Tetesi: Kuna pikipiki na bajaji zinazotumia umeme wa jua. Hivi askari wa usalama barabarani wana taarifa na pikipiki hizo?

Kama chombo kinaenda zaidi ya km 50/hr ni bora kitungiwe sheria ili tusije sababisha majanga kwa watu wengine, kipewe usajili, kilipe bima nk.
Intelligent person can be seen by their writtings
 
siku hizi naona penalty wamepunguza hadi 15,000 kama kosa likiwa 30,000
 

Haki na wajibu, unataka upite kwenye lami siyoilipia?
unataka taa za barabaran usizo lipia?

Mimi mwenyewe ninayo ya mwanangu Chacha lakini hapna, lazma tulipe
 
[emoji16][emoji1][emoji2]

Sent from Tapatalk
 
siyo "gele" ni "gere" , by the way DAr huku ninakaa nyumba ya serikali na sina jirani kapukiu, nipo Mikocheni karibu na Kairuki, ninaibua maswala muhimu kwenye jamii ambayo yanafungiwa macho na walinda sheria.
Nimekugusa panapo maana unayo hii pikipiki na haina namba, tutazisajili tu, kama wamachinga tumwwasajili hapa ytutashindwa nini?
 
mi nashangaa watu wanao sapoti huu uzi.
Huu ni uchawi na roho mbaya.watu tunakamuliwa kila sekta.watu wanatafuta unafuu wa maisha bado mnatamani tena wakamuliwe hata pasipo kamulika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…