Tetesi: Kuna pikipiki na bajaji zinazotumia umeme wa jua. Hivi askari wa usalama barabarani wana taarifa na pikipiki hizo?

Tetesi: Kuna pikipiki na bajaji zinazotumia umeme wa jua. Hivi askari wa usalama barabarani wana taarifa na pikipiki hizo?

Katika hali isiyo ya kawaida inasemekana Jeshi la Polisi limelala usingizi wa PONO [samaki huyu hulala usingizi wiki mbili mfulilizo kwenye matumbawe].

Hali hiyo imekuja baada ya uwepo wa PIKIPIKI, VESPER NA BAISKELI za kisasa zenye kutumia umeme wa jua na umeme wa maji ambazo huchajiwa.

Swali la kujiuliza: Je, hivi pikipiki hata kama zikikugonga hazina bima wala namba, akikimbia huwezi mkamata, wanabeba mizigo na abiria kama nyingine, tatizo ni sheria ya barabarani haizitambui, sheria tuliyoridhi kwa mkoloni yaani THE ROAD TRAFFIC ACT, ambayo inaelezea chombo cha moto lazma kiwe na injini inayoendeshwa na propeller or mashine, of which hizi ni za umeme.

Rais Magufuli ana nia njema ila ana watendaji wabovu kuliko maelezo, yaani watunga sheria, ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali, jeshi la polisi kitengo cha usalama barabarani walipasa kuishauri serikali, WAONDOKE TU RAIS AFANYE MWENYEWE KAMA HAWAWEZI WANASHINDA MITANDAONI KUJIBIZANA KWENYE MITANDAO YA NGONO KWA WIFI YA BURE HUKO MAWIZARANI.

Serikali inakosa mapato mengi kwakuwa hivi vyombo vingesajiliwa vingeingiza mapato kwa taifa.




B
Watu wapumbavu kama wewe hamkupaswa kufutiwa kodi ya kichwa.
 
Watu wapumbavu kama wewe hamkupaswa kufutiwa kodi ya kichwa.
wewe ni mwerevu , nakujua, lipa kodi kwa maendeleo ya nchi.

POLISI/ LART- naombeni hizi pikipiki na baiskeli za mota/kuchaaji zisajiliwe, zina nguvu na kufanya kazi kama basikeli nyingine tu
 
Ssome uelewe, Tunataka zilipe insurance incase ikisababisha ajali kama zinavyogonga watu kariakoo kwa sasa mtu aweze fidiwa na bima.
Tunataka ziwe na namba, zikifanya uhalifu tujue wa kumkamata.
tunataka zilipe mapato ili serikali ipate fedha ya kulipa wanajeshi wanaolinda nchi yetu wakati MA-BOGUS kama wewe mnaamkia kwenye nyumba za urithi hamjui lolote kuhusu maisha.
[emoji3][emoji3][emoji3]Duh
 
Dah hii nimeipenda sana,kama bei iko chini hivyo na havihitaji usajili nitaenda kukinunua.
Hivi hicho naweza kupanda mimi na mke wangu kwenda batani au ni cha kupanda mtu mmoja tu?
Mnapanda watu wawili, zipo hata bajaji za namna hiyo, ni bei chee sema sasa nataka zisajiliwe kwakuwa kikikugonga kina impact kama hizi nyingine lakini hulipwi na havina bima wala usajili wowote
 
lakini mkuu kwa mimi wala sioni umuhimu wa hizo usajili na bima ni utapeli tu.
Wewe unafikiri hizi bodaboda za kawaida zikikugonga ndio utalipwa na bima?mara ngapi bodaboda zinagonga watu na hakuna malipo yoyote
Mnapanda watu wawili, zipo hata bajaji za namna hiyo, ni bei chee sema sasa nataka zisajiliwe kwakuwa kikikugonga kina impact kama hizi nyingine lakini hulipwi na havina bima wala usajili wowote
 
Shida yake hizi Electrical na Solar Bike nazo zitambulike kama Vyombo vya moto ili zikatiwe Bima labda
Huko zinapotoka China wala hazifanyiwi registration, na ni rafiki wa mazingira havitowi moshi.
 
lakini mkuu kwa mimi wala sioni umuhimu wa hizo usajili na bima ni utapeli tu.
Wewe unafikiri hizi bodaboda za kawaida zikikugonga ndio utalipwa na bima?mara ngapi bodaboda zinagonga watu na hakuna malipo yoyote
hulipwi kwakuwa hufuatilii na wapambe wanakwambia "malianeni kiume" .

Waelewa huwa hawakubali mpaka trafiki apime na apate ripoti ili bima ilipe.
Mimi ukigusa gari yangiu utaimba haleluya, utalipa wewe na ukoo wako
 
Haya kama bima ni third party
Unalipwa ?
hulipwi kwakuwa hufuatilii na wapambe wanakwambia "malianeni kiume" .

Waelewa huwa hawakubali mpaka trafiki apime na apate ripoti ili bima ilipe.
Mimi ukigusa gari yangiu utaimba haleluya, utalipa wewe na ukoo wako
 
Watanzania ni watu kwenye roho mbaya,mada kama huzi huezi kuzikuta Nigeria,Burundi au hata Kenya,hizi ni roho za kichawi,nashukuru mungu baba yangu alikufa miaka mingi iliyopita kabla ya kizazi hiki ni aibu kuishi Na watu kwenye roho ya wivu kiasi hiki,mwenye ile Pikipiki Na mweye baiskeli yupi rahisi zaidi kukimbia, every little thing you do to progressive, none ambitious people crush it.them nuh have no ambition at all

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo baiskeli nazo zisajiliwe sio, la
 
Ila mchina jamani,anasumbua dunia sana...mara taa za barabarani za solar hata ukatike umeme zenyewe zinawakaga tu,mara pikipiki za umeme,,yaani usumbufu juu ya usumbufu,
Serikali ipige marufuku hivi vitu,havitambuliwi na sheria,vitatuletea majanga
 
Back
Top Bottom