GWAMAKA USWEGE
JF-Expert Member
- Feb 23, 2023
- 1,398
- 5,198
Usiwatishie wenzako hivyo, utamfanya yule bibi asilale usiku š¤£
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada ya Kanisa Katoliki kijitenga kabisa na uovu wao saivi zinahesabiwa kete tu.Usiwatishie wenzako hivyo, utamfanya yule bibi asilale usiku š¤£
Libya aliwahi kuondolewa Gadaffi na alikuwa na support kubwa ya wananchi, achana na mzungu akikushikia bango mzee.Waje na grader wambembe chura kiziwi wamtose baharini aogelee mpaka visiwani.
Ila mkombozi wa hiyo nchi ni wananchi wake na sio mzungu wala mchina. For as long as wananchi wataendelea kufungia macho udhalimu wa hicho chama, hakuna lolote litakalobadilika.
Nyumbu katika ubora wake!!..maiti nyingi ziko Dar! ila cha ajabu ukitaja mpira na usanii maiti zinaamka!
Kwani kwenye DP World ilikuwaje? Au kinyumbu nyumbu!!?Baada ya Kanisa Katoliki kijitenga kabisa na uovu wao saivi zinahesabiwa kete tu.
Huo ndo Ukweli.Kwa hiyo wewe unakubaliana na Mzoga wa Kenyatta?
Hujui kitu wewe nyumbu hao CIA walishajaribu sana lakini wakashindwa usifikiri ni rahisi hivyo wewe nyumbu!Unaongea ugoro sana wewe! Ukitaka kuijua CIA na M16 fikiria alichofanyiwa Hugo Chavez wa vene, sadam Hussein, gadaf, general Manuel Noriega wa panama! Ukishajikomba Kwa china na urusi au ukiwa against USA na western powers unachakazwa TU!
Nyumbu katika ubora wake!Huo ndo Ukweli.
Atakwambia "Usimtishe", hakuna anaye weza kumtisha mama!Ikitokea siku TISS na JW wakawanawa. Wewe utakuwa wa kwanza watu kudeal na wewe. Maana wewe ndo kiongozi wa machawa
Mzungu mpaka aingilie kati labda wamnyanganye Mafuta na Gesi. Na ile migodi ya Dhahabu.Naona sasa mmechanganyikiwa kabisa.Na bado hiyo ilikuwa ni rasharasha tu .Mvua zenyewe ni Mwakani.
Sabaya bwana mkishashiba ugali na hela za dhulma sijui huwa mnajionajeHujui kitu wewe nyumbu hao CIA walishajaribu sana lakini wakashindwa usifikiri ni rahisi hivyo wewe nyumbu!
Wanazijua haki zao ila Mfumo wao wa Maisha ndio umevurugika.Wanasubiri miujiza siku zote...ili haki ipatikane,inaanza na mtu mmoja mmoja..sasa kama mimi na wewe tayari tuko chalii..( maiti) tunasaidikaje?Nchi hiyo Raia ni maiti
Hata ufanyeje maiti hao hawafufuki
Hawajui kuhusu haki zao.
Bila backup ya mzungu hamna mtu wa kupambana na dola.Bila wananchi wenyew kuamua hakuna jipya
Wazungu/Western World ni watu safi sana mkuu..Mungu wabariki Wazungu
Wazungu waje watuondolee this single party state. CCM ni wabinafsi mnoo. Tumewachoka aisee.. We need to try something new..Bila backup ya mzungu hamna mtu wa kupambana na dola.
UenyekitiMungu wabariki Wazungu
Kila siku lichama hilo hilo, mirangi hiyo hiyo. Wamekataa kuwa kama Ghana. Wazungu njooni mtusaidie kuikomboa Tanzania..Libya aliwahi kuondolewa Gadaffi na alikuwa na support kubwa ya wananchi, achana na mzungu akikushikia bango mzee.
Kama hatakuondoa basi atakuachia kovu ambalo utakaa nalo kila siku ukilitazama kwa maumivu.
Anza wewe kudai haki ili uwe mfano kwa wengineNchi hiyo Raia ni maiti
Hata ufanyeje maiti hao hawafufuki
Hawajui kuhusu haki zao.
Kwa msaada wa Wazungu wa Western World, tutawatoa tu na Tanzania itakuwa free na kila mmoja atasema GOOD RIDDANCE..Anza wewe kudai haki ili uwe mfano kwa wengine
Wananchi ni mazoba.Waje na grader wambembe chura kiziwi wamtose baharini aogelee mpaka visiwani.
Ila mkombozi wa hiyo nchi ni wananchi wake na sio mzungu wala mchina. For as long as wananchi wataendelea kufungia macho udhalimu wa hicho chama, hakuna lolote litakalobadilika.