Tempus Fugit
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 850
- 2,212
Wengine hiyo misoto ndiyo tunaipitia sasa. Jana saa 1 jioni nilikuwa narejea home huku mfukoni nina 2500 tu. Hapo napiga hesabu ya nauli jero walau niingie home na buku 2.
Ile nakatiza Mlimani City service road uelekeo Lufungila kituo cha daladala nasimamishwa na dogo mdogo around miaka 10 au 11. Ananiomba hela anasema akale, hajala.
Huruma ikaniingia...nikampa yule dogo jero. Nikawaza japo nimefulia ila siwezi kumuacha huyu dogo hivi hivi. Nika sacrifice jero na kuvuruga bajeti yangu. Mungu atajua atakavyoleta riziki.
Sometimes nawaza kwa nini tupitie maisha ya shida namna hii...? Kwa nini tuna struggle to make the ends meet? Kwa nini kipato hakijitoshelezi? Hapa asubuhi kunakucha na nina jero tu, na majukumu yanayonikabili ni yanahitaji mamia ya shilingi.
Ninachomshukuru Mungu ni kuwa hata hali iwe ngumu vipi...solution ipo tu. Usikate tamaa.
Ile nakatiza Mlimani City service road uelekeo Lufungila kituo cha daladala nasimamishwa na dogo mdogo around miaka 10 au 11. Ananiomba hela anasema akale, hajala.
Huruma ikaniingia...nikampa yule dogo jero. Nikawaza japo nimefulia ila siwezi kumuacha huyu dogo hivi hivi. Nika sacrifice jero na kuvuruga bajeti yangu. Mungu atajua atakavyoleta riziki.
Sometimes nawaza kwa nini tupitie maisha ya shida namna hii...? Kwa nini tuna struggle to make the ends meet? Kwa nini kipato hakijitoshelezi? Hapa asubuhi kunakucha na nina jero tu, na majukumu yanayonikabili ni yanahitaji mamia ya shilingi.
Ninachomshukuru Mungu ni kuwa hata hali iwe ngumu vipi...solution ipo tu. Usikate tamaa.