Kuna Nchi Mashariki mwa Afrika inaelekea kubaya sana. Nashukuru kikao cha Wakuu wa Ujasusi wa Uingereza na Marekani kilichofanyika Kenya Oktoba 2024

Kuna Nchi Mashariki mwa Afrika inaelekea kubaya sana. Nashukuru kikao cha Wakuu wa Ujasusi wa Uingereza na Marekani kilichofanyika Kenya Oktoba 2024

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Kuna chama cha Siasa katika Nchi moja mashariki mwa Afrika kimeamua kuwa Demokrasia itaishia kwenye Viongozi wa Chama chao tu.

Wameamua kabisa kuwa sasa haitatokea Wananchi wa nchi yao inayoanzia na jina T watakuja kupata kiongozi wanayemtaka kwa njia ya sanduku la kura.

Wameamua kabisa, Chaguzi katika nchi hiyo zitakuwa ni geresha tu kuonesha kuwa kuna Demokrasia ila kamwe wananchi hawatapata kiongozi wanayemtaka.

Ili kuepusha kubanwa na dunia saivi, Chama na siasa cha nchi hiyo saivi kimejikita sana kimahusiano na Urusi na China jambo lililozishtua sana Taasisi zinazoongoza wa Ujasusi duniani za MI6 ya Uingereza, CIA ya Marekani na MOSSAD ya Israel.

Kutokana na hofu hizo imeelezwa wakuu wa mashirika ya CIA na MI6 walikutana Kenya mwezi Oktoba kujadili tishio linalokuwa katika hiyo nchi kutokana na Chama kinachoongoza hiyo nchi kuanza kuchukua mlengo wa Mataifa yanayofahamika kwa kukiuka haki za binadamu na demokrasia ya Urusi na China.

Mbaya zaidi inasemekana kuwa Chama hicho ni kama karatasi tu kwa vyombo vya dola vya nchi hiyo ila kutokana na ujinga na rushwa wamevipofusha macho vyombo vya dola vya nchi hiyo na wamekuwa wakikiogopa kinyago walichokichonga wenyewe wakati kinyago hicho si chochote si lolote.


Taarifa zinadai Viongozi wa Kanisa kubwa zaidi kwenye nchi hiyo wameshakichoka Chama hicho

26a91b9b-2b34-48b1-b1b7-09c4d675ea49.jpeg
8d4a23aa-f145-490d-8e2e-4e3f5a8c823a.jpeg
 
Waje na grader wambembe chura kiziwi wamtose baharini aogelee mpaka visiwani.

Ila mkombozi wa hiyo nchi ni wananchi wake na sio mzungu wala mchina. For as long as wananchi wataendelea kufungia macho udhalimu wa hicho chama, hakuna lolote litakalobadilika.
 
Wanaogopa machafuko ambayo yatazalisha wakimbizi nchini mwao huko UK na Marekani. Jambo hilo la wakimbizi hawalitaki maana ni mzigo mkubwa sana kuwahudumia. Wao kama watu wenye akili kubwa, jambo hilo wameshaliona na hawawezi kukaa fofofo huku mosho ukifukuta. Chama kinachotawala kijange kukabiriana nao maana wakimbizi wa Eritrea wamechokwa. Hata hao wa Ethiopia pia hawawataki. Sasa chama tawala kinajifanya kama hakijui hiyo hali kwa maslahi yao tu. Kila siku wanapanda madege yao kwenda India, sasa muziki watauona huko huko India, labda waende kwa sangoma wa Bongo ndio salama yao kwa usafiri wa Ungo au baiskeri.
 
Naona sasa mmechanganyikiwa kabisa.Na bado hiyo ilikuwa ni rasharasha tu .Mvua zenyewe ni Mwakani.
 
Ifike mahala mabeberu nao wafanye kweli bhana. Siyo waishie kutishia tishia tuu (japo nawashukuru mwezi March,2021 walifanya kitu cha maana kwa yule baradhuli aliyetangulia).
nawe upo umekaa unafikiri mzungu atakuja kukusaidia!..🤣
 
Kuna chama cha Siasa katika Nchi moja mashariki mwa Afrika kimeamua kuwa Demokrasia itaishia kwenye Viongozi wa Chama chao tu.

