Kuna siri gani Rais kujaza wanasheria kwenye Baraza la Mawaziri?

Kuna siri gani Rais kujaza wanasheria kwenye Baraza la Mawaziri?

Wakati Tunakaribia uchaguzi mkuu 2025, Dream team imeanza kupangwa, Captain amepewa captain msaidizi {kapten kapunguziwa madaraka kijanja} huku mabeki wakipewa wanasheria.
Kapten kashtuka, ameamua kukaa kimya, naye anajipanga anataka namba 2025, wacha inyeshe tujua pavujapo.

Kanda ya Ziwa ambapo mikutano ya CAHDEMA imebamba sana, sasa team "JPM" imerudishwa ili wananchi wajione wanawakilishwa, Mabula ambaye amefeli sana kwenye Wizara ya Ardhi na pia kuhusishwa na kashfa kadha ameachwa.

1. Jerry Slaa, Waziri Ardhi-Mwanasheria
2. Anthony Mavunde, Waziri Madini-Mwanasheria
3. Pindi Chana, Waziri Katiba na Sheria-Mwanasheria
4. Dr. Damas Ndumbaro, Waziri Sanaa na Michezo-Mwanasheria
5. Omary Mchengerwa, Waziri Tamisemi-Mwanasheria
6. Ummy Mwalimu, Waziri afya-Mwanasheria
7. George Simbachawene, Waziri Utumishi-Mwanasheria
9. Angela Kairuki, Waziri Maliasili-Mwanasheria
10. Ridhiwan Kikwete, Naibu Waziri Utumishi-Mwanasheria
11. Byabato, Naibu Waziri mambo ya Nje-Mwanasheria
12. Judith Kapinga, Naibu Waziri Nishati-Mwanasheria.
13. Geofrey Pinda, Naibu Waziri Ardhi-Mwanasheria
14. Tulia Ackson [pHD ya Sheria]-Spika wa Bunge

Tupo salama kwa sasa baraza karibu lote ni learned brothers hatutegemei uchafu.
a😎🇹🇿
Hakuna hata mmoja mwenye uwezo wa kuwa wakaili hapo pamoja na kusomea sheria lakini ni watupu wanaitumia kujinufaisha wenyewe binafsi.
 
Wakati Tunakaribia uchaguzi mkuu 2025, Dream team imeanza kupangwa, Captain amepewa captain msaidizi {kapten kapunguziwa madaraka kijanja} huku mabeki wakipewa wanasheria.
Kapten kashtuka, ameamua kukaa kimya, naye anajipanga anataka namba 2025, wacha inyeshe tujua pavujapo.

Kanda ya Ziwa ambapo mikutano ya CAHDEMA imebamba sana, sasa team "JPM" imerudishwa ili wananchi wajione wanawakilishwa, Mabula ambaye amefeli sana kwenye Wizara ya Ardhi na pia kuhusishwa na kashfa kadha ameachwa.

1. Jerry Slaa, Waziri Ardhi-Mwanasheria
2. Anthony Mavunde, Waziri Madini-Mwanasheria
3. Pindi Chana, Waziri Katiba na Sheria-Mwanasheria
4. Dr. Damas Ndumbaro, Waziri Sanaa na Michezo-Mwanasheria
5. Omary Mchengerwa, Waziri Tamisemi-Mwanasheria
6. Ummy Mwalimu, Waziri afya-Mwanasheria
7. George Simbachawene, Waziri Utumishi-Mwanasheria
9. Angela Kairuki, Waziri Maliasili-Mwanasheria
10. Ridhiwan Kikwete, Naibu Waziri Utumishi-Mwanasheria
11. Byabato, Naibu Waziri mambo ya Nje-Mwanasheria
12. Judith Kapinga, Naibu Waziri Nishati-Mwanasheria.
13. Geofrey Pinda, Naibu Waziri Ardhi-Mwanasheria
14. Tulia Ackson [pHD ya Sheria]-Spika wa Bunge

Tupo salama kwa sasa baraza karibu lote ni learned brothers hatutegemei uchafu.
a[emoji41][emoji1241]
Kama lundo lotehilo wanasheria ,Je dp world ilikuwaje wasiielewe
 
Kama kweli hao aliowataja ni wanasheria basi Tanzania tuna hali mbaya sana kielimu. Mbona vichwani kwao ni kweupe pee kama std 7?
Sheria zamani tulipokuwa tunasoma walikuwa watu wenye alam C katika average, Kwa maana hiyo ndiyo wenye IQ ya chini katika ranking, sijui Kwa siku hizi lakini
 
Wanaheshimika kwa kuuza roho ya nchi kama bandari?

