Kuna muda unaweza kuishiwa pesa hadi ukatamani kumkopa mdada wa kazi

Kuna muda unaweza kuishiwa pesa hadi ukatamani kumkopa mdada wa kazi

Maskini umeongea kwa unyonge mpaka nikawaza vyakula vyote vilivyopo home mama anagawa bure. Anyway Mungu ni mwema, ukipata ka mtaji mpe wife wako hata 30000 apate sehemu sokoni, auze mchicha nyanya vitunguu hoho, carote matunda etc hivyo vitu kila siku lazima vinunulike.

Akiuza vitu vya 30000 hawezi kukosa 50000. Wakati huo wewe unapambana mjini kupata kazi.
Usijali luckyline huu ndo uanaume tunapambana mpaka senti ya mwisho. Mungu ni mwema hizi ni nyakati tu za mpito
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] huu uzi nimecheka sana, maana umekuja wakati muafaka kabisa. Mimi ijumaa, jumamosi na jumapili nilikuwa sina hata mia, ninaposema mia mnielewe...ni ile mia yenye moja na sifuri mbili. Nilianza kusachi mikoba, mabegi kabatini labda kuna siku nilisahau hata buku wapi...bahati nzuri jana nimeenda kanisani nikakutana na mtu nilikuwa namdai elfu tatu ndio akawa mkombozi wangu. Maisha haya yasikie tu
 
kuna vitu ni muhimu sana.
AKIBA

Kingine jitahidi uwe na vitu vya thamani kama TV,MUSIC SYSTEM, FRIJI, KITANDA, GODORO, N.K niamini hv vitu vinaokoa sana ukifulia maana hata ukiuza ukika sawa vina nunulika
Kuuza vitu hapana, labda iwe ni kwaajili ya kuokoa uhai lakini njaa tu hii acha iume tu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] huu uzi nimecheka sana, maana umekuja wakati muafaka kabisa. Mimi ijumaa, jumamosi na jumapili nilikuwa sina hata mia, ninaposema mia mnielewe...ni ile mia yenye moja na sifuri mbili. Nilianza kusachi mikoba, mabegi kabatini labda kuna siku nilisahau hata buku wapi...bahati nzuri jana nimeenda kanisani nikakutana na mtu nilikuwa namdai elfu tatu ndio akawa mkombozi wangu. Maisha haya yasikie tu
unaweza kunguta tenga lote la nguo lakini hata 100 huambulii maisha hayaaa... 😀 😀 😀 😀 😀 ukikuta hata 1000 unaweza shukuru maisha yako yote
 
unaweza kunguta tenga lote la nguo lakini hata 100 huambulii maisha hayaaa... 😀 😀 😀 😀 😀 ukikuta hata 1000 unaweza shukuru maisha yako yote
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] tafuta mifuko yote hamna kitu. Wakati kuna muda huwa nasahau hela ndogondogo nakutana nazo wakati wa kufua
 
Kinakuwaga ni kipindi kigumu sana nakumbuka niliwahi ktk kipindi kigumu sana mpaka nikakosa ela ya mafuta ya kujipa mwisho wa siku nikawa napakaa mafuta ya house girl wangu kisirisiri asijue
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hakyanani
 
haya maisha naelewa sana hasa Nkikuta kijana mwenzangu ananiambia kakosa hata nauli kama ninayo huw anampmmaanaa mara 2 ya aliyoniomba kama mwanaume unaweza kupigika mpaka ukaona wadada wanaojiuza hawakosei 😀 😀 😀 😀 tukaze huku tukiomba wanaangu
Ndio maana namheshimu sana mtu ambaye amenisaidia wakati nikiwa kwenye hali ngumu. Kuna mwalimu mmoja alisaidia sana wakati niko shule, nimejaribu kumtafuta nilipe fadhila ila sijampata. Mwisho wa mwezi inabidi nikatoe sadaka kwa ajili yake. Kuna mtu nilimsaidia sana akiwa na shida lakini alichonifanyia Mungu tu ndio anajua.
 
Nilishawahi fulia mpaka nikatamani kwenda kwa mkuu wa mkoa kukopa hapo nadaiwa Timiza .Tala .Branch nk .Yani nilitamani hadi kuwa omba omba ..Maisha haya ..
😀 😀 😀 😀 😀 😀daah acheni haya mambo
 
Tukafundishwa palee...na ilikuwa kila siku lazima wale walimu waulize kuna wagen? Wapo wapi? Wasimame thn wanasimama na wanaambiwa baada ya trainng kuisha wenyewe wabaki....nakumbuka hii ilikuwa siku kama ya nne na siku hyo alikuwepo jamaa yangu tulie soma nae kuanzia advnce tukachagua wote chuo kimmoja sema tukachaguliwa course tofauti...

