LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Mbona wengi tu.We kwa akili zako watoto wanaochaguliwq kibaha wametoka shule msingi mwendapole?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona wengi tu.We kwa akili zako watoto wanaochaguliwq kibaha wametoka shule msingi mwendapole?
Anajizima data huyo kingine hiyo shule mpaka miaka ya juzijuzi ilikuwa ikipata misaada kutoka nje so tunarudi palepale uwekezaji duni katika elimu hupelekea matokeo duni na si vinginevyo.Zaidi ya 70% ya wanafunzi unaowaona hapo wamefaulu wametoka EMs na wapo vipaji maalum.
Na shule hazifundishi kivile wanafunzi wanakula sana tuition na kujisomea wenyewe. Sasa hicho kipaji ni cha kurithi, kama mzazi ulikuwa unataga usidhani mwanao atafaulu hapo. Hakanyagi hiyo shule.
Wewe ni zao la lowassa kipaji kata inaonekanaHii ni shule ya shirika la elimu kama sikosei sio full government school
Pia imekuwa ikipata misaada kutoka nje wakiwepo waalimu tena waalimu wazuriShiraka la elimu kibaha ni taasisi ya umma (serikali)
Kuna dogo aliingia Kibaha kimichongo ila matokeo ya Form II yamemzingua. Ni kati ya wanafunzi wawili waliopata div IVWanaopangiwa huko ni watoto wanaopenda kusoma, waliopata A zote matokeo ya la saba.
Kama Ilboru, kisimiri na mzumbe.
Kama mwanao hapendi kusoma, unampa pole kwamba 'asikilize kipaji chake' 'elimu sio kila kitu' huko ataingia labda kwa hongo na atakuwa kilaza wa darasa.
Hello JF,
Hi shule ya government, wamefanya vizuri sana na huwa wanafanya vizuri Sana
Imagine mwanao amepangiwa shule hii
Mimi nadhani wapewe tu ajira pale NECTA. Wao ndo wawe wasahisha mitihani.Kuna shule moja nimeona wamepiga PT 7 wote, sasa hao si walitakiwa waende University moja kwa moja au walikua wana kariri?
Hawa mchujo wa kuanza Form one umekaa kibabe sana imagine wanakawaida ya kuchukua watoto 80 ila mchujo unaweza kuwa na watoto hata 300 ambao wanaonekana wako vizuri.Duh!
Ina maana hao wasichana darasa lao wote ni ma-genius , hakuna kilaza.
Kweli God is wonderful!
Hongera zao.
Pia imekuwa ikipata misaada kutoka nje wakiwepo waalimu tena waalimu wazuri
Uzuri hiyo shule naijua vizuri sana toka miaka hiyo hivyo sijaandika kwa kukurupuka....Kibaha ipo chini ya serikali na haijawahi pata misaada ya waalimu toka nje kama ulivyoandika...
Waalimu wa Kibaha ni waswahili kwa maiaaka mingi tu...
Tatizo bado serikali haijawekeza vizuri kwenye elimu kama watu au taasisi binafsi.Kumbe akili unazo ila unajitoa ufahamu kupeleka watoto Ems.
Upo sahihi mkuuHii ni shule ya shirika la elimu kama sikosei sio full government school
Umeongea ukweli karibu maelezo yote. Umeharibu ulipozungumzia kukariri.Hii ndio shule aliyesoma:-
1.Kikwete
2.Mbowe
3.Ndugai
4.Salum Mwalimu
5.Lazaro Nyarandu
6.Leodgar Tenga
A lot of doctors and PhD holders wamepita hapa,.........walimu hawana mchango wowote kwenye hii shule,usijidanganye kama mwanao kilaza na una pesa mpeleke tu Marian,Feza akakalili,hapo vijana wanasoma kuelewa sio kukalili wapige A flats.
Hapo madogo wanajielewa kuliko 80% ya Tanzania adult population.
Hakuna dogo wa kuamshwa hapo,kuhimizwa kusoma,Wala kuchapwa sababu hajafanya homework,......unaweza ishi Kibaha/Tumbi mwaka mzima usiijue hio shule ipo wapi na hata ukiijua unaweza dhani haina wanafunzi
Uzi uliochangia unaisema shule gani.Okay I agree kumbe ni St Francis . Nilikuwa najua hii hapa ile shule ya Nyan'gwale kumbe hawa St Francis ambayo ni ya kulipia shule ya kanisa.
Am not even surprised
Marian, Feza hawapokei vilazaHii ndio shule aliyesoma:-
1.Kikwete
2.Mbowe
3.Ndugai
4.Salum Mwalimu
5.Lazaro Nyarandu
6.Leodgar Tenga
A lot of doctors and PhD holders wamepita hapa,.........walimu hawana mchango wowote kwenye hii shule,usijidanganye kama mwanao kilaza na una pesa mpeleke tu Marian,Feza akakalili,hapo vijana wanasoma kuelewa sio kukalili wapige A flats.
Hapo madogo wanajielewa kuliko 80% ya Tanzania adult population.
Hakuna dogo wa kuamshwa hapo,kuhimizwa kusoma,Wala kuchapwa sababu hajafanya homework,......unaweza ishi Kibaha/Tumbi mwaka mzima usiijue hio shule ipo wapi na hata ukiijua unaweza dhani haina wanafunzi
Anayefanya vizuri kwenye mitihani lazima pia awe na uwezo mkubwa wa kukariri, haiwezekani mtu mwenye uwezo duni wa kukariri akawa kipanga.Umeongea ukweli karibu maelezo yote. Umeharibu ulipozungumzia kukariri.
Mkuu hao wengi ni wale wa kukariri, in fact elimu ya Tanzania ni kukariri/kukaririshwa kuanzia kindergarten hadi Masters at least PhD huko kuna nafuu.
Primary na Secondary education kwa Tanzania ni kukariri tu 98% ya wanafunzi.
Unajua nn Ndugu yangu 😁,msoto WA mtaani si unauona sasa usiwape kichwa kwa nyuzi kama hizi waambie hapa badoHello JF,
Hi shule ya government, wamefanya vizuri sana na huwa wanafanya vizuri Sana
Imagine mwanao amepangiwa shule hii
ina maana hujui hii ni shule ya mabingwa wa kila mkoa? Kulitokea mgomo wa wanafunzi kupewa maswali ya past papers wao wanayo toka mwingereza ai gie nchi hiiMatokeo YA form 4 Haya this year
HahahahahaMimi nadhani wapewe tu ajira pale NECTA. Wao ndo wawe wasahisha mitihani.