Kuna muda unaweza kuishiwa pesa hadi ukatamani kumkopa mdada wa kazi

Kuna muda unaweza kuishiwa pesa hadi ukatamani kumkopa mdada wa kazi

Wengine hiyo misoto ndiyo tunaipitia sasa. Jana saa 1 jioni nilikuwa narejea home huku mfukoni nina 2500 tu. Hapo napiga hesabu ya nauli jero walau niingie home na buku 2.

Ile nakatiza Mlimani City service road uelekeo Lufungila kituo cha daladala nasimamishwa na dogo mdogo around miaka 10 au 11. Ananiomba hela anasema akale, hajala.

Huruma ikaniingia...nikampa yule dogo jero. Nikawaza japo nimefulia ila siwezi kumuacha huyu dogo hivi hivi. Nika sacrifice jero na kuvuruga bajeti yangu. Mungu atajua atakavyoleta riziki.

Sometimes nawaza kwa nini tupitie maisha ya shida namna hii...? Kwa nini tuna struggle to make the ends meet? Kwa nini kipato hakijitoshelezi? Hapa asubuhi kunakucha na nina jero tu, na majukumu yanayonikabili ni yanahitaji mamia ya shilingi.

Ninachomshukuru Mungu ni kuwa hata hali iwe ngumu vipi...solution ipo tu. Usikate tamaa.
 
Wengine hiyo misoto ndiyo tunaipitia sasa. Jana saa 1 jioni nilikuwa narejea home huku mfukoni nina 2500 tu. Hapo napiga hesabu ya nauli jero walau niingie home na buku 2.

Ile nakatiza Mlimani City service road uelekeo Lufungila kituo cha daladala nasimamishwa na dogo mdogo around miaka 10 au 11. Ananiomba hela anasema akale, hajala.

Huruma ikaniingia...nikampa yule dogo jero. Nikawaza japo nimefulia ila siwezi kumuacha huyu dogo hivi hivi. Nika sacrifice jero na kuvuruga bajeti yangu. Mungu atajua atakavyoleta riziki.

Sometimes nawaza kwa nini tupitie maisha ya shida namna hii...? Kwa nini tuna struggle to make the ends meat? Kwa nini kipato hakijitoshelezi? Hapa asubuhi kunakucha na nina jero tu, na majukumu yanayonikabili ni yanahitaji mamia ya shilingi.

Ninachomshukuru Mungu ni kuwa hata hali iwe ngumu vipi...solution ipo tu. Usikate tamaa.
Hii misimamo ya kikamanda sana.Yana mwisho chief.Itafikia wakati itakua ni simu moja ,tukutane benki.
 
Huwa namkopa mara nyingi tu! Kikubwa ni kuwa mwaminifu wa kulipa kwa wakati ili kulinda heshima yako
Unawezaje kumlipa kwa wakati? Yaani umkope tena Dada wa kazi halafu unamudu kumlipa kwa wakati bila kupitisha?
 
Wengine hiyo misoto ndiyo tunaipitia sasa. Jana saa 1 jioni nilikuwa narejea home huku mfukoni nina 2500 tu. Hapo napiga hesabu ya nauli jero walau niingie home na buku 2.

Ile nakatiza Mlimani City service road uelekeo Lufungila kituo cha daladala nasimamishwa na dogo mdogo around miaka 10 au 11. Ananiomba hela anasema akale, hajala.

Huruma ikaniingia...nikampa yule dogo jero. Nikawaza japo nimefulia ila siwezi kumuacha huyu dogo hivi hivi. Nika sacrifice jero na kuvuruga bajeti yangu. Mungu atajua atakavyoleta riziki.

Sometimes nawaza kwa nini tupitie maisha ya shida namna hii...? Kwa nini tuna struggle to make the ends meat? Kwa nini kipato hakijitoshelezi? Hapa asubuhi kunakucha na nina jero tu, na majukumu yanayonikabili ni yanahitaji mamia ya shilingi.

