana lakini inakua ni kama tunawafanyia kazi watu wengine aisee tutakua saidia fundi mpaka lini?
Lakini tuna imani iko siku lakini dah mambo sio kabsa Unakaa unajiuliza hili swali lakn hupati majibu unajaribu kutafta chaneli lakini nako ni ngumu aisee inaumiza sana Kuna muda unatamani ubeti lakn unaona ni kupoteza muda maana unaweza weka odd 1 na bado ukaliwa yaan dah
Ivyo alishafanya ila anaishia kupiga nyetojifungie katika chumba chako cha ndani
Freemason ujiungi Kama hawana faida naweJaribu Freemason ndugu yangu