Ahmad Abdurahman
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,251
- 6,299
Uko sahihi na huenda alisema vile hadharani kwa lengo la kutyma ujumbe kwa kundi hilo.Huenda kuna kundi lilitaka kumpoka madaraka bila kuzingatia takwa la katiba... Ndio maana neno mujibu wa katiba kalirudia mara kadhaa
Hakuna taharuki hapo....ni msg tu hiyoJE KULIKUWA NA UMUHIMU GANI WA MKUU WA MAJESHI KUTOA KAULI HIYO? Je, haoni kwamba kwa nafasi yake kutoa kauli kama hiyo kunaweza kuzua taharuki kwenye jamii juu ya usalama wa nchi au Mh. Rais?
Ndio hiyo hasa na Jenerali Mabeyo amefanya vizuri kulisema hili adhalani - wale wote wenye lengo/nia ovu watafikiria mara mbili.Watu wana mipango na mikakati ya mbali mkuu
Kumbuka wakati huu kila mmoja anataka kujiweka kwenye nafasi ya kuaminika kwenye awamu ya sita...
Kwa nafasi yake nafasi ya kumuona Rais anayo na anaweza kumweleza jambo lolote wakati wowote, hapakua na haja ya kulisema hili hadharani.
Aidha kwa upande mwingine, inawezakua kuna ujumbe anautuma kwa watu flani.
Thread closedSiri hiyo atakuwa nayo Generali mwenyewe. Sisi hapa tutaishia kuwa wapiga ramli tu.
Comment yako inafikrisha Sana , wewe sio mtu wa kawaida , Kwanza wewe ni mkongwe humu kwenye jukwaa , probably we upo serikalin na ni mtu maarufu serikalin. Na unajua mengi sanaHuyu nae afanye kazi yake,asilete ushirombo hapa,aelewe kuwa Tanzania,ni kubwa,inaanzia Mtwara mpaka Tanga,Kigoma mpaka murongo border Kagera,Rukwa,mpaka Arusha...
Siri hiyo atakuwa nayo Generali mwenyewe. Sisi hapa tutaishia kuwa wapiga ramli tu.
Alikuwa anazungumzia kuhusu ukuta wa mererani ambapo wanajeshi ndio waliojenga...inaelekea JPM alikuwa amemwelekeza CDF Nini Cha Jeshi kufanya kudhibiti wizi wa Mali za umma...inawezekana hata kujenga ukuta mahali fulani kwenye raslimali...pengine hata kuzunguka mlima Kilimanjaro...tehtehtehtehSiri hiyo atakuwa nayo Generali mwenyewe. Sisi hapa tutaishia kuwa wapiga ramli tu.
Kwani amesemaje CDFHajaitamka kwa bahati mbaya, ni mpango wa kuwapiga mkwara watu fulani.
Hapo utakuta hata hilo jambo ni hewa ila kuna watu watajamba jamba.
Nimekuelewa bi mdada , kama vip tuyajenge😋Labda anataka amwambie anakampuni yake ya ulinzi ya nguvu moja migodi ya Barrick inanyanyasa wafanya kazi ivo ailinde
Kwa nini 21 na sio 10, 20, 50, 15 etc?
Hapo usukuma unaingia vip kwann ukabila mnauleta sana mkuuu.Hebu tujenge nchi yetu jamani wasukuma tuacheni kwanza tuna msiba.Huyu nae afanye kazi yake,asilete ushirombo hapa, aelewe kuwa Tanzania,ni kubwa,inaanzia Mtwara mpaka Tanga,Kigoma mpaka murongo border Kagera,Rukwa,mpaka Arusha.
Tanzania sio Chato, Mwanza, Tabora,au simiyu, yeye yupo hapo kutumikia Nchi yenye makabila 120+,asiwaze Kisukuma,awaze kama state figure, analipwa mshahara kwa kodi za Watz wote, Wachaga na Wakinga, Wapare na wasambaa, Wamakonde na wamwera, wasafwa na wanyakyusa.
It's high time,hizi story za Kisukuma tuziache,tuponye nchi.Wachaga kwenye utawala wa Maghu walikiona Cha mtema kuni,chukua, uzandiki, sasa tuponye nchi, ule ujambazi wa kupora pesa za watu benki tuache tujenge nchi.
Maghu kaondoka, nothing special, Nyerere alipendwa, mpaka akatangazwa Mtakatifu,
Wasukuma mzikeni homeboy wenu, lakini Tanzania ni kubwa kuriko usukuma, tunajenga nchi sasa.
Win without fightingSun Tzu - The Art of War