likongobhe
Member
- May 19, 2013
- 85
- 186
Kufulia kunaleta akili ya ziada, kuna zile hela huwa zinaanguka chini ya kitanda hasa sarafu 100, 200 au 500 sasa ukitaka kujua thamani yake siku ufulie mazima huwa zinatafutwa kila kona ya chumba.. unapitia nguo moja moja kujua kama kuna akiba yoyote hapo orodha ya watu wa kukusaidia inazidi kujipanga kichwani na sababu za kuwapa.. "ipo siku tu.."