Wameamua kabisa kuwa sasa haitatokea Wananchi wa nchi yao inayoanzia na jina T watakuja kupata kiongozi wanayemtaka kwa njia ya sanduku la kura.

Wameamua kabisa, Chaguzi katika nchi hiyo zitakuwa ni geresha tu kuonesha kuwa kuna Demokrasia ila kamwe wananchi hawatapata kiongozi wanayemtaka.

Ili kuepusha kubanwa na dunia saivi, Chama na siasa cha nchi hiyo saivi kimejikita sana kimahusiano na Urusi na China jambo lililozishtua sana Taasisi zinazoongoza wa Ujasusi duniani za MI6 ya Uingereza, CIA ya Marekani na MOSSAD ya Israel.

Kutokana na hofu hizo imeelezwa wakuu wa mashirika ya CIA na MI6 walikutana Kenya mwezi Oktoba kujadili tishio linalokuwa katika hiyo nchi kutokana na Chama kinachoongoza hiyo nchi kuanza kuchukua mlengo wa Mataifa yanayofahamika kwa kukiuka haki za binadamu na demokrasia ya Urusi na China.

Mbaya zaidi inasemekana kuwa Chama hicho ni kama karatasi tu kwa vyombo vya dola vya nchi hiyo ila kutokana na ujinga na rushwa wamevipofusha macho vyombo vya dola vya nchi hiyo na wamekuwa wakikiogopa kinyago walichokichonga wenyewe wakati kinyago hicho si chochote si lolote.


Taarifa zinadai Viongozi wa Kanisa kubwa zaidi kwenye nchi hiyo wameshakichoka Chama hicho

View attachment 3165760View attachment 3165761
Mkuu amka usije ukakojoa na kujinyea kitandani. Kwa taarifa yako TZ haijawahi kuwa na uhusiano wa kweli na CIA wala M16 bali TZ iko na Mrusi na Mchina tangu tupate uhuru 1961. Be informed!
 
Kuna chama cha Siasa katika Nchi moja mashariki mwa Afrika kimeamua kuwa Demokrasia itaishia kwenye Viongozi wa Chama chao tu.

Wameamua kabisa kuwa sasa haitatokea Wananchi wa nchi yao inayoanzia na jina T watakuja kupata kiongozi wanayemtaka kwa njia ya sanduku la kura.

Wameamua kabisa, Chaguzi katika nchi hiyo zitakuwa ni geresha tu kuonesha kuwa kuna Demokrasia ila kamwe wananchi hawatapata kiongozi wanayemtaka.

Ili kuepusha kubanwa na dunia saivi, Chama na siasa cha nchi hiyo saivi kimejikita sana kimahusiano na Urusi na China jambo lililozishtua sana Taasisi zinazoongoza wa Ujasusi duniani za MI6 ya Uingereza, CIA ya Marekani na MOSSAD ya Israel.

Kutokana na hofu hizo imeelezwa wakuu wa mashirika ya CIA na MI6 walikutana Kenya mwezi Oktoba kujadili tishio linalokuwa katika hiyo nchi kutokana na Chama kinachoongoza hiyo nchi kuanza kuchukua mlengo wa Mataifa yanayofahamika kwa kukiuka haki za binadamu na demokrasia ya Urusi na China.

Mbaya zaidi inasemekana kuwa Chama hicho ni kama karatasi tu kwa vyombo vya dola vya nchi hiyo ila kutokana na ujinga na rushwa wamevipofusha macho vyombo vya dola vya nchi hiyo na wamekuwa wakikiogopa kinyago walichokichonga wenyewe wakati kinyago hicho si chochote si lolote.