Yaani watu wamefundishwa na professor wa sheria lakini wakishirikiana na professor ambae ndiyo mwalimu wao wanashiriki kugonga gonga meza hovyo bungeni ili mkataba wa hovyo usiovunjika maisha upite then unasema ni watu wa kuheshimika mno!!
Huyo nae hajitambui nahisi ni chawa pro max
 
Kuna "wanasheria" wanaoifanyia haki taaluma hiyo kama ilivyo katika taaluma nyingine zozote; na kuna "wanasheria maslahi" kama hao walioteuliwa ambao hawajui maana ya taaluma waliyo nayo ina maana gani.

Katika hao wote katika kundi hilo hakuna anayemfikia mtu kama Kibatala, au BonnyMwalu, au Tundu Lissu.

Kuwa mwanasheria halafu huna manufaa yoyote kwa jamii inafaida gani?

Si ni hawa hawa wanatafuta kutuuza kwa waarabu, halafu leo hii unakuja hapa na ki-mada cha kipuuzi kama hiki?

Hopeless Kabisa. Inaudhi sana.
Halafu anaona ameandika kitu cha maana kumbe upumbavu mtupu, eti wanasheria?,labda wanasheria wa kutetea matumbo yao
 
Wakati Tunakaribia uchaguzi mkuu 2025, Dream team imeanza kupangwa, Captain amepewa captain msaidizi {kapten kapunguziwa madaraka kijanja} huku mabeki wakipewa wanasheria.
Kapten kashtuka, ameamua kukaa kimya, naye anajipanga anataka namba 2025, wacha inyeshe tujua pavujapo.

Kanda ya Ziwa ambapo mikutano ya CAHDEMA imebamba sana, sasa team "JPM" imerudishwa ili wananchi wajione wanawakilishwa, Mabula ambaye amefeli sana kwenye Wizara ya Ardhi na pia kuhusishwa na kashfa kadha ameachwa.

1. Jerry Slaa, Waziri Ardhi-Mwanasheria
2. Anthony Mavunde, Waziri Madini-Mwanasheria
3. Pindi Chana, Waziri Katiba na Sheria-Mwanasheria
4. Dr. Damas Ndumbaro, Waziri Sanaa na Michezo-Mwanasheria
5. Omary Mchengerwa, Waziri Tamisemi-Mwanasheria
6. Ummy Mwalimu, Waziri afya-Mwanasheria
7. George Simbachawene, Waziri Utumishi-Mwanasheria
9. Angela Kairuki, Waziri Maliasili-Mwanasheria
10. Ridhiwan Kikwete, Naibu Waziri Utumishi-Mwanasheria
11. Byabato, Naibu Waziri mambo ya Nje-Mwanasheria
12. Judith Kapinga, Naibu Waziri Nishati-Mwanasheria.
13. Geofrey Pinda, Naibu Waziri Ardhi-Mwanasheria
14. Tulia Ackson [pHD ya Sheria]-Spika wa Bunge

Tupo salama kwa sasa baraza karibu lote ni learned brothers hatutegemei uchafu.
a😎🇹🇿
Hao wamesoma digrii ya Sheria, hawatambuliki kama mawakili isipokuwa watatu tu Dr Tulia, Ridhiwani na Ndumbalo
 
Hao wamesoma digrii ya Sheria, hawatambuliki kama mawakili isipokuwa watatu tu Dr Tulia, Ridhiwani na Ndumbalo
Upo sahihi, hii ni hoja: Lakini walau wana elimu hata kama research walifanyiwa na watu na hata kama walifanyiwa research walau wana uwezo wa kuongea.
 
