Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Elimu ya bongo ukiwa na cramming capacity ya hali ya juu kupiga 1 ya 7 ni kugusa tu. Ukimeza syllabus yote ukakariri maswali ya revision na past papers unatoboa 100%.
Hilo ni moja, la pili ni kuhakikisha umeelewa kila topic na ukafanya sana mazoezi. It takes heart na hii ni kwa watoto ambao wana passion na shule hasa mkikutana sehemu moja you can do wonders. Kiulaini sana unatoboa sio unakuta shule kuna wavuta bangi mars wengine wanatoroka wanaenda disco usiku. Hakuna utulivu yani
Hilo ni moja, la pili ni kuhakikisha umeelewa kila topic na ukafanya sana mazoezi. It takes heart na hii ni kwa watoto ambao wana passion na shule hasa mkikutana sehemu moja you can do wonders. Kiulaini sana unatoboa sio unakuta shule kuna wavuta bangi mars wengine wanatoroka wanaenda disco usiku. Hakuna utulivu yani