Movie moja ambayo Kila mpambanaji inafaa aitazame,The Persuit of happiness hii movie will Smith aliitendea Haki kuonyesha ni jinsi gani kufulia kunafanya mtu akili imkae Sawa ukipata muda kaiangalie ujifunze
🤔,Kazi kweri kweriDah wakuu! Hii situation ya kuishiwa ni mbaya sana na ndo ninayoipitia sasa. Yaani hapa ninavyoandika hii comment mfukoni nimebaki na buku 3 tu! Then ndani stock ya chakula imekata, umeme imebaki unit 1.63 alafu sijala chochote toka asbh na harakati zangu zimeyumba kwa kipindi hiki sio mchezo, mbaya zaidi wife kuanzia kesho siku yoyote anarudi home maana alienda kwao kusalimia mara moja.
Yaani hapa nilipo nimechill gheto nawaza vitu vingi hadi kichwa kinauma. Nilichoamua hapa nimeenda kuchukua unga nusu nitoe kitu badae mishale ya jioni then unga utakaobaki wa kesho, nitachukua na fungu la dagaa, najua kwenye buku 3 itabaki kama 1300 hv hii nitaamka nayo kesho na akili mpya.
Ila ndugu zangu kuishiwa kubaya sana, hapa nimezima kila kitu kinachotumia umeme ili tu usije kukata maana muda wote naichungulia hiyo unit ili inifikishe kesho nijue nafanyaje kusurvive na siku mpya.
NB: Najua hii changamoto ninayopitia mm kuna mtu pia mahali anaipitia at the same time, hivyo cha muhimu ni kujua na kuamini kila jambo linatokea kwa kusudi maalumu na litakwisha tu.
😂😂🙆♀️🤣🤣😂Ulipo toka ndo wengine tunapita bhna mandazi matatu na kikombe cha tangawizi na unalala hapa nimekonda vibaya mno
Kipindi mwinyi anakamata madaraka 1985,, naskia zimbabwe na nchi gani sijui wakaokoa jahaziHivi ni lini Tanzania iliishiwa pesa? na ilichukua hatua Gani? Kufulia Kwa nchi sio mchezo kama Tanzania ikifulia Kuna rasilimali nyingi za kuzipush kuanza na zile pembe za ndovu za kwenye Royal tour.
Hata sasa imefuria. Ninwiminya tatu sasa hakuna malipo yoyote yanayoendelea katika nchi kwani fedha zimepelekwa kwenye uchaguzi ndani ya chama.Kipindi mwinyi anakamata madaraka 1985,, naskia zimbabwe na nchi gani sijui wakaokoa jahazi
HahahKuna muda unapigika unazurura ukimuona mtoto anatafuna hata kachori unamtamani.😂😂🙌 Unaona hata kakipande ka nanasi unakatamani ila ndio hvyo huna hata 200.
Kuna siku niko ndani nimebakiwa na buku mbili tu. Mtoto wa jirani kaja kunigongea mama yake ananiita. Kutoka anasema hana hata mia mbovu hajua watoto watakula nini. Nikajikuta namuhurumia nikampa ile buku mbili. Then nikarudi zangu ghetto siko hiyo nilikula usiku kwa mbinde.
Siku nyingine niko nimetoka home sina kitu nina buku mbili tu tena nikasema ngoja nikapate chai. Nakatiza mtaa nakutana na dada ana mtoto anasema njaa inauma na hana hata kitu. ikabidi nichenchi ile buku mbili then nikampa buku ikabidi nirudi home then ile buku iliyobaki nikaitumia mchana nikaua winga.
Mwenye nyumba ananidai kodi ya miezi mitatu. Kaja home nikamshindilia na kibomu. Japo alinipatia ila ilibidi kwanza acheke😂😂🙌 Tukabaki kucheka wote maana ilikuwa inachekesha.
Thanks 👏 ngoja ntaichekMovie moja ambayo Kila mpambanaji inafaa aitazame,
Kufulia ni balaa
Inafikia hatua hadi mtu anaekunywa soda Unamuona anapoteza pesa
Hata dhambi unaiona kama ni halaliShida ni mbaya sana Mungu aendelee kutusaidia wapambanaji nakosa hata maneno ya kusema.
KweliHata dhambi unaiona kama ni halali
Yaani uone maembe mtini ukiwa na njaa uwaze kuiba ni dhambi haipo hiyoKweli
sorry bro nimecheka sanaSitaisahau Manzese Argentina, pale kulikua na mzee mmoja ana uza maandazi mia na chai mia, usiku kibao nimelalia mia tano, kuna wakati unakua una mia tano tu mfukoni, unasema hii jero ntaenda zangu jioni kwa mzee nile maandazi manne na chai moja. Enzi izo nilikonda kama mbwa, hali mbaya.
Huwezi jua, pengine anajiwekea akiba, na akakusaidia usogeze siku.Kufulia hakujawahi muacha mtu salama! Iwe mtu, kampuni au Serikali. Hata serikali pamoja na kwamba inakusanya kila kitu lakini ikiishiwa huwa inawaza kukusanya kodi kwenye barabara na madaraja wakati yamejengwa kwa kodi zao!
Kuna wakati vyuma vinaweza kukaza kila kona hadi ukatamani kumkopa pesa dada wa kazi ilihali hujamlipa mshahara.
Unakosa pesa hadi unamwambia landlord nkopeshe kodi nlokulipa mwezi wa kwanza.Kufulia hakujawahi muacha mtu salama! Iwe mtu, kampuni au Serikali. Hata serikali pamoja na kwamba inakusanya kila kitu lakini ikiishiwa huwa inawaza kukusanya kodi kwenye barabara na madaraja wakati yamejengwa kwa kodi zao!
Kuna wakati vyuma vinaweza kukaza kila kona hadi ukatamani kumkopa pesa dada wa kazi ilihali hujamlipa mshahara.
Kama humlipi vizuri, unaweza kusema hivyo.Unakopaje kwa dada wa kazi hana uwezo wowote haa kukupa 50K, 100k.
Ni kheri nichache, ila sio kuumwa.Ulichosema ni kweli, sikia jambo lingine lakini sio kuchacha, hata bendi ya Wanamsondo waliwahi kuimba. "Maradhi yote ugua lakini kuchacha usiombee"