Unakuta shule kwa mfano O level ndani ya miaka mitatu washamaliza sehemu kubwa sana ya syllabus ya miaka minne na hivyo basi wamebakia na muda mwingi wa kufanya revisions za kufa mtu na kama ulivyosema unakuta watoto wooote zinachaji mwisho wa siki zikipatipana 1 za single digit haishangazi.Elimu ya bongo ukiwa na cramming capacity ya hali ya juu kupiga 1 ya 7 ni kugusa tu. Ukimeza syllabus yote ukakariri maswali ya revision na past papers unatoboa 100%.
Hilo ni moja, la pili ni kuhakikisha umeelewa kila topic na ukafanya sana mazoezi. It takes heart na hii ni kwa watoto ambao wana passion na shule hasa mkikutana sehemu moja you can do wonders. Kiulaini sana unatoboa sio unakuta shule kuna wavuta bangi mars wengine wanatoroka wanaenda disco usiku. Hakuna utulivu yani
Kuna Mzee hata Darasa la saba hakumaliza. Na hata kusoma hajui vizuri, Mkewe ni Std VII..hicho kipaji ni cha kurithi, kama mzazi ulikuwa unataga usidhani mwanao atafaulu hapo. Hakanyagi hiyo shule.
Ndio maana ya kipaji, ni in born sio cha kufundishika.Kuna Mzee hata Darasa la saba hakumaliza. Na hata kusoma hajui vizuri, Mkewe ni Std VII..
Lakini Watoto wao wote ni Vipanga kinoma... Wamesomea St. Kayumba wakawa wanapangiwa Vipaji Maalum, Wote walikula Point 7 na Point 3 na Vyuo wamesomea Udaktari.. As of now wote ni Madaktari specialists...
Kumbe unajua fika kabisa kuwa Serikali haijawekeza vizuri kwenye shule zakeKumbe akili unazo ila unajitoa ufahamu kupeleka watoto Ems.
Soma nilicho andika. You are very slowKumbe unajua fika kabisa kuwa Serikali haijawekeza vizuri kwenye shule zake
Sasa unavyowapoteza wenzako maboya kuwa wawatoe watoto wao EM's halafu wawapeleke shule za Kayumba lengo lako ni nini?
Jibu swali hakuna ulichoandika ambacho hakijaeleweka,huna upeo zaidi yanguSoma nilicho andika. You are very slow
Unatupiga kamba mkuu, Mbowe na Nyalandu hawakusoma Kibaha.Hii ndio shule aliyesoma:-
1.Kikwete
2.Mbowe
3.Ndugai
4.Salum Mwalimu
5.Lazaro Nyarandu
6.Leodgar Tenga
A lot of doctors and PhD holders wamepita hapa,.........walimu hawana mchango wowote kwenye hii shule,usijidanganye kama mwanao kilaza na una pesa mpeleke tu Marian,Feza akakalili,hapo vijana wanasoma kuelewa sio kukalili wapige A flats.
Hapo madogo wanajielewa kuliko 80% ya Tanzania adult population.
Hakuna dogo wa kuamshwa hapo,kuhimizwa kusoma,Wala kuchapwa sababu hajafanya homework,......unaweza ishi Kibaha/Tumbi mwaka mzima usiijue hio shule ipo wapi na hata ukiijua unaweza dhani haina wanafunzi
Siku hizi ukienda Kibaha sekondari ni nadra Sana kukuta watoto waliosoma Kayumba. Kibaha secondary (O'level) imejaa watoto kutoka shule za private zile kubwa maana wao ndio wenye matokeo mazuri zaidi kwa primary. Hivyo uchukuliwa hapo kwa idadi kubwa. Ukienda advance, utawakuta wanafunz kutoka Kibaha yenyewe, pia wanafunzi kutoka shule za private zile kubwa zenye matokeo mazuri zaidi.Hello JF,
Hi shule ya government, wamefanya vizuri sana na huwa wanafanya vizuri Sana
Imagine mwanao amepangiwa shule hii
Uzuri hiyo shule naijua vizuri sana toka miaka hiyo hivyo sijaandika kwa kukurupuka....
Hiyo ni cream iliyotengenezwa kwa msaada wa EM.usijizime dataMbona wengi tu.
Na Tabora Boys na Girls.Kibaha, Ilboru, Mzumbe, Msalato na Kilakala ni shule za serikali za vipaji maalumu.
Basi ili kuakisi matokeo ya shule za kayumba wanaochaguliwa shule teule, angalia matokeo ya shule ya Geita secondary. Hii huchukua wanafunzi waliofanya vizuri mtihani wa darasa la saba mkoa mzima wa Geita, matokeo yao ni kama ifuatavyo.Siku hizi ukienda Kibaha sekondari ni nadra Sana kukuta watoto waliosoma Kayumba. Kibaha secondary (O'level) imejaa watoto kutoka shule za private zile kubwa maana wao ndio wenye matokeo mazuri zaidi kwa primary. Hivyo uchukuliwa hapo kwa idadi kubwa. Ukienda advance, utawakuta wanafunz kutoka Kibaha yenyewe, pia wanafunzi kutoka shule za private zile kubwa zenye matokeo mazuri zaidi.
Pointi yangu ni kwamba, hizo shule za serikali Kongwe ( vipaji) haziakisi uhalisia wa elimu ya shule za serikali. Wanaosoma huko wengi wanaback ground ya shule za private kubwa kubwa Sana. Yan unaweza kusema wanaosoma huko pia ni watoto wa vibopa.
Yes nimekubali ni cream sikujua kama ni St Francis nilijua ni ile shule ya BukwimbaHiyo ni cream iliyotengenezwa kwa msaada wa EM.usijizime data
Upo sahihiAnayefanya vizuri kwenye mitihani lazima pia awe na uwezo mkubwa wa kukariri, haiwezekani mtu mwenye uwezo duni wa kukariri akawa kipanga.
Let me put it this way.Anayefanya vizuri kwenye mitihani lazima pia awe na uwezo mkubwa wa kukariri, haiwezekani mtu mwenye uwezo duni wa kukariri akawa kipanga.
Mambo ya kufaulisha unajua yapoje au hujui tukufundishe jinsi tunavyofaulisha?Hi shule ya government, wamefanya vizuri sana na huwa wanafanya vizuri Sana
Imagine mwanao amepangiwa shule hii