Wakati Tunakaribia uchaguzi mkuu 2025, Dream team imeanza kupangwa, Captain amepewa captain msaidizi {kapten kapunguziwa madaraka kijanja} huku mabeki wakipewa wanasheria.
Kapten kashtuka, ameamua kukaa kimya, naye anajipanga anataka namba 2025, wacha inyeshe tujua pavujapo.

Kanda ya Ziwa ambapo mikutano ya CAHDEMA imebamba sana, sasa team "JPM" imerudishwa ili wananchi wajione wanawakilishwa, Mabula ambaye amefeli sana kwenye Wizara ya Ardhi na pia kuhusishwa na kashfa kadha ameachwa.

1. Jerry Slaa, Waziri Ardhi-Mwanasheria
2. Anthony Mavunde, Waziri Madini-Mwanasheria
3. Pindi Chana, Waziri Katiba na Sheria-Mwanasheria
4. Dr. Damas Ndumbaro, Waziri Sanaa na Michezo-Mwanasheria
5. Omary Mchengerwa, Waziri Tamisemi-Mwanasheria
6. Ummy Mwalimu, Waziri afya-Mwanasheria
7. George Simbachawene, Waziri Utumishi-Mwanasheria
9. Angela Kairuki, Waziri Maliasili-Mwanasheria
10. Ridhiwan Kikwete, Naibu Waziri Utumishi-Mwanasheria
11. Byabato, Naibu Waziri mambo ya Nje-Mwanasheria
12. Judith Kapinga, Naibu Waziri Nishati-Mwanasheria.
13. Geofrey Pinda, Naibu Waziri Ardhi-Mwanasheria
14. Tulia Ackson [pHD ya Sheria]-Spika wa Bunge

Tupo salama kwa sasa baraza karibu lote ni learned brothers hatutegemei uchafu.
a😎🇹🇿
Aisee kwa hiyo itakuwaje sasa
 
Wakati Tunakaribia uchaguzi mkuu 2025, Dream team imeanza kupangwa, Captain amepewa captain msaidizi {kapten kapunguziwa madaraka kijanja} huku mabeki wakipewa wanasheria.
Kapten kashtuka, ameamua kukaa kimya, naye anajipanga anataka namba 2025, wacha inyeshe tujua pavujapo.

Kanda ya Ziwa ambapo mikutano ya CAHDEMA imebamba sana, sasa team "JPM" imerudishwa ili wananchi wajione wanawakilishwa, Mabula ambaye amefeli sana kwenye Wizara ya Ardhi na pia kuhusishwa na kashfa kadha ameachwa.

1. Jerry Slaa, Waziri Ardhi-Mwanasheria
2. Anthony Mavunde, Waziri Madini-Mwanasheria
3. Pindi Chana, Waziri Katiba na Sheria-Mwanasheria
4. Dr. Damas Ndumbaro, Waziri Sanaa na Michezo-Mwanasheria
5. Omary Mchengerwa, Waziri Tamisemi-Mwanasheria
6. Ummy Mwalimu, Waziri afya-Mwanasheria
7. George Simbachawene, Waziri Utumishi-Mwanasheria
9. Angela Kairuki, Waziri Maliasili-Mwanasheria
10. Ridhiwan Kikwete, Naibu Waziri Utumishi-Mwanasheria
11. Byabato, Naibu Waziri mambo ya Nje-Mwanasheria
12. Judith Kapinga, Naibu Waziri Nishati-Mwanasheria.
13. Geofrey Pinda, Naibu Waziri Ardhi-Mwanasheria
14. Tulia Ackson [pHD ya Sheria]-Spika wa Bunge

Tupo salama kwa sasa baraza karibu lote ni learned brothers hatutegemei uchafu.
a😎🇹🇿
Hao wate ukiwajumlisha ni sawa na robo tu ya uwezo katika mambo ya kisheria wa mh lissu, taifa lilipofika tuitaji Mh lissu au wa aina yake kutuvusha, hakuna miujiza
Mh Lissu ndie ajaye asema Bwana na ilisha kuwa
 
Iko hivi, kama nimekosea niko tayari kusahihishwa.

