Kuna sababu gani Tundu Lissu kukaa kimya kabisa kwenye kesi ya Ugaidi ya Mbowe?

Kuna sababu gani Tundu Lissu kukaa kimya kabisa kwenye kesi ya Ugaidi ya Mbowe?

kesi ipo mahakamani unataka aongee nini sasa.unadhani Lisu na mazuzu kama nyie mnaopiga kelele na hamjui taratibu za kimahakama? kama wewe unaamini mbowe sio gaidi nenda mahakamani kamtetee ili uwe kama shahidi wake.
 
Tundu Lissu alikosea mwanzoni kwa kuanzia kumbwatukia Mama kuhusu haki zake kwenye mitandao na suala la Katiba mpya. Naamini kuna watu wenye busara wamemshauri vizuri na amekubali ushauri.

Njia nzuri kwake ni ku HANDLE madai yake kimya kimya kiofisi kuliko kuyapeleka SPACE au Clubhouse. Kudai Katiba mpya, kudai madai yake openly kwenye social media ilikuwa ni kuwafurahisha wasomajj wa mitandao tu. Tundu Lissu lazima afikirie maisha yake binafsi kwanza
 
Sina shakha juu uchunguzi wa kushambuliwa kwa Lissu kuwa ulifanyika na wahuni fulani na Jiwe mwenyewe, na Lissu analijua vyema ila sasa ukifanyika uchunguzi juu ya kifo cha Chacha Wangwe....!!!! Mmhh tutabeba kila kilicho chetu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Uchunguzi wa chacha Wangwe labda uombe urudiwe, na kwa taarifa yako mpaka kesi ya kifo chake ilifanyika kwenye mahakama hizo hizo za ccm. Unaweza kurudi kwenda kufungua tena kesi utoe ushahidi mwingine, maana Mbowe ni mpinzani hutapata kikwazo chochote. Imeisha hiyo.
 
Je ndio ameamua kuwa kimya ili Mbowe akifungwa aje Kama Mwenyekiti mpya wa chama?!!.

Je ameamua kufuata mkondo wa Swahiba wake Zitto Zuberi Kabwe aliyekaribia kumsajili ACT-Wazalendo kuwa tusitegemee kuona akikosoa Kama Awamu iliyopita.

Nilimsikia kuwa alishawahi kupigiwa simu kwamba Mama anataka kuongea nae ila akashangaa ukimya. Je walishaongea na kumaliza tofauti zao hivyo hawezi kuiongelea kesi hii sababu anaweza kumuudhi mama. Au ni sehemu ya maongezi yao kuwa akae kimya.

Au Tundu Lissu anaamini Mbowe ni Gaidi kweli na ameona ushahidi unajitosheleza hivyo anaogopa kuongea hukumu ikaja kinyume akaumbuka.

Au amekumbuka kurudi home na amechoka kukaa uhamishoni hivyo anajitahidi kutouudhi utawala mpya kabla ya kurudi.

Au ndio fadhila ya kesi zake kufutwa.

Sipendi aongee kashfa zake hapana. Natamani atoe uchambuzi na maoni kwa Serikali na dunia Nini kifanyike kumnasua Freeman haraka kwenye huu mtego utakaomuweka maabusu mwaka mzima.

Naona Mbowe ananigwa na kugalagala pekeyake. Sio Salum Mwalimu, Zitto, Mbatia, Shibuda, Viongozi wa dini wanaoshugulika ata kumuongelea au kusisitiza haki kufuata mkondo wake.

Tundu kaa kimya hivyohivyo tusubiri mawe yaongee.
Sijaona kama umekamilika kiweledi kuhusu mambo haya ya kesi zikiwa mahakamani. Hadi sasa majaji wanahangaishwa na Kauli ya Mama Samia kuanza kuongelea na hata kutoa kabisa hukumu kwamba Mbowe ni Gaidi kupitia BBC. Lakini kwenye utawala wa sheria kesi ikishakuwa mahakamani haiongelewi hadharani. Lissu ni mwanasheria, anajua taratibu za kisheria, mawakili wa Mbowe wanaweza wakawa wanawasiliana naye na kupeana mawili matatu na siyo lazima aanze kuiongelea kesi hadharani wakati anajua kabisa kwamba siyo sawa. Labda kama wewe una lako jambo.
 
