Kuna shule za serikali zinaperform vizuri sana, hebu cheki hii

Kuna shule za serikali zinaperform vizuri sana, hebu cheki hii

ziko nyingi na nyingine hadi mikoani zipo kama kule moshi kuna mawenzi sekondari inajitahidi pia
 
Hauijui peke yako ndugu yangu, wengine ni graduates hapo, kadiri miaka ilivyokuwa inasogea hata ufadhili ulikuwa ukipungua...

Mathalani miaka ya zamani sana (kipindi cha mzee Mwampaja na wengine nyuma yake) wanafunzi walikuwa wanakula kuku, matunda mbalimbali, chai ya maziwa, mikate ya siagi n.k lakini vitu hivyo vilikuwa vinaondolewa kimoja baada ya kingine kutokana na kufa kwa miradi ya ufugaji na kilimo, miaka ya elfu 2 mwanzoni wanafunzi walibakia kulishwa kuku tu (enzi za Kayenga)...

Labda kama uniambie hayo unayoyataja yalirejeshwa baada ya Kayenga kwenye utawala wa marehemu Kachingwe Kaselenge "KK" au aliyemfatia marehemu KK...
Sure,enzi za Kayenga tumekula kuku kila alhamisi na matunda. Ila marehemu KK hakuwahi kuwa master alitolewa Sec akaenda FDC kuwa mkuu pale.
 
Hawa mchujo wa kuanza Form one umekaa kibabe sana imagine wanakawaida ya kuchukua watoto 80 ila mchujo unaweza kuwa na watoto hata 300 ambao wanaonekana wako vizuri.

Hapa wanachukua best cream. Maana Mtoto wako anaweza kuwa kapata 95 wastani ila akaachwa.

Wanazingatia kuanzia mwandiko, kujitambua, Ukifuta majibu ukaanfika upya ndo kabisaa hawakuchukui.
Ubaguzi tu na kutafuta sifa.
Kama wanataka sifa ya kufundisha vizuri au kutoa elimu bora wasichague wachukue mchanganyiko kisha wafaulishe wote kiwango Cha juu.
 
ina maana hujui hii ni shule ya mabingwa wa kila mkoa? Kulitokea mgomo wa wanafunzi kupewa maswali ya past papers wao wanayo toka mwingereza ai gie nchi hii
Elezea vizuri tukio hili.
 
Inasikitisha sana yaani Point 7 zimekuwa hivi? Enzi zetu tunasoma Shule nzima One inaanzia Point 8 tena moja tu ,ukienda Ilboru au mzumbe Point 7 unakuta tatu au nne ,tena mmoja tu ana A straight 9 ,ila kwasasa mademu shule nzima wote wana Div I Point 7 inasikitisha sana.
 
Back
Top Bottom