BALENSIAGA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2019
- 3,353
- 5,800
Wizara zote alizopelekwa kaharibuWewe unamwonaje Jafo?
Mtu maarufu aliyesoma SUA ni Harmy B.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wizara zote alizopelekwa kaharibuWewe unamwonaje Jafo?
MzaramoHivi Jafo yupo wizara gani?
Tundu LissuKumbe mkwe naye yumo.
Kitu hujui ni kuwa hao wote hawawezi mchuano wa mwanasheria mmoja msomi, sijui unanielewa ?
Hao ni wanasheria vyeti, wangekuwa wanasheria kweli wenye uwezo tungewaona kwenye mahakama za kimataifa wakiitetea nchi.
Kama umesoma sheria na huja practice sheria (underline practice sheria), wewe bado ni mbumbumbu (layperson) tu.Iko hivi, kama nimekosea niko tayari kusahihishwa.
1. Jerry Slaa, Waziri Ardhi-Mwanasheria
2. Anthony Mavunde, Waziri Madini-Mwanasheria
3. Pindi Chana, Waziri Katiba na Sheria-Mwanasheria
4. Dr. Damas Ndumbaro, Waziri Sanaa na Michezo-Mwanasheria
5. Omary Mchengerwa, Waziri Tamisemi-Mwanasheria
6. Ummy Mwalimu, Waziri afya-Mwanasheria
7. George Simbachawene, Waziri Utumishi-Mwanasheria
9. Angela Kairuki, Waziri Maliasili-Mwanasheria
10. Ridhiwan Kikwete, Naibu Waziri Utumishi-Mwanasheria
11. Byabato, Naibu Waziri mambo ya Nje-Mwanasheria
12. Judith Kapinga, Naibu Waziri Nishati-Mwanasheria.
13. Geofrey Pinda, Naibu Waziri Ardhi-Mwanasheria
Mimi sijifanyi mwanasheria.Kwanini usiitetee wewe?
Anaweza kuwa Ni hafifu wa Sheria na ana madili yake ikiwemo DP World na misitu na mbugaIko hivi, kama nimekosea niko tayari kusahihishwa.
1. Jerry Slaa, Waziri Ardhi-Mwanasheria
2. Anthony Mavunde, Waziri Madini-Mwanasheria
3. Pindi Chana, Waziri Katiba na Sheria-Mwanasheria
4. Dr. Damas Ndumbaro, Waziri Sanaa na Michezo-Mwanasheria
5. Omary Mchengerwa, Waziri Tamisemi-Mwanasheria
6. Ummy Mwalimu, Waziri afya-Mwanasheria
7. George Simbachawene, Waziri Utumishi-Mwanasheria
9. Angela Kairuki, Waziri Maliasili-Mwanasheria
10. Ridhiwan Kikwete, Naibu Waziri Utumishi-Mwanasheria
11. Byabato, Naibu Waziri mambo ya Nje-Mwanasheria
12. Judith Kapinga, Naibu Waziri Nishati-Mwanasheria.
13. Geofrey Pinda, Naibu Waziri Ardhi-Mwanasheria
Hakuna mwanasheria hata mmoja hapo. Wote hao wana makaratasi yanayowatambulisha kuwa wanasheria lkn vichwani mwao hawana tofauti na barmaid wa Kona bar .Iko hivi, kama nimekosea niko tayari kusahihishwa.
1. Jerry Slaa, Waziri Ardhi-Mwanasheria
2. Anthony Mavunde, Waziri Madini-Mwanasheria
3. Pindi Chana, Waziri Katiba na Sheria-Mwanasheria
4. Dr. Damas Ndumbaro, Waziri Sanaa na Michezo-Mwanasheria
5. Omary Mchengerwa, Waziri Tamisemi-Mwanasheria
6. Ummy Mwalimu, Waziri afya-Mwanasheria
7. George Simbachawene, Waziri Utumishi-Mwanasheria
9. Angela Kairuki, Waziri Maliasili-Mwanasheria
10. Ridhiwan Kikwete, Naibu Waziri Utumishi-Mwanasheria
11. Byabato, Naibu Waziri mambo ya Nje-Mwanasheria
12. Judith Kapinga, Naibu Waziri Nishati-Mwanasheria.
13. Geofrey Pinda, Naibu Waziri Ardhi-Mwanasheria
Huyu nyota yake inaelekea kuzimika kabisa. Hapendwi mpk na wake zakeHivi Jafo yupo wizara gani?
Mimi sijifanyi mwanasheria.
Hao wengine kazi yao ni kuuza sura ama?Ulianbiwa kazi ya wanasheria wote ni kutetea nchi?
Thubutu waende Kule wakapate Aibu watakutana na junior lawyers watawatoa jasho na makaratasi Yao ya UDSMHao ni wanasheria vyeti, wangekuwa wanasheria kweli wenye uwezo tungewaona kwenye mahakama za kimataifa wakiitetea nchi.
Hawa hawa wa dp world?Iko hivi, kama nimekosea niko tayari kusahihishwa.
1. Jerry Slaa, Waziri Ardhi-Mwanasheria
2. Anthony Mavunde, Waziri Madini-Mwanasheria
3. Pindi Chana, Waziri Katiba na Sheria-Mwanasheria
4. Dr. Damas Ndumbaro, Waziri Sanaa na Michezo-Mwanasheria
5. Omary Mchengerwa, Waziri Tamisemi-Mwanasheria
6. Ummy Mwalimu, Waziri afya-Mwanasheria
7. George Simbachawene, Waziri Utumishi-Mwanasheria
9. Angela Kairuki, Waziri Maliasili-Mwanasheria
10. Ridhiwan Kikwete, Naibu Waziri Utumishi-Mwanasheria
11. Byabato, Naibu Waziri mambo ya Nje-Mwanasheria
12. Judith Kapinga, Naibu Waziri Nishati-Mwanasheria.
13. Geofrey Pinda, Naibu Waziri Ardhi-Mwanasheria
Hao wengine kazi yao ni kuuza sura ama?
Unauliza au unapigia jibu mstari?Ni kutetea maslahi yao binafsi nothing wrong with that. Wewe unatetea nchi kwenye fani yako?