Na hata siku ya kureport chuo tulireport wote na registration tulifanya pamoja na mwanzon kabisa tulipanga chumba kimoja..na tukakaa wote kwa miaka miwil ya mwanzo..ni yule aliyesema ngoja aongee na wazaz kweli walimpatia ile hela na akaja home pale na wala sio mgem pale..hata sister kevoo alie niunganisha anamjua hivyo akampatia sister kvoo laki sita ile na yule sister kvoo anaitwa(Caro) akaituma kwa yule rafik ake hvyo nae akawa amesajiliwa...kwa hyo tukawa mm ntu tatu..mimi keivoo na stephaa ambae ndio jamaa angu kabisaa...

Tulimtangulia stephaa kwa siku tatu na ya nne ndio akawepo...haikuwa kaz ngumu kwake kwan niliyofundismhwa nyuma nilimpiga msasa chapu chapu so kulikuwa haina haja ya yy kubaki baada ya trainng kuisha kwa siku hyo...na siku anae fika yy..walitugawa kwa makundi watu walio kuwamo kule...kila kundi moja lilikuwa na watu 13..na sharti kiongoz ndani ya kundi hilo lazima awe mwanamke...na hapa niseme kidogo wale jamaa waliweza kuwashika majina kwa haraka sana wanawake wa mule ndani..kiasi kwamba hata maswali walio kuwa wakiuliza yatokanayo na ile project alikuwa anapoint tu kwa kuwataja majina hvyo inakuwa rahis kututoa hofu kwa kuamin mbona wanafahamiana...

Kandri siku zinavyoenda kuna ukakasi nilikuwa naupata kila kipindi kikianza..mosi; ule mradi ni ufadhil wa marekani na hata kwenye vile vijarida (quationare zao) chini kabisa kuna website zao na uki google unazikuta kweli...lakin kwa nn wapewe vijana wadogo namna ile tena wenye fedha nying sana??? Kulikuwa na walimu wawil tu na wote ni wajinsia ya kiume mmoja ukimkadiria umri kwa kipindi hicho caz ilikuwa ni 2015 mwez wa 7 ni kama hajazid miaka 34 nq mwingine alikuwa na kama kwa kukisia miaka 37....na walikuwa na mbwembwe sana na mbinu za kufundusha kwel walijua hasa hyu wa miaka 34..

Wasi wasi mwingine nilio utilia shaka ni kwa nn kila akifundisha anasema huku ndan kila mtu anajua amekujaje..maswala ya kuanza kuulizana ooh cjui mwenzangu uliingiaje huku na akakupa vigezo tofaut na ww thn uanze kulalamika basi akijua tuu...mnarudishiwa chenu mnasepa...so swala la ww umeingiaje huku ibaki kuwa siri yako...!! Nilipata wasi wasi kidogo kwenye hilo..binafsi mimi kevo na stephano najua tumeingia kwa jumla ya sh.1.8M... kwa kuwa tulikuwa karibu..na hapo hapo watu walikuwa wanazid kuingia na hii nahisi ni baada ya vyuo vingi kumaliza mitihan..ilifika sehem kukawa kuna shift yaan tunao ingia saa tatu kasoro tunatoka saa sita na nusu...thn wanaingia wengine saa saba..na pia ilikuwa hivi..kadri siku watu wanavyo ongezeka ndio malipo yalikuwa yakipungua yaan..siku ya kwanza tulilipwa 20,000 ya pli 15,000 ya tatu 15,000 ile ya nne 10,000 hapa napo nilipata ukakasi..

Sasa tulikuwa tukirudi nyumban...mimi stephano na keivoo..kuna muda nilihis kupigwa yaan kama nimetapeliwa lakin nikiangalia ule umati dah naona kama siamin...na kuna muda wanauliza aliyepata dharura? Yaan kama mtu anaenda funga harusi, mtu aliyepata msiba, labda hatoenda field..wajitokeze kuna baadhi kwa uchache wao wanajitokeza wanapewa fedha zao wanasepa...na kuna wale viongoz wa makundi ambao..kiongoz inabid awe na namba ya simu kwa mwana kikundi ambae tutakuwa tunapata taarifa za kila siku kupitia yy...sasa kuna baadhi ya wana kikundi walikuwa wanawasumbua viongoz hawa na moja moja hawa viongoz wanareport kwa walimu wale na hapo hapo wanaitwa kwa utovu wa nidham wanapewa hela zao wanasepa..wanafukuzwa...hii walifanya ili kuziba minong'ono iliyo anza kuenea enea...hivyo walifanikiwa kwa kiasi..caz walisema usimuamin mwenzio ndan ya hili jengo utajiongelesha wee thn anakuja kukuchoma kwa siri na unafukuzwa so hata tukiwa tukipiga story mmoja akanzisha oya masema hii issue imekaaje? Utaanza kuona kila mmoja anasambaratika..[emoji23][emoji23][emoji23]

