Kuna pepo likiingia kwenye familia hutafuna vizazi vingi

Kongole mkuu.
Kuna pepo limoja sijui hata liitweje; labda liitwe pepo la kiburi na dharau.
Unaweza kumkuta mtu anazo changamoto nyingi lakini hubahatika kupata Ushauri, Maoni/Maonyo kutoka kwa Jamii na watu mbalimbali wanaomzunguka; lakini kutokana na pepo lililotamalaki kwake yy hupuuzia, hubeza na kudharau hadi iwe yamemfika kama yote.
 
Hilo ni pepo majnuni.. Shida kama zote lakini kiburi na dharau asilimia 100
 
Yan tufanye ngono lakin siyo zembe na wenza sahihi.
 
Vipi ikitokea Kama wewe/ Mimi ndiyo Nina shida,na siyo huyo mwenza. Najinasuaje mkuu?
 
Kuna shida gan ukifanya ngono na mtu sahihi??
 
Hiki ndicho walichokuwa wanakifanya mababu zetu zamani.. Unaweza kukataliwa ndoa kwasababu ya background ya familia
Ashakum si matusi. Siku hizi vetting hufanywa kibinafsi zaidi na kwa ushabiki (mtu anayeoa/olewa)na hufanyika mtu akiwa amelamba kilaji maeneo ya bar/kilabuni au sehemu za starehe na kinachotazamwa ni Umbile/Muonekano wa nje e.g. "figure eight", Tako, Uwezo wa kifedha n.k. Tunakoelekea ni kubaya zaidi hadi Me anatamani Me. Aibu kubwa mno.
 
Mkuu,bado umeniweka katika mabano.

Naomba ufafanuzi wa kina tafadhali.
Kwa tafsiri nyepesi ni mambo ya nyota na afya ya kiroho.. Ukikutana na mtu wa hivyo na mkatengeneza familia automatically kama wewe ni dhaifu kiroho na una hayo majanga yeye ndio atakubeba
 
Leo unaongea kama mtumishi.

Ubarikiwe.
 
Kwa tafsiri nyepesi ni mambo ya nyota na afya ya kiroho.. Ukikutana na mtu wa hivyo na mkatengeneza familia automatically kama wewe ni dhaifu kiroho na una hayo majanga yeye ndio atakubeba
Asante Sana.

Hapa inabidi kutafakari Sana.
 
Painful and touching post
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…