Ninachomshukuru Mungu ni kuwa hata hali iwe ngumu vipi...solution ipo tu. Usikate tamaa.
Kuna tatizo kwenye fursa
 
Mimi na jamaa yangu enzi hizo tulipata njaa kubwa na hatukuwa na pesa pale buguruni, Tukaingia hoterini tukala tuliposhiba tukaanzisha ugomvi wa ngumi tulikabana kweli kweli watu wakajaaa kutugombelezea! Ila kuachanishwa kila mtu akazuga anatafta jiwe LA kumpasua mwenzake Mara ebo hao tukatokomea tukaja kutana ilala boma tukasepa!
Njaaa mbaya sana kwakweli
[emoji3][emoji3][emoji3]...
 
Mimi na jamaa yangu enzi hizo tulipata njaa kubwa na hatukuwa na pesa pale buguruni, Tukaingia hoterini tukala tuliposhiba tukaanzisha ugomvi wa ngumi tulikabana kweli kweli watu wakajaaa kutugombelezea! Ila kuachanishwa kila mtu akazuga anatafta jiwe LA kumpasua mwenzake Mara ebo hao tukatokomea tukaja kutana ilala boma tukasepa!
Njaaa mbaya sana kwakweli
Daah hii mbinu inaitaji ufundi kweli ujue kuigiza


Mimi nawanangu tulikuwa tunaomba tuoshe vyombo na masufuria baada ya hapo unapewa msosi mishe imeisha
 
Ni changamoto tu wakuu,kila kitu kitakua sawa amini hivyo! Kila mmoja ana zake zinatofautiana tu ukubwa..na kupitia uzi kama huu ndio utaona si ajabu wewe una nafuu sana..tusikate tamaa.!
 
Kumbe hasira zote kwa jiwe sababu ya ufukara wako
Hakuna mtu fakara/Mnyonge anayemchukia Jiwe. Hao ndiyo walikuwa mtaji wake, ref wewe mwenyewe. Kuishiwa pesa ni jambo la kawaida unless wewe umekuja duniani jana au akili zako ndivyo hivyo tena mzee wa kujiita mnyonge
 
Hakuna mtu fakara/Mnyonge anayemchukia Jiwe. Hao ndiyo walikuwa mtaji wake, ref wewe mwenyewe. Kuishiwa pesa ni jambo la kawaida unless wewe umekuja duniani jana au akili zako ndivyo hivyo tena mzee wa kujiita mnyonge
sasa na hela zako za mbio utampendaje jiwe!!

ni upuuzi kujiita imara na unaishi chini ya $10 kwa siku.
 
Acha kutudhihaki mkuu. Km umetusua maisha ni jambo la kumshukuru Mungu.
Jiwe ameshakufa.
sasa na hela zako za mbio utampendaje jiwe!!

ni upuuzi kujiita imara na unaishi chini ya $10 kwa siku.
 
Kuna Siku nilikwama sana, kila nikiwaza sipati jibu, la hela. Nikaona nimwangushie zigo mama watoto, ambae tumeachana miaka minne iliyopita kipindi hicho nina Shida.

Pamoja na kuachana, huwa tunawasiliana mara kwa mara kama wazazi, ingawa tunaishi mikoa tofauti, hivyo baada ya kukosa pesa nikamjaribu, aniazime Tsh 200,000 kama anazo he, akaniambia ndani ya masaa matatu atanitumia, kweli akanitumia yaani nilishukuru sana, alinifanya niendelee kujiamini Siku ile.
Mie nilipigika ile kisawa sawa nikamwomba x afanye backup hahaha sharti ikawa turudiane daaah nikakubali akanipa 300k

Baadae nikawa kwale kama wiki 2 nikarudisha na cha juu 400 hataki anataka turudiane

Wacha siku nipigike nimcheki akanikazia hahahaha
 
Kwa kweli hapo mtu unatakiwa ujifikirie kama kuna umuhumi wa kuleta viumbe wengine dunia hii.. Lakini kama hali inaruhusu hata wasizidi wawili...ili waweze kusaidiana mbele kwa mbele sio unaleta mmoja halafu ghafla wote mnavuta....sipati picha....

Fikiria maisha magumu unaenda kutoa msongo kwa papuchi ya wife na unamalizia humo
unategemea matokeo yake ni nini..

Tuliwahi kupitia masha magumu sana kifamilia bado wadogo, mpaka nikawa nawaza kwanini baba alituzaa wengi hivi...

Kwa kweli kama sina uwezo sitaleta viumbe vingine kuja kuteseka duniani...
RISUG is the way now
 
Back
Top Bottom