Kuna siri gani Rais kujaza wanasheria kwenye Baraza la Mawaziri?

Kuna siri gani Rais kujaza wanasheria kwenye Baraza la Mawaziri?

Kiukweli fani ya sheria ni fani adhimu!.
  1. Spika wa Bunge Dr. Tulia Akson ni mwanasheria
  2. Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Juma ni mwanasheria
  3. GAC Kicheere ni Mwanasheria
  4. Mkurugenzi Mkuu wa TAA ni mwanasheria
  5. Mkurugenzi Mkuu wa TCAA ni mwanasheria.
  6. Katibu Mkuu Utalii Dr. Hassan Abasi ni mwanasheria
  7. Katibu Mkuu Michezo na Utamaduni ni ni mwanasheria
p

Mkuu P.

Fani zote ni adhimu kama maadili yake yakishikiliwa.

Udaktari wa binadamu, uandishi wa habari, na uanasheria ni fani ambazo maadili husomwa na kusisitizwa sana huko vyuoni.

Ila wahusika wakisha tunukiwa hizo shahada kinachofuata ni posturing nyingi tu, na upigaji hasa kwenu nyie wanasheria.

Na kwasababu Tz yetu haina vyombo vyenye dhamira thabiti ya kukukazia hayo maadili, posturing inakuwa ndiyo taswira ya kudumu inayoonekana kwa wananchi.

Ndiyo maana hata uadhimu wa hizo fani hauonekani tena au kutiliwa maanani na kizazi cha leo.
 
Wakati Tunakaribia uchaguzi mkuu 2025, Dream team imeanza kupangwa, Captain amepewa captain msaidizi {kapten kapunguziwa madaraka kijanja} huku mabeki wakipewa wanasheria.

Kapten kashtuka, ameamua kukaa kimya, naye anajipanga anataka namba 2025, wacha inyeshe tujua pavujapo.

Kanda ya Ziwa ambapo mikutano ya CAHDEMA imebamba sana, sasa team "JPM" imerudishwa ili wananchi wajione wanawakilishwa, Mabula ambaye amefeli sana kwenye Wizara ya Ardhi na pia kuhusishwa na kashfa kadha ameachwa.

1. Jerry Slaa, Waziri Ardhi-Mwanasheria
2. Anthony Mavunde, Waziri Madini-Mwanasheria
3. Pindi Chana, Waziri Katiba na Sheria-Mwanasheria
4. Dr. Damas Ndumbaro, Waziri Sanaa na Michezo-Mwanasheria
5. Omary Mchengerwa, Waziri Tamisemi-Mwanasheria
6. Ummy Mwalimu, Waziri afya-Mwanasheria
7. George Simbachawene, Waziri Utumishi-Mwanasheria
9. Angela Kairuki, Waziri Maliasili-Mwanasheria
10. Ridhiwan Kikwete, Naibu Waziri Utumishi-Mwanasheria
11. Byabato, Naibu Waziri mambo ya Nje-Mwanasheria
12. Judith Kapinga, Naibu Waziri Nishati-Mwanasheria.
13. Geofrey Pinda, Naibu Waziri Ardhi-Mwanasheria
14. Tulia Ackson [pHD ya Sheria]-Spika wa Bunge

Tupo salama kwa sasa baraza karibu lote ni learned brothers hatutegemei uchafu.
a😎🇹🇿
wanasheria ndio viumbe wenye akili hapa duniani wewe.
 
Wakati Tunakaribia uchaguzi mkuu 2025, Dream team imeanza kupangwa, Captain amepewa captain msaidizi {kapten kapunguziwa madaraka kijanja} huku mabeki wakipewa wanasheria.

Kapten kashtuka, ameamua kukaa kimya, naye anajipanga anataka namba 2025, wacha inyeshe tujua pavujapo.

Kanda ya Ziwa ambapo mikutano ya CAHDEMA imebamba sana, sasa team "JPM" imerudishwa ili wananchi wajione wanawakilishwa, Mabula ambaye amefeli sana kwenye Wizara ya Ardhi na pia kuhusishwa na kashfa kadha ameachwa.

1. Jerry Slaa, Waziri Ardhi-Mwanasheria
2. Anthony Mavunde, Waziri Madini-Mwanasheria
3. Pindi Chana, Waziri Katiba na Sheria-Mwanasheria
4. Dr. Damas Ndumbaro, Waziri Sanaa na Michezo-Mwanasheria
5. Omary Mchengerwa, Waziri Tamisemi-Mwanasheria
6. Ummy Mwalimu, Waziri afya-Mwanasheria
7. George Simbachawene, Waziri Utumishi-Mwanasheria
9. Angela Kairuki, Waziri Maliasili-Mwanasheria
10. Ridhiwan Kikwete, Naibu Waziri Utumishi-Mwanasheria
11. Byabato, Naibu Waziri mambo ya Nje-Mwanasheria
12. Judith Kapinga, Naibu Waziri Nishati-Mwanasheria.
13. Geofrey Pinda, Naibu Waziri Ardhi-Mwanasheria
14. Tulia Ackson [pHD ya Sheria]-Spika wa Bunge

Tupo salama kwa sasa baraza karibu lote ni learned brothers hatutegemei uchafu.
a😎🇹🇿
Sasa kuna kitu cha kujifunza unapoona baraza limejaa wanasheria alafu kinachoendelea kwenye mambo ya nchi ni chenga tu au sifuri kwa maneno mengine,sasa hapo unapata picha ya wanasheria wanaozalishwa na vyuo vyetu kuwa ni chenga tupu na hivyo maboresho kwenye kitivo cha sheria vyuo vikuu hayakwepeki maana ishara ziko wazi kuna umbumbumbu mkubwa sana na sio kidogo kwenye sheria na ufahamu wake kwa wahitimu wetu.
 
Wakati Tunakaribia uchaguzi mkuu 2025, Dream team imeanza kupangwa, Captain amepewa captain msaidizi {kapten kapunguziwa madaraka kijanja} huku mabeki wakipewa wanasheria.

Kapten kashtuka, ameamua kukaa kimya, naye anajipanga anataka namba 2025, wacha inyeshe tujua pavujapo.

Kanda ya Ziwa ambapo mikutano ya CAHDEMA imebamba sana, sasa team "JPM" imerudishwa ili wananchi wajione wanawakilishwa, Mabula ambaye amefeli sana kwenye Wizara ya Ardhi na pia kuhusishwa na kashfa kadha ameachwa.

1. Jerry Slaa, Waziri Ardhi-Mwanasheria
2. Anthony Mavunde, Waziri Madini-Mwanasheria
3. Pindi Chana, Waziri Katiba na Sheria-Mwanasheria
4. Dr. Damas Ndumbaro, Waziri Sanaa na Michezo-Mwanasheria
5. Omary Mchengerwa, Waziri Tamisemi-Mwanasheria
6. Ummy Mwalimu, Waziri afya-Mwanasheria
7. George Simbachawene, Waziri Utumishi-Mwanasheria
9. Angela Kairuki, Waziri Maliasili-Mwanasheria
10. Ridhiwan Kikwete, Naibu Waziri Utumishi-Mwanasheria
11. Byabato, Naibu Waziri mambo ya Nje-Mwanasheria
12. Judith Kapinga, Naibu Waziri Nishati-Mwanasheria.
13. Geofrey Pinda, Naibu Waziri Ardhi-Mwanasheria
14. Tulia Ackson [pHD ya Sheria]-Spika wa Bunge

Tupo salama kwa sasa baraza karibu lote ni learned brothers hatutegemei uchafu.
a😎🇹🇿
Na kadi za chama chetu zinaendelea kurudishwa jana ilikuwa kwa wamasai
 
Back
Top Bottom