Kuna shule za serikali zinaperform vizuri sana, hebu cheki hii

Kuna shule za serikali zinaperform vizuri sana, hebu cheki hii

Hii ndio shule aliyesoma:-
1.Kikwete
2.Mbowe
3.Ndugai
4.Salum Mwalimu
5.Lazaro Nyarandu
6.Leodgar Tenga
A lot of doctors and PhD holders wamepita hapa,.........walimu hawana mchango wowote kwenye hii shule,usijidanganye kama mwanao kilaza na una pesa mpeleke tu Marian,Feza akakalili,hapo vijana wanasoma kuelewa sio kukalili wapige A flats.
Hapo madogo wanajielewa kuliko 80% ya Tanzania adult population.
Hakuna dogo wa kuamshwa hapo,kuhimizwa kusoma,Wala kuchapwa sababu hajafanya homework,......unaweza ishi Kibaha/Tumbi mwaka mzima usiijue hio shule ipo wapi na hata ukiijua unaweza dhani haina wanafunzi
Screenshot_20250123-131030_1.jpg
mkuu namie nimesoma hapa pia wengine waliosoma hapo
 
Hii ndio shule aliyesoma:-
1.Kikwete
2.Mbowe
3.Ndugai
4.Salum Mwalimu
5.Lazaro Nyarandu
6.Leodgar Tenga
A lot of doctors and PhD holders wamepita hapa,.........walimu hawana mchango wowote kwenye hii shule,usijidanganye kama mwanao kilaza na una pesa mpeleke tu Marian,Feza akakalili,hapo vijana wanasoma kuelewa sio kukalili wapige A flats.
Hapo madogo wanajielewa kuliko 80% ya Tanzania adult population.
Hakuna dogo wa kuamshwa hapo,kuhimizwa kusoma,Wala kuchapwa sababu hajafanya homework,......unaweza ishi Kibaha/Tumbi mwaka mzima usiijue hio shule ipo wapi na hata ukiijua unaweza dhani haina wanafunzi
Huyo mwenye nyekundu alitaga 🥚 🐣 au nasema uongo cc. johnthebaptist
 
Screenshot_20250123-131139.png
nimepita hapa, yaani hakuna kuambiwa kuwa uwahi shuleni.
Boys teacher anaingia school Kama mnatakiwa kusoma topic ya magonjwa anauliza Kuna mtu hajui magonjwa humu darasani, darasa kimyaaa iyo topic imeisha.
Mnatakiwa msome maji anauliza Kuna mtu hajui maji, harufu ama rangi yake kimya, hapo topic imeisha huyo alikuwa mwalimu Choya boys Ila Sasa somo lake A zinapigwa utadhani zinatolewa bure.
Kufungua shule lazima uvute kwanza mwezi mmoja nyumbani, yaani shuleni tulikuwa tunasoma miezi mitatu tu muhula imeisha.
Screenshot_20250123-131139.png
 
Kumbe akili unazo ila unajitoa ufahamu kupeleka watoto Ems.
Zaidi ya 70% ya wanafunzi unaowaona hapo wamefaulu wametoka EMs na wapo vipaji maalum.

Na shule hazifundishi kivile wanafunzi wanakula sana tuition na kujisomea wenyewe. Sasa hicho kipaji ni cha kurithi, kama mzazi ulikuwa unataga usidhani mwanao atafaulu hapo. Hakanyagi hiyo shule.
 
Zaidi ya 70% ya wanafunzi unaowaona hapo wamefaulu wametoka EMs na wapo vipaji maalum.

Na shule hazifundishi kivile wanafunzi wanakula sana tuition na kujisomea wenyewe. Sasa hicho kipaji ni cha kurithi, kama mzazi ulikuwa unataga usidhani mwanao atafaulu hapo. Hakanyagi hiyo shule.
Okay I agree kumbe ni St Francis . Nilikuwa najua hii hapa ile shule ya Nyan'gwale kumbe hawa St Francis ambayo ni ya kulipia shule ya kanisa.

Am not even surprised
 
Back
Top Bottom