1. Jerry Slaa, Waziri Ardhi-Mwanasheria
2. Anthony Mavunde, Waziri Madini-Mwanasheria
3. Pindi Chana, Waziri Katiba na Sheria-Mwanasheria
4. Dr. Damas Ndumbaro, Waziri Sanaa na Michezo-Mwanasheria
5. Omary Mchengerwa, Waziri Tamisemi-Mwanasheria
6. Ummy Mwalimu, Waziri afya-Mwanasheria
7. George Simbachawene, Waziri Utumishi-Mwanasheria
9. Angela Kairuki, Waziri Maliasili-Mwanasheria
10. Ridhiwan Kikwete, Naibu Waziri Utumishi-Mwanasheria
11. Byabato, Naibu Waziri mambo ya Nje-Mwanasheria
12. Judith Kapinga, Naibu Waziri Nishati-Mwanasheria.
13. Geofrey Pinda, Naibu Waziri Ardhi-Mwanasheria
 
Iko hivi, kama nimekosea niko tayari kusahihishwa.

1. Jerry Slaa, Waziri Ardhi-Mwanasheria
2. Anthony Mavunde, Waziri Madini-Mwanasheria
3. Pindi Chana, Waziri Katiba na Sheria-Mwanasheria
4. Dr. Damas Ndumbaro, Waziri Sanaa na Michezo-Mwanasheria
5. Omary Mchengerwa, Waziri Tamisemi-Mwanasheria
6. Ummy Mwalimu, Waziri afya-Mwanasheria
7. George Simbachawene, Waziri Utumishi-Mwanasheria
9. Angela Kairuki, Waziri Maliasili-Mwanasheria
10. Ridhiwan Kikwete, Naibu Waziri Utumishi-Mwanasheria
11. Byabato, Naibu Waziri mambo ya Nje-Mwanasheria
12. Judith Kapinga, Naibu Waziri Nishati-Mwanasheria.
13. Geofrey Pinda, Naibu Waziri Ardhi-Mwanasheria
jerry slaa aliweka mkeka wake na kweli amekula
 
Iko hivi, kama nimekosea niko tayari kusahihishwa.

1. Jerry Slaa, Waziri Ardhi-Mwanasheria
2. Anthony Mavunde, Waziri Madini-Mwanasheria
3. Pindi Chana, Waziri Katiba na Sheria-Mwanasheria
4. Dr. Damas Ndumbaro, Waziri Sanaa na Michezo-Mwanasheria
5. Omary Mchengerwa, Waziri Tamisemi-Mwanasheria
6. Ummy Mwalimu, Waziri afya-Mwanasheria
7. George Simbachawene, Waziri Utumishi-Mwanasheria
9. Angela Kairuki, Waziri Maliasili-Mwanasheria
10. Ridhiwan Kikwete, Naibu Waziri Utumishi-Mwanasheria
11. Byabato, Naibu Waziri mambo ya Nje-Mwanasheria
12. Judith Kapinga, Naibu Waziri Nishati-Mwanasheria.
13. Geofrey Pinda, Naibu Waziri Ardhi-Mwanasheria
Hao ni wanasheria vyeti, wangekuwa wanasheria kweli wenye uwezo tungewaona kwenye mahakama za kimataifa wakiitetea nchi.
 
Iko hivi, kama nimekosea niko tayari kusahihishwa.

1. Jerry Slaa, Waziri Ardhi-Mwanasheria
2. Anthony Mavunde, Waziri Madini-Mwanasheria
3. Pindi Chana, Waziri Katiba na Sheria-Mwanasheria
4. Dr. Damas Ndumbaro, Waziri Sanaa na Michezo-Mwanasheria
5. Omary Mchengerwa, Waziri Tamisemi-Mwanasheria
6. Ummy Mwalimu, Waziri afya-Mwanasheria
7. George Simbachawene, Waziri Utumishi-Mwanasheria
9. Angela Kairuki, Waziri Maliasili-Mwanasheria
10. Ridhiwan Kikwete, Naibu Waziri Utumishi-Mwanasheria
11. Byabato, Naibu Waziri mambo ya Nje-Mwanasheria
12. Judith Kapinga, Naibu Waziri Nishati-Mwanasheria.
13. Geofrey Pinda, Naibu Waziri Ardhi-Mwanasheria
Hivi Jafo yupo wizara gani?
 
Back
Top Bottom