Jumamos na jumapili tulikuwa hatuendi kwan wale jamaa walikuwa na intakes hadi mikoani...sana sana walikuwa na intakes Arusha, Mbeya, Mwanza na Dar es salaam! Na dar haikuwa moja yaani zilikuwa kama tatu moja ubungo nyingine magomeni na nyingne sikumbuki...na ili sisi tuende Field lazimq kwanza zile intake zilizo tutangulia ziende thn sisi tufate..na hapa wasi wasi ndio ulinizid[emoji19][emoji19]

Kuna dada mmoja namfaham yy alikuwa intake ya magomen na wenyewe walianza kabla ya sisi yaan tokea mwez wa nne..trainng walimaliza lakin visababu vidogo vidogo tu walivyo kuwa wanapewa vya kutoenda field...hapa ndio moyo ulienda mbio kabisaa

Stepha kwa kipind hicho tulikuwa tunakaa nae geto na kevoo anakaa kwa dada ake lakin nyumba ni moja jumamos ile jioni tukawa mimi na stepha tunamuuliza caro hii ni project kweli? Na hyo rafik yako una mfaham vizur? Hapo hapo akampigia simu kwa hofu lakin rafik ake akawa positiv kabisa yaan tuondoe wasi wasi...kevoo akaropoka nyie mna wasi wasi tuu ile pesaa mazee..yaan ulikuwa ukiongelea lile swala kama tumepigwa kule ndan keivoo alikuwa haelewi kabisaa yaan anakataa kusaport tena kuna muda anakumbusha walimu si walisema tusijadili jadili..tukishtukiwa tuu tunafukuzwaa..yaan yy pale alikuwa anawaza gari tuu kashawapigia masela wake ameagiza Altezza..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Enheee
 
Kukopa kupo kuna wakati unaishiwa kabisa unawez muazima mtu hata kama utamrudishia kwa wakati bado kaheshima kanashuka
hakuna kushuka heshima kama unalipaaa...heshima inashuka kama unakopa alafu unakuwa msumbufu...!! me kuna ndugu nlimkopa laki akasema atanilipa hakunilipa hadi kesho lakini akiwa na shida mimi huwa namsadia bila kinyongoo
 
Fedha inahitaji nidhamu ya juu sana...caz hujui mbele unakabiliana na kitu gan? Kwenye utafutaji changamoto ni nyingi sana yaani kifupi hapa duniani tunakumbana na matatizo mengi na vichembe chembe vidogo vya starehe...binafsi cjawah amin ktk fedha nyepesi...ingawa fedha ina ushetani sana...Ni kupambana tuu..na kuomba Mungu...unapata pesa unapata mwenzi wako pasua kichwaa..yaan hapa pesa yako mwenyewe inakunyima aman...😂😂😂 nyumban hakukaliki, hakulaliki, mara hichi mara hiki..unaishia kutafuta faraja nje...hapo upate mchepuko au uhamie bar... 🤣🤣🤣🤣 dah..,kikubwa nikuomba Mungu...nakumbuka niliwah kujisemea sitakaa kuitolea macho pesa ya mwanamke kamwee..hata alipwe mil 100 kwa siku..kikubwa tu awe na upendo na familia..basii
 
ndio maana huwa namuelewa mtu mwenye makorokoro ya anasa ambayo yanauzika.

kama una hela ya iphone au samsung kubwa nunua huwezi jua kkutwa itaamkaje.
kama una hela ya laptop nunua huwezi jua kkutwa utaamkaje.
kama una hela ya kununua licheni au hereni za dhahabu au silva gram kadhaa wewe nunua.

maisha yaliyo ya wengi hasa sisi watanzania wa kuupiga mwingi hela haikai wajumbe,yaani hata ukaze fuvu namna gani unashangaa graph kule bank ina drop tu,mara paaa unaskia mjomba wako kameza shoka.
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom