Naona home boy umechekaaHivi kuna mtu alizuiwa kwenda kwao
Ova
Watu wanapambana wana miliki uchumipolitical positions za nini?
cha msingi ni kumiliki njia zote za uchumi...
siasa achia majinga
Naunga mkono hoja. Ni vizuri kujua chimbuko la familia na tamaduni kwa ujumla. Ukipata nafasi ya kwenda kuona asili ya wazazi wako ni faraja sana. Kwa bahati mbaya mimi sijawahi kwenda mkoa niliozaliwa hata siku moja. Wazazi wamekutana Dsm, nimezaliwa na kusoma Dsm ndugu wachache waliopata bahati ya kuja mjini walifikia nyumbani ndio nikawajuwa lakini ambaye hakupata kuja mjini ndo hivyo sikuwahi kuwaona. Natamani huo utamaduni ungekuwepo kwenye familia yangu.Kwa kweli nawapongeza sana hawa jamaa kwa njia hii watoto wanaujua ukoo kwa hakika hata mimi ni mzaliwa wa mkoa wa mbeya na mzazi wangu alikuwa na utamaduni wa kutupeleka kijijini sikukuu za mwisho wa mwaka imetusaidia sana kujua ndugu na kujifunza lugha yetu kwakuwa wazazi walitoka kabila tofauti, kwa ujumla nawapongeza sana jamaa zangu hawa wa kilimanjaro
Sema nime mind sana aliyeifungia mekuzNiko njiani naeleka huko kwani nimemic sana 'mbege ya msesewe' (made in kibosho)
Labda hao wengine wamezuiwa kwenda makwao huwezi juaNaunga mkono hoja. Ni vizuri kujua chimbuko la familia na tamaduni kwa ujumla. Ukipata nafasi ya kwenda kuona asili ya wazazi wako ni faraja sana. Kwa bahati mbaya mimi sijawahi kwenda mkoa niliozaliwa hata siku moja. Wazazi wamekutana Dsm, nimezaliwa na kusoma Dsm ndugu wachache waliopata bahati ya kuja mjini walifikia nyumbani ndio nikawajuwa lakini ambaye hakupata kuja mjini ndo hivyo sikuwahi kuwaona. Natamani huo utamaduni ungekuwepo kwenye familia yangu.
Kwa mtazamo wangu nadhani inasaidia kuwajua ndugu. Watu ndio mtaji namba moja kwenye maisha mkuu.Ukiwajua ndugu na lugha yako inakuletea maendeleo kiasi gani?
Acha matusi na wakurya....! Pambana na hao hao wachaga kama wamekushinda kakojoe ulaleWachagga wamefanikiwa sana kuwafanya Wakurya na Wanyakyusa misukule yao miaminifu sana.
Wivuuuu na Wewe nenda kwenu🤑🤑Mimi ninachojua asilimia kubwa hampendi kweli kukaa Kilimanjaro maana ni pabaya na hakuna issue yoyote ya maana.
Hii hype ya kurudi huko sasa hivi ni mihemko tu na ego fulani ya kutaka watu wakuone na mimi ni mchagga narudi X-mass Kilimanjaro.
Na ndio maana mko busy kufanya promotion kuwa mnarudi kwa watu ambao hata haiwahusu.
Ina maana watu wakipuuza mnajisikia vibaya.
Tena, kwa wasiojua zaidi ya 95% ya wachagga wanatamani Krismasi ipite fasta warudi sehemu wanazozipenda.
Maana kukaa huko Kilimanjaro ni adhabu tosha.
Lafudhi na chaguzi za matamshi zinaonyesha busara yako inavyofanana.wewe umeuza kwa hiyari,no one forced you...
ni mutual exchange
yeye hakuuzi maana hana shida hiyo...wewe una shida ndio maana umeuza
hakuna makubaliano ya kuuziana eti huku mara moshi,hakuna
nyie endeleeni kuuza kama hamtafukuzwa wote na asili yenu itapotea na mtakua landless...endeleeni kuendekeza umatako
msiuze ardhi yenu
ila cha ajabu mnaendelea kupanua matako mnauza...mtajijua
Ardhi unaweza nunua ww hii nchi.wapumbavu...hawajalazimishwa wewe
na sijapewa eneo bure,nimenunua at an agreed price
Unaongea ki-layman sana yaani kama jinga fulani hivi...eti mmekuja "mkapewa"....nani "kapewa" ardhi bure?
Punguza upumbavu
Ni mutual voluntary seller and voluntary buyer...stop this nonsense ya "mkapewa" as if ardhi inaokotwaga....kaokote basi
Hujui mmiliki wa ardhi ya Jamhuri ni nani? Hujui S/mitaa zinahusika vp na ardhi uliyopewa? Kachukue title ya property yako isome acha porojo.Nani amekuambia ardhi ni ya serikali ya mtaa?
Huna ardhi ww ndani ya hii JAMHURI labda Kenya huko si hapa.ardhi ni mali yangu
SIJALALAMIKA POPOTE YOYOTE KUPEWA ARDHI. NIMEKUULIZA WALIOKUPA ARDHI NI WASENGE? Ukaanza kunipa majibu ya kujiamini ya kujimwambafy mara layman 😂 yaani ilimradi ujibu kwa confidence....unaongea nini wewe?na kama sisi sio wamiliki wewe mpaka unakuja kutoa malalamiko humu ya sisi kumiliki ardhi ya nini kama huoni hatari?
Kuna hatari ya umiliki ndio unaona leo...watu washanunua tayari,wanyang'anye kama unaweza?
Pale mwanaume anaposhindwa kuwa Mwanaume.Kuna mada moja nimesoma humu” jamaa kamkataza mke wake kwenda moshi”
Chini nikakutana na comment “ wengi wanakua na wachumba zao wa kichanga au ex zao wa zamani, so wanakutana huo kuchachua kidogo maana ndio nafasi wanayopata mwaka mzima”
Je ni kweli matunda yanaliwa kimasihara?
😀 😀 😀 Sasa huko kishumundu kuna uzuri gani?.Asiyependa kula sikukuu za mwisho wa mwaka kwao ujue kwao kubaya
Mkuu had SADC inahusika piaWake za watu wanabanjuliwa kwa wingi sana mkoani Kili mwezi Dec kuliko mahala popote pale ukanda wa SADC.
Mliooa Kili komaeni muende na wake zenu kama hamuwezi kuwakatalia
Ila moshi ni pakali si kama majita.Mimi niko hapa Uchira, Moshi DC. Nilianzia KCMC Moshi hapo Kibo.
Huko kwingine kote nimeshazurula tena vijijini kabisa na sioni jipya.
Mpaka Arusha nimeetembea mnoo. Hakuna maajabu.
watu wa moshi ni kam wazungu wazungu hivi kila mtu yuko busy na maisha yake..Majita kuna fukwe za maana, hotel na sato.
Moshi kuna vijiwe vya mbege, gongo na mirungi 🤣🤣🤣
Ila moshi ni pakali si kama majita.Mimi niko hapa Uchira, Moshi DC. Nilianzia KCMC Moshi hapo Kibo.
Huko kwingine kote nimeshazurula tena vijijini kabisa na sioni jipya.
Mpaka Arusha nimeetembea mnoo. Hakuna maajabu.
Huu ni upendo wa agape,hapa huyu ni mlevi jamaa anahakikisha anafika home salama.
Kama hauoni jipya nafikiri umetokea ulaya au America Ila kma Ni vijiji vingne vya apa Tz una chuki binafsi , ata wazungu wenyewe ezi za ukoloni waliona jipya sembuse wwMimi niko hapa Uchira, Moshi DC. Nilianzia KCMC Moshi hapo Kibo.
Huko kwingine kote nimeshazurula tena vijijini kabisa na sioni jipya.
Mpaka Arusha nimeetembea mnoo. Hakuna maajabu.
Ban inakuhusuKatombwe shoga wewe.
Kwenye mkusanyiko wowote ule laxima matunda yaliwe kimasiharaKuna mada moja nimesoma humu” jamaa kamkataza mke wake kwenda moshi”
Chini nikakutana na comment “ wengi wanakua na wachumba zao wa kichanga au ex zao wa zamani, so wanakutana huo kuchachua kidogo maana ndio nafasi wanayopata mwaka mzima”
Je ni kweli matunda yanaliwa kimasihara?