chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 11,541
- 23,999
Wa kuwaamini ni mainjinia tu, wanasheria wengi ni nyoka.Hii imenipa furaha sana. Nimeipenda mno.
1. Jerry Slaa, Waziri Ardhi-Mwanasheria
2. Anthony Mavunde, Waziri Madini-Mwanasheria
3. Pindi Chana, Waziri Katiba na Sheria-Mwanasheria
4. Dr. Damas Ndumbaro, Waziri Sanaa na Michezo-Mwanasheria
5. Omary Mchengerwa, Waziri Tamisemi-Mwanasheria
6. Ummy Mwalimu, Waziri afya-Mwanasheria
7. George Simbachawene, Waziri Utumishi-Mwanasheria
9. Angela Kairuki, Waziri Maliasili-Mwanasheria
10. Ridhiwan Kikwete, Naibu Waziri Utumishi-Mwanasheria
11. Byabato, Naibu Waziri mambo ya Nje-Mwanasheria
12. Judith Kapinga, Naibu Waziri Nishati-Mwanasheria.
13. Geofrey Pinda, Naibu Waziri Ardhi-Mwanasheria
ALAFU MTU MTU TUU UNAMSIKIA ANASEMA WANASHERIA SIO WA KUWAAMINI. MCHAPE MTAMA HARAKA SANA.
Degree za PASS hizi ndio zipo kwenye siasaHii imenipa furaha sana. Nimeipenda mno.
1. Jerry Slaa, Waziri Ardhi-Mwanasheria
2. Anthony Mavunde, Waziri Madini-Mwanasheria
3. Pindi Chana, Waziri Katiba na Sheria-Mwanasheria
4. Dr. Damas Ndumbaro, Waziri Sanaa na Michezo-Mwanasheria
5. Omary Mchengerwa, Waziri Tamisemi-Mwanasheria
6. Ummy Mwalimu, Waziri afya-Mwanasheria
7. George Simbachawene, Waziri Utumishi-Mwanasheria
9. Angela Kairuki, Waziri Maliasili-Mwanasheria
10. Ridhiwan Kikwete, Naibu Waziri Utumishi-Mwanasheria
11. Byabato, Naibu Waziri mambo ya Nje-Mwanasheria
12. Judith Kapinga, Naibu Waziri Nishati-Mwanasheria.
13. Geofrey Pinda, Naibu Waziri Ardhi-Mwanasheria
ALAFU MTU MTU TUU UNAMSIKIA ANASEMA WANASHERIA SIO WA KUWAAMINI. MCHAPE MTAMA HARAKA SANA.
Siyo kweli! Wengi hapo ni wanasheria kutoka OUT!Na wote ni wanafunzi wa Prof.Kabudi. Tukiachana na yote, Prof.Kabudi ni hazina adimu kwa Taifa, wanafunzi wake ni watu wa kuheshimika mno
Wa kuaminika ni wanafunzi wasomi kutoka SUA tu, wengine ni matakataka tu!Hii imenipa furaha sana. Nimeipenda mno.
1. Jerry Slaa, Waziri Ardhi-Mwanasheria
2. Anthony Mavunde, Waziri Madini-Mwanasheria
3. Pindi Chana, Waziri Katiba na Sheria-Mwanasheria
4. Dr. Damas Ndumbaro, Waziri Sanaa na Michezo-Mwanasheria
5. Omary Mchengerwa, Waziri Tamisemi-Mwanasheria
6. Ummy Mwalimu, Waziri afya-Mwanasheria
7. George Simbachawene, Waziri Utumishi-Mwanasheria
9. Angela Kairuki, Waziri Maliasili-Mwanasheria
10. Ridhiwan Kikwete, Naibu Waziri Utumishi-Mwanasheria
11. Byabato, Naibu Waziri mambo ya Nje-Mwanasheria
12. Judith Kapinga, Naibu Waziri Nishati-Mwanasheria.
13. Geofrey Pinda, Naibu Waziri Ardhi-Mwanasheria
ALAFU MTU MTU TUU UNAMSIKIA ANASEMA WANASHERIA SIO WA KUWAAMINI. MCHAPE MTAMA HARAKA SANA.
Halafu wote hao huko serikalini na bado mikataba ni ya kimagumashi, huko kwenye mahakama za kimataifa siku zote tunashindwa. Sijui huko serikalini huwa wanashauri nini? waalimu wa wanasheria hawa wanalo la kujifunza hapa.Hii imenipa furaha sana. Nimeipenda mno.
1. Jerry Slaa, Waziri Ardhi-Mwanasheria
2. Anthony Mavunde, Waziri Madini-Mwanasheria
3. Pindi Chana, Waziri Katiba na Sheria-Mwanasheria
4. Dr. Damas Ndumbaro, Waziri Sanaa na Michezo-Mwanasheria
5. Omary Mchengerwa, Waziri Tamisemi-Mwanasheria
6. Ummy Mwalimu, Waziri afya-Mwanasheria
7. George Simbachawene, Waziri Utumishi-Mwanasheria
9. Angela Kairuki, Waziri Maliasili-Mwanasheria
10. Ridhiwan Kikwete, Naibu Waziri Utumishi-Mwanasheria
11. Byabato, Naibu Waziri mambo ya Nje-Mwanasheria
12. Judith Kapinga, Naibu Waziri Nishati-Mwanasheria.
13. Geofrey Pinda, Naibu Waziri Ardhi-Mwanasheria
ALAFU MTU MTU TUU UNAMSIKIA ANASEMA WANASHERIA SIO WA KUWAAMINI. MCHAPE MTAMA HARAKA SANA.