Taarifa zinadai Viongozi wa Kanisa kubwa zaidi kwenye nchi hiyo wameshakichoka Chama hicho

View attachment 3165760View attachment 3165761
Hii mikutano na kauli za watu toka nje hazitatusaidia.... dawa ni sisi kuamka basi!
 
Kuna chama cha Siasa katika Nchi moja mashariki mwa Afrika kimeamua kuwa Demokrasia itaishia kwenye Viongozi wa Chama chao tu.

Wameamua kabisa kuwa sasa haitatokea Wananchi wa nchi yao inayoanzia na jina T watakuja kupata kiongozi wanayemtaka kwa njia ya sanduku la kura.

Wameamua kabisa, Chaguzi katika nchi hiyo zitakuwa ni geresha tu kuonesha kuwa kuna Demokrasia ila kamwe wananchi hawatapata kiongozi wanayemtaka.

Ili kuepusha kubanwa na dunia saivi, Chama na siasa cha nchi hiyo saivi kimejikita sana kimahusiano na Urusi na China jambo lililozishtua sana Taasisi zinazoongoza wa Ujasusi duniani za MI6 ya Uingereza, CIA ya Marekani na MOSSAD ya Israel.

Kutokana na hofu hizo imeelezwa wakuu wa mashirika ya CIA na MI6 walikutana Kenya mwezi Oktoba kujadili tishio linalokuwa katika hiyo nchi kutokana na Chama kinachoongoza hiyo nchi kuanza kuchukua mlengo wa Mataifa yanayofahamika kwa kukiuka haki za binadamu na demokrasia ya Urusi na China.

Mbaya zaidi inasemekana kuwa Chama hicho ni kama karatasi tu kwa vyombo vya dola vya nchi hiyo ila kutokana na ujinga na rushwa wamevipofusha macho vyombo vya dola vya nchi hiyo na wamekuwa wakikiogopa kinyago walichokichonga wenyewe wakati kinyago hicho si chochote si lolote.


Taarifa zinadai Viongozi wa Kanisa kubwa zaidi kwenye nchi hiyo wameshakichoka Chama hicho

View attachment 3165760View attachment 3165761
Tatizo sio CCM, tatizo sio Viongozi wa CCM.

Tatizo ni Watanzania wenyewe, kama Kuna Nchi Ina Mazuzu wengi Duniani, Tanzania inaongoza.
 
Naona sasa mmechanganyikiwa kabisa.Na bado hiyo ilikuwa ni rasharasha tu .Mvua zenyewe ni Mwakani.
Ukiwa shetani wa kuua wenzako, ni rahisi kupumbazika na kuamini kuwa wewe kazi yako ni kuwaua wenzako tu, ukasahau kuwa uwezekano pia upo wa wewe kuuawa.

Nasrath aliua watu wengi sana katika kipindi chake cha zaidi ya miaka 30 cha uongozi wa Hezbollah. Akaja kuuawa wakati ambao hakuwahi kuufikiria, tena wakati ambao amejitengenezea miundombinu imara ya ulinzi wake.

Kila uovu unaofanywa na CCM dhidi ya wananchi, unazidi kuwatengenezea mazingira magumu wanaCCM wote.

Zinakuja nyakati kila mtu atajitahidi kujitenga na CCM ili asijumuishwe kwenye adhabu ya CCM.
 
Tatizo sio CCM, tatizo sio Viongozi wa CCM.

Tatizo ni Watanzania wenyewe, kama Kuna Nchi Ina Mazuzu wengi Duniani, Tanzania inaongoza.
CCM tunawaonea tu, maana wao walishajipambanua ni majizi. Ukienda kwenye chaguzi wanaiba mchana kweupe. Sasa eti unalalamikia mwizi kwa nini unaiba? Tatizo ni hao raia mazwazwa
 
Tatizo sio CCM, tatizo sio Viongozi wa CCM.

Tatizo ni Watanzania wenyewe, kama Kuna Nchi Ina Mazuzu wengi Duniani, Tanzania inaongoza.
Wewe ni zuzu ila bahati mbaya hujui kuwa ni zuzu!!
 
Back
Top Bottom