Kuna muda unaweza kuishiwa pesa hadi ukatamani kumkopa mdada wa kazi

Kuna muda unaweza kuishiwa pesa hadi ukatamani kumkopa mdada wa kazi

Wazee kuishiwa kupo bhana sema kikubwa ni kutokta tamaa mi mpka sasahivi sina kitu wiki iliyoisha tu nimemalizna na kisanga cha kutaka kufa njaa nikabeba jiko la mkaa masufuria visu nikapeleka kwenda kuuza kwa mama ntilie tena kwa elfu 10 akanipa na shamni ya wali hapa leo nadaiwa kodi kitu cha thamani ambacho ninacho ni pc niliomba kama ingekuwa ni yngu na yenyewe ningekuwa nishauza kitambo sana
 
Sitaisahau Manzese Argentina, pale kulikua na mzee mmoja ana uza maandazi mia na chai mia, usiku kibao nimelalia mia tano, kuna wakati unakua una mia tano tu mfukoni, unasema hii jero ntaenda zangu jioni kwa mzee nile maandazi manne na chai moja. Enzi izo nilikonda kama mbwa, hali mbaya.
🤣🤣😂Ulipo toka ndo wengine tunapita bhna mandazi matatu na kikombe cha tangawizi na unalala hapa nimekonda vibaya mno
 
Sijui hili lokoje wakt umepigika haswa ndio watu wanatokea kununua vitu vyako vya dhamani kwa Bei ya kutupa

Kuna mzee mmoja amenipigia simu Yuko mbeya kule anataka kununua shamba langu la miti heka mbili kwa milion moja namtafakari haswa na hapa nimepigikaa vibaya mno
 
We acha tu mzee mi nimejifungia ndani naogopa hata kujigeuza nahofia mwenye nyumba ataniskia atakuja kunigongea anataka kodi kila kitu nshauza na hata hakuna ramani ya mambo kuwa mazuri nishapm watu kama watatu humu jf naomba msaada wa elfu 30 tu asee na mimi nijinasue nilipe kodi ya mwezi tu nione kama mambo yatakuwa sawa hali sio shwari mkuu
 
We acha tu mzee mi nimejifungia ndani naogopa hata kujigeuza nahofia mwenye nyumba ataniskia atakuja kunigongea anataka kodi kila kitu nshauza na hata hakuna ramani ya mambo kuwa mazuri nishapm watu kama watatu humu jf naomba msaada wa elfu 30 tu asee na mimi nijinasue nilipe kodi ya mwezi tu nione kama mambo yatakuwa sawa hali sio shwari mkuu
Pole mkuu
 
1669644754939.png
 
Kipindi Niko mdogo nilikuwa najiuliza iv mzee anakosaje hela yani ile akisema Sina hela ata 100 me najiuliza how Sasa nimekuwa mkubwa nikasadiki maneno ya wahenga kuwa uyaone
 
ndio maana huwa namuelewa mtu mwenye makorokoro ya anasa ambayo yanauzika.

kama una hela ya iphone au samsung kubwa nunua huwezi jua kkutwa itaamkaje.
kama una hela ya laptop nunua huwezi jua kkutwa utaamkaje.
kama una hela ya kununua licheni au hereni za dhahabu au silva gram kadhaa wewe nunua.

maisha yaliyo ya wengi hasa sisi watanzania wa kuupiga mwingi hela haikai wajumbe,yaani hata ukaze fuvu namna gani unashangaa graph kule bank ina drop tu,mara paaa unaskia mjomba wako kameza shoka.
Wewe mkuu ni fwaaalaaa 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom