Ya kale dhahabu
JF-Expert Member
- Oct 25, 2023
- 317
- 495
Hata Tabora boys nayo imeua sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndio shule aliyesoma:-
1.Kikwete
2.Mbowe
3.Ndugai
4.Salum Mwalimu
5.Lazaro Nyarandu
6.Leodgar Tenga
A lot of doctors and PhD holders wamepita hapa,.........walimu hawana mchango wowote kwenye hii shule,usijidanganye kama mwanao kilaza na una pesa mpeleke tu Marian,Feza akakalili,hapo vijana wanasoma kuelewa sio kukalili wapige A flats.
Hapo madogo wanajielewa kuliko 80% ya Tanzania adult population.
Hakuna dogo wa kuamshwa hapo,kuhimizwa kusoma,Wala kuchapwa sababu hajafanya homework,......unaweza ishi Kibaha/Tumbi mwaka mzima usiijue hio shule ipo wapi na hata ukiijua unaweza dhani haina wanafunzi
Huyo mwenye nyekundu alitaga 🥚 🐣 au nasema uongo cc. johnthebaptistHii ndio shule aliyesoma:-
1.Kikwete
2.Mbowe
3.Ndugai
4.Salum Mwalimu
5.Lazaro Nyarandu
6.Leodgar Tenga
A lot of doctors and PhD holders wamepita hapa,.........walimu hawana mchango wowote kwenye hii shule,usijidanganye kama mwanao kilaza na una pesa mpeleke tu Marian,Feza akakalili,hapo vijana wanasoma kuelewa sio kukalili wapige A flats.
Hapo madogo wanajielewa kuliko 80% ya Tanzania adult population.
Hakuna dogo wa kuamshwa hapo,kuhimizwa kusoma,Wala kuchapwa sababu hajafanya homework,......unaweza ishi Kibaha/Tumbi mwaka mzima usiijue hio shule ipo wapi na hata ukiijua unaweza dhani haina wanafunzi
Ongeza nyama mkuu.Hii ni shule ya shirika la elimu kama sikosei sio full government school
Tukiweka orodha ya watagaji Hapa itakuwa balaa bwashee 😄Huyo mwenye nyekundu alitaga 🥚 🐣 au nasema uongo cc. johnthebaptist
Duh!
mshua wako aliatmia au alitotoa?Tukiweka orodha ya watagaji Hapa itakuwa balaa bwashee 😄
Sugu alitaga
Ole sendeka alitaga
Ngoja niishie hapo 😀
Wazee wa Malangali secondary hawakuwahi kutaga hata mmoja 😀😀mshua wako aliatmia au alitotoa?
Hiyo shule wanafunzi wote ni zao la EM mind you
St Francis Girls' Sec School Mbeya.Kuna shule moja nimeona wamepiga PT 7 wote, sasa hao si walitakiwa waende University moja kwa moja au walikua wana kariri?
Kibaha, Ilboru, Mzumbe, Msalato na Kilakala ni shule za serikali za vipaji maalumu.Hello JF,
Hi shule ya government, wamefanya vizuri sana na huwa wanafanya vizuri Sana
Imagine mwanao amepangiwa shule hii
Where are the receipts?Hiyo shule wanafunzi wote ni zao la EM mind you
We kwa akili zako watoto wanaochaguliwq kibaha wametoka shule msingi mwendapole?Where are the receipts?
Zaidi ya 70% ya wanafunzi unaowaona hapo wamefaulu wametoka EMs na wapo vipaji maalum.Kumbe akili unazo ila unajitoa ufahamu kupeleka watoto Ems.
Wala hakuna cha ajabu hapo ni kati ya shule chache za serikali zinazofanya vizuri, issue ni kuwa kuna shule ngapi za serikali zinanofanya vizuri? nying zipo choka mbayaHello JF,
Hi shule ya government, wamefanya vizuri sana na huwa wanafanya vizuri Sana
Imagine mwanao amepangiwa shule hii
Okay I agree kumbe ni St Francis . Nilikuwa najua hii hapa ile shule ya Nyan'gwale kumbe hawa St Francis ambayo ni ya kulipia shule ya kanisa.Zaidi ya 70% ya wanafunzi unaowaona hapo wamefaulu wametoka EMs na wapo vipaji maalum.
Na shule hazifundishi kivile wanafunzi wanakula sana tuition na kujisomea wenyewe. Sasa hicho kipaji ni cha kurithi, kama mzazi ulikuwa unataga usidhani mwanao atafaulu hapo. Hakanyagi hiyo shule.
ndugu hii ni special school bila kuwa kipanga la saba huingii hapo hapo zinaingia cream tupuHello JF,
Hi shule ya government, wamefanya vizuri sana na huwa wanafanya vizuri Sana
Imagine mwanao amepangiwa shule hii