Mahakama ipi mkuu!mimi kama jaji sijui>
Mawakili ni 11,000.Wanasheria ni wengi kama panya.
Hawana faida Kwa nafasi zao wanazotumikia wakiwa pia kama wanasheria. Issue kama ya DPWorld wangemshauri vyema rais wa nchi kwenye baraza la mawaziri Ili nchi isiingie kwenye huo mkataba mbovu kuwahi kutoka.Wakati Tunakaribia uchaguzi mkuu 2025, Dream team imeanza kupangwa, Captain amepewa captain msaidizi {kapten kapunguziwa madaraka kijanja} huku mabeki wakipewa wanasheria.
Kapten kashtuka, ameamua kukaa kimya, naye anajipanga anataka namba 2025, wacha inyeshe tujua pavujapo.
Kanda ya Ziwa ambapo mikutano ya CAHDEMA imebamba sana, sasa team "JPM" imerudishwa ili wananchi wajione wanawakilishwa, Mabula ambaye amefeli sana kwenye Wizara ya Ardhi na pia kuhusishwa na kashfa kadha ameachwa.
1. Jerry Slaa, Waziri Ardhi-Mwanasheria
2. Anthony Mavunde, Waziri Madini-Mwanasheria
3. Pindi Chana, Waziri Katiba na Sheria-Mwanasheria
4. Dr. Damas Ndumbaro, Waziri Sanaa na Michezo-Mwanasheria
5. Omary Mchengerwa, Waziri Tamisemi-Mwanasheria
6. Ummy Mwalimu, Waziri afya-Mwanasheria
7. George Simbachawene, Waziri Utumishi-Mwanasheria
9. Angela Kairuki, Waziri Maliasili-Mwanasheria
10. Ridhiwan Kikwete, Naibu Waziri Utumishi-Mwanasheria
11. Byabato, Naibu Waziri mambo ya Nje-Mwanasheria
12. Judith Kapinga, Naibu Waziri Nishati-Mwanasheria.
13. Geofrey Pinda, Naibu Waziri Ardhi-Mwanasheria
Tupo salama kwa sasa baraza karibu lote ni learned brothers hatutegemei uchafu.
a😎🇹🇿
Akiukataa ushauri wao wanafanyaje?Issue kama ya DPWorld wangemshauri vyema rais wa nchi kwenye baraza la mawaziri Ili nchi isiingie kwenye huo mkataba mbovu kuwahi kutoka.
Hao wote ni makapuku kasoro Pinda tu hapo ndiye anayejitambua....Wakati Tunakaribia uchaguzi mkuu 2025, Dream team imeanza kupangwa, Captain amepewa captain msaidizi {kapten kapunguziwa madaraka kijanja} huku mabeki wakipewa wanasheria.
Kapten kashtuka, ameamua kukaa kimya, naye anajipanga anataka namba 2025, wacha inyeshe tujua pavujapo.
Kanda ya Ziwa ambapo mikutano ya CAHDEMA imebamba sana, sasa team "JPM" imerudishwa ili wananchi wajione wanawakilishwa, Mabula ambaye amefeli sana kwenye Wizara ya Ardhi na pia kuhusishwa na kashfa kadha ameachwa.
1. Jerry Slaa, Waziri Ardhi-Mwanasheria
2. Anthony Mavunde, Waziri Madini-Mwanasheria
3. Pindi Chana, Waziri Katiba na Sheria-Mwanasheria
4. Dr. Damas Ndumbaro, Waziri Sanaa na Michezo-Mwanasheria
5. Omary Mchengerwa, Waziri Tamisemi-Mwanasheria
6. Ummy Mwalimu, Waziri afya-Mwanasheria
7. George Simbachawene, Waziri Utumishi-Mwanasheria
9. Angela Kairuki, Waziri Maliasili-Mwanasheria
10. Ridhiwan Kikwete, Naibu Waziri Utumishi-Mwanasheria
11. Byabato, Naibu Waziri mambo ya Nje-Mwanasheria
12. Judith Kapinga, Naibu Waziri Nishati-Mwanasheria.
13. Geofrey Pinda, Naibu Waziri Ardhi-Mwanasheria
Tupo salama kwa sasa baraza karibu lote ni learned brothers hatutegemei uchafu.
a😎🇹🇿
Hiyo research yako sasa ndio utuwekee hapa tuelewe.Hao wote ni makapuku kasoro Pinda tu hapo ndiye anayejitambua....
Fanya utafiti
Wanajiuzulu, wewe unafikiri wangefanyaje?Akiukataa ushauri wao wanafanyaje?
Nashukuru kwa maoni.Hiyo research yako sasa ndio utuwekee hapa tuelewe.
Hiyo culture haipo Tanzania.Wanajiuzulu, wewe unafikiri wangefanyaje?