Kuna muda unaweza kuishiwa pesa hadi ukatamani kumkopa mdada wa kazi

Kuna muda unaweza kuishiwa pesa hadi ukatamani kumkopa mdada wa kazi

Kuna mwaka nilikua nimefulia sina hata sumni nikafanya kosa la mwaka nimeongea na mwanangu mmoja akaniita sehemu njaa inagonga vibaya badala ya kunipa hela ananinunulia bia tu .Mwisho tukaanza nyagi nikawaka vibaya sana akanidrop gheto ye huyooo kwake.Kimbembe nimestuka usiku mnene ile njaa ikawa imejidabo .Simu haina kifurushi,ndani hamna kitu kuna gesi tu.Nguvu sina .Kwa mara ya kwa nza nilikua supu ya marando.Kwa wasiojua marando ni majani yale ya viazi vitamu .Na niliyala asubuhi ,mchana na jioni .Kwa bahati nzuri bi.mkubwa jioni akanipigia ndio pona yangu .Vinginevyo nilikua nafia ndani.
 
Kuna kipindi nilikuwa sina hata hela nikisema hela namaanisha yani mfuko hewa hata nikipata tatizo imekula kwangu

Ila nashukuru ghetto msosi ulikuwepo kidogo nilisogeza siku
 
Kuna mwaka nilikua nimefulia sina hata sumni nikafanya kosa la mwaka nimeongea na mwanangu mmoja akaniita sehemu njaa inagonga vibaya badala ya kunipa hela ananinunulia bia tu .Mwisho tukaanza nyagi nikawaka vibaya sana akanidrop gheto ye huyooo kwake.Kimbembe nimestuka usiku mnene ile njaa ikawa imejidabo .Simu haina kifurushi,ndani hamna kitu kuna gesi tu.Nguvu sina .Kwa mara ya kwa nza nilikua supu ya marando.Kwa wasiojua marando ni majani yale ya viazi vitamu .Na niliyala asubuhi ,mchana na jioni .Kwa bahati nzuri bi.mkubwa jioni akanipigia ndio pona yangu .Vinginevyo nilikua nafia ndani.
[emoji23][emoji23][emoji23] japo haifurahishi
 
  • Thanks
Reactions: EEX
Kuna mwaka nilikua nimefulia sina hata sumni nikafanya kosa la mwaka nimeongea na mwanangu mmoja akaniita sehemu njaa inagonga vibaya badala ya kunipa hela ananinunulia bia tu .Mwisho tukaanza nyagi nikawaka vibaya sana akanidrop gheto ye huyooo kwake.Kimbembe nimestuka usiku mnene ile njaa ikawa imejidabo .Simu haina kifurushi,ndani hamna kitu kuna gesi tu.Nguvu sina .Kwa mara ya kwa nza nilikua supu ya marando.Kwa wasiojua marando ni majani yale ya viazi vitamu .Na niliyala asubuhi ,mchana na jioni .Kwa bahati nzuri bi.mkubwa jioni akanipigia ndio pona yangu .Vinginevyo nilikua nafia ndani.
Kufa kiume na tai shingoni
 
  • Thanks
Reactions: EEX
Kuna mwaka nilikua nimefulia sina hata sumni nikafanya kosa la mwaka nimeongea na mwanangu mmoja akaniita sehemu njaa inagonga vibaya badala ya kunipa hela ananinunulia bia tu .Mwisho tukaanza nyagi nikawaka vibaya sana akanidrop gheto ye huyooo kwake.Kimbembe nimestuka usiku mnene ile njaa ikawa imejidabo .Simu haina kifurushi,ndani hamna kitu kuna gesi tu.Nguvu sina .Kwa mara ya kwa nza nilikua supu ya marando.Kwa wasiojua marando ni majani yale ya viazi vitamu .Na niliyala asubuhi ,mchana na jioni .Kwa bahati nzuri bi.mkubwa jioni akanipigia ndio pona yangu .Vinginevyo nilikua nafia ndani.
Yani wanaume mateso ni makali sanaa
 
Kuna siku nimeagiza Msosi kwa Mama n'tilie, nataka kuanza kula kuna Jamaa kaja kaniambia NDUGU YANGU NAOMBA NIPIGE MATONGE MAWILI TU NIPATE NGUVU YA KWENDA NYUMBANI kwakweli ilinidi nimuachie tu ale, Msoto bhana uusikie kwa mwenzako tu
 
Mimi na jamaa yangu enzi hizo tulipata njaa kubwa na hatukuwa na pesa pale buguruni, Tukaingia hoterini tukala tuliposhiba tukaanzisha ugomvi wa ngumi tulikabana kweli kweli watu wakajaaa kutugombelezea! Ila kuachanishwa kila mtu akazuga anatafta jiwe LA kumpasua mwenzake Mara ebo hao tukatokomea tukaja kutana ilala boma tukasepa!
Njaaa mbaya sana kwakweli
 
Kuna mwaka nilikua nimefulia sina hata sumni nikafanya kosa la mwaka nimeongea na mwanangu mmoja akaniita sehemu njaa inagonga vibaya badala ya kunipa hela ananinunulia bia tu .Mwisho tukaanza nyagi nikawaka vibaya sana akanidrop gheto ye huyooo kwake.Kimbembe nimestuka usiku mnene ile njaa ikawa imejidabo .Simu haina kifurushi,ndani hamna kitu kuna gesi tu.Nguvu sina .Kwa mara ya kwa nza nilikua supu ya marando.Kwa wasiojua marando ni majani yale ya viazi vitamu .Na niliyala asubuhi ,mchana na jioni .Kwa bahati nzuri bi.mkubwa jioni akanipigia ndio pona yangu .Vinginevyo nilikua nafia ndani.

Funny but not funny [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi na jamaa yangu enzi hizo tulipata njaa kubwa na hatukuwa na pesa pale buguruni, Tukaingia hoterini tukala tuliposhiba tukaanzisha ugomvi wa ngumi tulikabana kweli kweli watu wakajaaa kutugombelezea! Ila kuachanishwa kila mtu akazuga anatafta jiwe LA kumpasua mwenzake Mara ebo hao tukatokomea tukaja kutana ilala boma tukasepa!
Njaaa mbaya sana kwakweli

[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] huu uzi nimecheka sana, maana umekuja wakati muafaka kabisa. Mimi ijumaa, jumamosi na jumapili nilikuwa sina hata mia, ninaposema mia mnielewe...ni ile mia yenye moja na sifuri mbili. Nilianza kusachi mikoba, mabegi kabatini labda kuna siku nilisahau hata buku wapi...bahati nzuri jana nimeenda kanisani nikakutana na mtu nilikuwa namdai elfu tatu ndio akawa mkombozi wangu. Maisha haya yasikie tu
😂 kwenye kusachi hapo
 
Mimi na jamaa yangu enzi hizo tulipata njaa kubwa na hatukuwa na pesa pale buguruni, Tukaingia hoterini tukala tuliposhiba tukaanzisha ugomvi wa ngumi tulikabana kweli kweli watu wakajaaa kutugombelezea! Ila kuachanishwa kila mtu akazuga anatafta jiwe LA kumpasua mwenzake Mara ebo hao tukatokomea tukaja kutana ilala boma tukasepa!
Njaaa mbaya sana kwakweli
😂
 
Vincious circle of poverty. Familia maskini, mtoto anazaliwa kwenye umaskini, anakosa elimu Bora na ujuzi anapata shida kupata kazi na anaendelea kubaki kwenye umaskini mpaka apate external force to push out from poverty
 
Back
Top Bottom