Kuna siri gani kati ya mwanaume mrefu mweusi na wanawake?

why wafupi nao ni watu jamani😃, 6.6ft? You mean wewe uko 6ft pia? Aisee
 
Ulienda kwenye kivutio gani cha utalii mom? Ulinotice hadi viatu vya ngozi original😀🙌
😅😅😅😅Mazingiraaa yaliruhusuu kbsaa mpk nikanotice viatu ngozi original...si unajuaa tukiamuaa kufanyaa kauchunguzi ketuu huwaa hatushindwii😅😅
 
Siku zote ubongo wa mtu Mia hisia saana Huwa una mlango wa nyuma unaojiachia kwa mjanja mwenye ushawishi na ukajipatia uchi vizuri tu.
 
😅😅😅😅Mazingiraaa yaliruhusuu kbsaa mpk nikanotice viatu ngozi original...si unajuaa tukiamuaa kufanyaa kauchunguzi ketuu huwaa hatushindwii😅😅
Uko vizuri, siku nipeleke na mimi nikajionee Mungu alivyofundi😀
 
Aiseee,,,hao hao watoto wakiume tunaowapenda wakiwa watoto wakifika ukubwani jamii inaanza kuwabeza kwamba wamepoa??na wale waliobezwa na kufichwa utotoni mwao wanaanza kutukuzwa?jamii inabidi ichange huu upuuzi aiseeee
Hii yote ni inferiority complex ya wabongo. Mapenzi au ndoa ina mambo mengi, ni zaidi ya u handsome na urefu, weupe etc. Kuna wengine tuliolewaga na tall, handsome lakini yalitushinda kutokana na tabia ambazo hazivumiliki. Tuko na wanaume wa kawaida sana ambao wanajua thamani ya mapennzi.
 
Urefu na ufupi,weupe na weusi sio kipaumbele kwangu.......Ana akili TIMAMU?....TIMAMU jamani anazooo????
Oooooh Isije huko mbele ukamuona ni Goliath yanapoanza mambo ya kutumia akili.
Teh teh teh 😂😂😂 intelligence level matters....wewe unafaa kabisa kuwa life partner....
 
Woow!...una akili nzuri sana...pokea maua yako..🌺🌺🌺🥀🥀🥀🌹🌹....mnapatikana wapi nyie akili nzuri?
 
Kwa kweli
Kwa kweli umeongea vyema,hayo mambo ya uhandsome hayana impact kwenye maisha endelevu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watu jamaniii
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…