Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SAWA.Meditation inayoongelewa ktk Psalms19:14 ni kutafakari neno la Mungu.
Meditation ya Yoga ni tofauti na hiyo ktk BIBLIA, meditation ya Yoga lazima ukunje miguu ktk mkao Fulani na kuweka mikono ktk pause Fulani Ili kucomnect na Ulimwengu mwingine.
Meditation na uchawi hauna tofauti, anayemeditate anachelewa Kutoka ktk mwili sababu anafanya ktk uwazi bila kificho ukilinganisha na mchawi ambaye huingia ktk Siri.
Mungu amekataza watu kupractice uchawi au kujiconnect au Kutoka mwilini Kwa kutumia jicho la Tatu la Shetani.
Kuna mambo ni magumu sana kueleweka na akili za kawaida, yapo mambo ili kuyatambua yanahitaji ufahamu wa ziada. Mambo mengine akili ya kawaida haiwezi kuyatatua mkuuHiyo sauti ya ndani utaisikia kadiri ya IQ. Kama uwezo wako wa kufikiria umeegemea zaidi kwenye imani za kishirikina, basi sauti utakayoisikia ndo kama ya mleta mada.
Ila kama umejizoesha kufikiria Kwa mawazi huru yenye kuleta logic, huwezi kuhusianisha changamoto zako na habari za mapepo Bali utajibidiisha kuumiza kichwa kuangalia umekosea wapi urekebishe
ZABURI 19:14PSALM 19:14
14 May these words of my mouth and this MEDITATION of my heart be pleasing in your sight, LORD, my Rock and my Redeemer.
Vijana wanasema meditation na yoga ni ushirikina mkuu.ZABURI 19:14
14 Maneno haya ya kinywa changu, na KUFIKIRI kwa moyo wangu, na yapate kibali machoni pako, Ee Yehova, Mwamba wangu na Mwokozi wangu.[emoji1548][emoji1545]
Pepo anajilisha na kujiimarisha kupitia tabia ya mtu husika na mazingira yanayomzunguka. Upo sahihi mzee Mshana JrHizo tabia ndio mapepo yenyewe sasa
Hii ilikuwa zamani sana na baadhi ya makabila/koo, siku hizi pesa mbele vetting kuleee.....Kuna vetting huwa inafanyika kwa mtu anayetaka au anayeteuliwa kwenye nafasi nyeti serikalini.
Kuna baadhi ya familia ukitaka kuingia lazima ufanyiwe vetting ya kutosha, usipokidhi vigezo huingii kwenye hiyo familia ama kwa kuoa au kuolewa....
Na wakuu wa koo/familia wako makini na hilo lengo ni kutopoteza mali na kuingiza mipenyo itayowatafuna kama magonjwa nyemelezi, umaskini, laana, ukichaa/kurukwa na akili, ulevi n.k.
Jibu la swali lako sio la kuweka publicMkuu siyo wanadamu kivipi, sijaelewa hapa. Nitashukuru ukinifafanulia.
Mkuu text zinagoma kwenda huko pm sijui tatizo ni niniKaribu
Na wao viherehere vimezidi.Na sisi wanaume tuache kuwapa mimba hawa mabinti na kutokuwajibika.
Hivi huyu wa Miezi 3 Baba yake anakosekanaje Jamani? Haya yanasikitisha sana.
Ipo hapa mtaani mzee ana watoto tisa, wakike ni saba wa kiume wawili. Wadada wote wamezalishwa tena sio mtoto m'moja wamezidiana idadi ila kila m'moja ana watoto zaidi ya wawili. Wamerudishwa nyumbani wote na watoto. Mzigo anabeba bibi yao.Kuna familia naifahamu mabinti wote wsmeachika kwa waume zao. Vijana wa kiume wote wamezaa nje ya ndoa....
Mnyororo
Ntakupiga ujue pumbavu wewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna familia unakuta wote Yanga kila siku kufugwa na huzuni tu.
Imagine unatoka familia ambayo baba yako ni Dereva wa daladala na hakuna aliyesoma hata kufika darasa la saba halafu mtoto wako awe bishoo akutane na mjukuu wa kimei club wapendane , siku ya kutambulishwa lazima mpigwe chini kama fuko la mzoga.Kuna vetting huwa inafanyika kwa mtu anayetaka au anayeteuliwa kwenye nafasi nyeti serikalini.
Kuna baadhi ya familia ukitaka kuingia lazima ufanyiwe vetting ya kutosha, usipokidhi vigezo huingii kwenye hiyo familia ama kwa kuoa au kuolewa....
Na wakuu wa koo/familia wako makini na hilo lengo ni kutopoteza mali na kuingiza mipenyo itayowatafuna kama magonjwa nyemelezi, umaskini, laana, ukichaa/kurukwa na akili, ulevi n.k.
Huwa nawaambia watu kinachoweza kukuangusha mwanaume /mwanamke unapokwenda kuoa /kuolewa ni aina ya familia anayotoka mwanamke/mwanaume wako.Yeah, kuna kila sababu na haki kwa watu kulinda watu wao kutokana na wasiojulikana na wakijulikana wana mawaa shurti kuwaweka mbali na watu wako wa karibu.
Kujichanganya na kama mbalimbali kumeharibu na kuvuruga mipango ya wengi ya maendeleo.
Unatafutiwa mke/mume unachaguliwa ujuzi wa kuwa nao kujkendesha kimaisha, unaandaliwa kujitegemea na kuinua wengine .......