macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Kinachofanya joto la Dar liwe baya ni humidity. Humidity iko very high kwa sababu ya bahari na maji chumvi hivyo kufanya mwili kushindwa ''kupumua'' Huko kwingine mnakosema ukikaa sehemu ya uwazi ambayo haina direct sunshine huwezi kujisikia vibaya kama Dar.Dar watu wanakuza sana mambo.. bado sijaona hilo joto la kulia lia hivi.
Kibegere iko wapi?Achanen na sehem inaitwa kiberege pale nahisi watu wanaungua aisee
Kiberege kabla haujafika ifakaraKibegere iko wapi?
Pawaga cha mtoto hujafika "Migoli" hata mvua hainyeshagi kule 😝kuna sehemu inaitwa "Pawaga" ni kisanga.
Hao wana kupotosha nenda ukanda wa mlima nyang'oro uone motoooKwani ruaha mbuyuni na iringa mjini kuna kilometer ngapi,,, mana nilishwahi pita iringa mjini kule gangilonga kuna baridi kama uko kwenye friji,,, sasa mnaposema ruaha mbuyuni kuna joto zaidi ya dar wakati baridi ya iringa inaanzia pale tu unapoanza mlima wa kitonga, hapo kidogo mmeniacha ndugu zangu
Kimara sihami.Ni kweli mtu wa makabe,kibamba,kiluvya,kimara hajui joto la dar likoje
Hata wadada wa badoo ukiwauliza wanaishi wapi,utaskia kimara.kimara mmebarikiwa aseeKimara sihami.
Wapi Tena Dar Kuna kitimoto Kama Kimara, bar nzuri Kimara, usafiri wa mwendokasi Kimara. Kuna kitu nimesahau?
Yes. Waungwana Dar wanapatikana Kimara.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pawaga cha mtoto hujafika "Migoli" hata mvua hainyeshagi kule [emoji13]
Hiyo starehe ishapitwa na wakati.Hata wadada wa badoo ukiwauliza wanaishi wapi,utaskia kimara.kimara mmebarikiwa asee
Muda huu iko 32°C wakati Dar iko 28°CUko serious?
Utanikuta mountain peakMkuu nipo hapa viwanja sitini hali ni tete,kuku wanakufa tu.
Nyuma ya ziginali kabla hujafika ifozaKiberege kabla haujafika ifakara
Hii sehem ipo wapi aiseeee nitafute kiwanjaaa...nilifika sehemu inaitwa king'ongo ng'ambo ya kimara nikaona kuha hali ya hewa inakaribiana na njombe. Niliinjoi sana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Motogoro nayo iko wapi?
Cha moto au cha mtema Kuni za joto?Nipo apa mlabani nakiona cha moto
Fufu pale kuna baridi hivyooo nenda Mtera ukajionee maajabu ya bwana hata mvua kwao ni mara mbili au tatu msimu mzimaAu Fufu , ya dodoma , hazitofautiani