Nenda kwenye hopeless space yao uko Kila alhamis utaona anaongea wakiwa na wale kina dada ambao wamesomeshwa na pes aza ccm na mpaka leo wazazi wao wanahudumiwa na ccm na ndipo wanapata kiburi cause wanajua hata wakikosa kazi ccm ipo inatunza wazazi wao so Wana uhakika wa kula na kulala bure so wanakuja walisha matango pori kina mdude ambao wakizingua tu dakika mbili defender zipo mlangoni mwao
Pesa za wananchi zimeanza lini kuwa pesa za ccm...,?
 
Nenda kwenye hopeless space yao uko Kila alhamis utaona anaongea wakiwa na wale kina dada ambao wamesomeshwa na pes aza ccm na mpaka leo wazazi wao wanahudumiwa na ccm na ndipo wanapata kiburi cause wanajua hata wakikosa kazi ccm ipo inatunza wazazi wao so Wana uhakika wa kula na kulala bure so wanakuja walisha matango pori kina mdude ambao wakizingua tu dakika mbili defender zipo mlangoni mwao
Hizo pesa ccm wanazitoa wapi?
 
Nenda kwenye hopeless space yao uko Kila alhamis utaona anaongea wakiwa na wale kina dada ambao wamesomeshwa na pes aza ccm na mpaka leo wazazi wao wanahudumiwa na ccm na ndipo wanapata kiburi cause wanajua hata wakikosa kazi ccm ipo inatunza wazazi wao so Wana uhakika wa kula na kulala bure so wanakuja walisha matango pori kina mdude ambao wakizingua tu dakika mbili defender zipo mlangoni mwao
CCM inatoa wapi pesa?

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Je ndio ameamua kuwa kimya ili Mbowe akifungwa aje Kama Mwenyekiti mpya wa chama?!!.

Je ameamua kufuata mkondo wa Swahiba wake Zitto Zuberi Kabwe aliyekaribia kumsajili ACT-Wazalendo kuwa tusitegemee kuona akikosoa Kama Awamu iliyopita.

Nilimsikia kuwa alishawahi kupigiwa simu kwamba Mama anataka kuongea nae ila akashangaa ukimya. Je walishaongea na kumaliza tofauti zao hivyo hawezi kuiongelea kesi hii sababu anaweza kumuudhi mama. Au ni sehemu ya maongezi yao kuwa akae kimya.

Au Tundu Lissu anaamini Mbowe ni Gaidi kweli na ameona ushahidi unajitosheleza hivyo anaogopa kuongea hukumu ikaja kinyume akaumbuka.

Au amekumbuka kurudi home na amechoka kukaa uhamishoni hivyo anajitahidi kutouudhi utawala mpya kabla ya kurudi.

Au ndio fadhila ya kesi zake kufutwa.

Sipendi aongee kashfa zake hapana. Natamani atoe uchambuzi na maoni kwa Serikali na dunia Nini kifanyike kumnasua Freeman haraka kwenye huu mtego utakaomuweka maabusu mwaka mzima.

Naona Mbowe ananigwa na kugalagala pekeyake. Sio Salum Mwalimu, Zitto, Mbatia, Shibuda, Viongozi wa dini wanaoshugulika ata kumuongelea au kusisitiza haki kufuata mkondo wake.

Tundu kaa kimya hivyohivyo tusubiri mawe yaongee.

mkuu,
kwamba umeshafanya research zakutosha na ukajithibitishia kwamba Mh Lissu hajatoa tamko wala msimamo wake kwa kile kinachoendelea Mahakama kuhusu kesi ya Mh. Mbowe???
 
