Miss_Mariaah
JF-Expert Member
- Nov 9, 2022
- 2,176
- 4,979
Mwaka tasafaliHello jf,
Hi Shule YA government, wamefanya vizuri Sana Na huwa wanafanya vizuri Sana...imagine mwanao amepangiwa Shule hii
Matokeo YA form 4 Haya this yearMwaka tasafali
Kumbe akili unazo ila unajitoa ufahamu kupeleka watoto Ems.Serikali ingesmua kwa dhati kuwekeza kwenye shule zake, sidhani kama watu wangepata shida wapi wapeleke watoto wao.
Tatizo ni kuwa uwekezaji kwenye elimu ni mdogo sana.
Form haina mwakaMatokeo YA form 4 Haya this year
Hapa sawa mkuu!Kumbe una akili unazo ila unajitoa ufahamu kupeleka watoto Ems.
Yani waruhusu elimu ya serikali iwe juu kushinda ya wafanyabiashara wakati haohao wanaserikali ndio wafanyabiashara...😁Serikali ingesmua kwa dhati kuwekeza kwenye shule zake, sidhani kama watu wangepata shida wapi wapeleke watoto wao.
Tatizo ni kuwa uwekezaji kwenye elimu ni mdogo sana.
Hatari
Conflict of interest, hili ni tatizo.Yani waruhusu elimu ya serikali iwe juu kushinda ya wafanyabiashara wakati haohao wanaserikali ndio wafanyabiashara...😁
kimelambanaConflict of interest, hili ni tatizo.
Hii ni Special school, kama Mzumbe, Tabora boys/girls, Ilboru na nyingine, huwezi linganisha na hizi za kata.Hello JF,
Hi shule ya government, wamefanya vizuri sana na huwa wanafanya vizuri Sana
Imagine mwanao amepangiwa shule hii
Hii ndio shule aliyesoma:-Hello JF,
Hi shule ya government, wamefanya vizuri sana na huwa wanafanya vizuri Sana
Imagine mwanao amepangiwa shule hii
Shiraka la elimu kibaha ni taasisi ya umma (serikali)Hii ni shule ya shirika la elimu kama sikosei sio full government school