Je ndio ameamua kuwa kimya ili Mbowe akifungwa aje Kama Mwenyekiti mpya wa chama?!!.

Je ameamua kufuata mkondo wa Swahiba wake Zitto Zuberi Kabwe aliyekaribia kumsajili ACT-Wazalendo kuwa tusitegemee kuona akikosoa Kama Awamu iliyopita.

Nilimsikia kuwa alishawahi kupigiwa simu kwamba Mama anataka kuongea nae ila akashangaa ukimya. Je walishaongea na kumaliza tofauti zao hivyo hawezi kuiongelea kesi hii sababu anaweza kumuudhi mama. Au ni sehemu ya maongezi yao kuwa akae kimya.

Au Tundu Lissu anaamini Mbowe ni Gaidi kweli na ameona ushahidi unajitosheleza hivyo anaogopa kuongea hukumu ikaja kinyume akaumbuka.

Au amekumbuka kurudi home na amechoka kukaa uhamishoni hivyo anajitahidi kutouudhi utawala mpya kabla ya kurudi.

Au ndio fadhila ya kesi zake kufutwa.

Sipendi aongee kashfa zake hapana. Natamani atoe uchambuzi na maoni kwa Serikali na dunia Nini kifanyike kumnasua Freeman haraka kwenye huu mtego utakaomuweka maabusu mwaka mzima.

Naona Mbowe ananigwa na kugalagala pekeyake. Sio Salum Mwalimu, Zitto, Mbatia, Shibuda, Viongozi wa dini wanaoshugulika ata kumuongelea au kusisitiza haki kufuata mkondo wake.

Tundu kaa kimya hivyohivyo tusubiri mawe yaongee.
Kesi ya Mbowe sio yakumaliziwa hapo Mahakama za kina Jaji Siyani na Ibrahimu.

Lissu ni mtu inteligent sana. Yuko Mbele miaka 1000 kiakili. Ana dili nayo Ki-internationally na atashinda.

Kesi ya mbowe haushindi kwa maneno. Ni Sala na Maombi kwa Mungu.
 
Je ndio ameamua kuwa kimya ili Mbowe akifungwa aje Kama Mwenyekiti mpya wa chama?!!.

Je ameamua kufuata mkondo wa Swahiba wake Zitto Zuberi Kabwe aliyekaribia kumsajili ACT-Wazalendo kuwa tusitegemee kuona akikosoa Kama Awamu iliyopita.

Nilimsikia kuwa alishawahi kupigiwa simu kwamba Mama anataka kuongea nae ila akashangaa ukimya. Je walishaongea na kumaliza tofauti zao hivyo hawezi kuiongelea kesi hii sababu anaweza kumuudhi mama. Au ni sehemu ya maongezi yao kuwa akae kimya.

Au Tundu Lissu anaamini Mbowe ni Gaidi kweli na ameona ushahidi unajitosheleza hivyo anaogopa kuongea hukumu ikaja kinyume akaumbuka.

Au amekumbuka kurudi home na amechoka kukaa uhamishoni hivyo anajitahidi kutouudhi utawala mpya kabla ya kurudi.

Au ndio fadhila ya kesi zake kufutwa.

Sipendi aongee kashfa zake hapana. Natamani atoe uchambuzi na maoni kwa Serikali na dunia Nini kifanyike kumnasua Freeman haraka kwenye huu mtego utakaomuweka maabusu mwaka mzima.

Naona Mbowe ananigwa na kugalagala pekeyake. Sio Salum Mwalimu, Zitto, Mbatia, Shibuda, Viongozi wa dini wanaoshugulika ata kumuongelea au kusisitiza haki kufuata mkondo wake.

Tundu kaa kimya hivyohivyo tusubiri mawe yaongee.
Kule Twitter anaongea Sana kwenye Maria space ,lakini pia Tundu Antipas lissu ndie anaengoza jopo la kamati ya ufundi upande wa mawakili Kwa hyo ninachokiamini wapo pamoja na mboe Kwa asilimia Mia ,,,
 
Back
Top Bottom