Kuna tatizo mahali kwenye nafasi ya uongozi nchi hii. Je, kafara la Lindi linahusika?

Unachoongea upo kwenye upofu nisingependa mada iingie kwenye malumbano ya kidini.Nafunga mjadala kati yangu na wewe.
Nimependezwa sana na jibu lako hakika umeufurahisha sana moyo wangu,ndg yangu hii dunia ina watu wa aina nyingi sana mojawapo ni huyu anaebisha mambo asiyoyajua,mambo ya rohoni kuajua inahitajika Neema kweli kweli
 
La Lindi hujalidadafua mkuu tulijue kidogo
Walichagua Tabora wachawi wake wakajitetea zindiko hilo litahusisha majini mengi na huko Tabora hakuna maji mengi.Tanga wakagoma wakasema mazindiko mengi makubwa yalifanyikia kwao ikabakia Lindi wapo karibu na bahari na madhara yake ni mkoa kuwa masikini kuliko na wananchi zindiko lilipofanyika kuwa na akili au uelewa mdogo.

Walizindika Kwa kutumia shimo kubwa linalozunguka na majini mengi mnooo na waliweka aina na species zote za mazao,mimea,wanyama, binadamu ,madini ,samaki bila kusahau yaani kila kitu.Hata mzee wao mchawi mkuu aliyeshiriki zindiko kuu la nchi la kwanza la Bagamoyo mzee Mfaume Golo Tumbo alifariki
Credit kwake Dive
 
La Lindi hujalidadafua mkuu tulijue kidogo
Walichagua Tabora wachawi wake wakajitetea zindiko hilo litahusisha majini mengi na huko Tabora hakuna maji mengi.Tanga wakagoma wakasema mazindiko mengi makubwa yalifanyikia kwao ikabakia Lindi wapo karibu na bahari na madhara yake ni mkoa kuwa masikini kuliko na wananchi zindiko lilipofanyika kuwa na akili au uelewa mdogo.

Walizindika Kwa kutumia shimo kubwa linalozunguka na majini mengi mnooo na waliweka aina na species zote za mazao,mimea,wanyama, binadamu ,madini ,samaki bila kusahau yaani kila kitu.Hata mzee wao mchawi mkuu aliyeshiriki zindiko kuu la nchi la kwanza la Bagamoyo mzee Mfaume Golo Tumbo alifariki
Credit kwake Dive
 
Hapa pazito... Hakuna namna ya kuliangamiza hilo zindiko ili tuanze upya? Wananchi tuna teseka jamani na makosa ya wachache
Walichagua Tabora wachawi wake wakajitetea zindiko hilo litahusisha majini mengi na huko Tabora hakuna maji mengi.Tanga wakagoma wakasema mazindiko mengi makubwa yalifanyikia kwao ikabakia Lindi wapo karibu na bahari na madhara yake ni mkoa kuwa masikini kuliko na wananchi zindiko lilipofanyika kuwa na akili au uelewa mdogo.

Walizindika Kwa kutumia shimo kubwa linalozunguka na majini mengi mnooo na waliweka aina na species zote za mazao,mimea,wanyama, binadamu ,madini ,samaki bila kusahau yaani kila kitu.Hata mzee wao mchawi mkuu aliyeshiriki zindiko kuu la nchi la kwanza la Bagamoyo mzee Mfaume Golo Tumbo alifariki[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827]
Kafara na tambiko zake hapa si za kitoto na inahitaji maandalizi makubwa sana na muda wa kutosha sio siku wala wiki..
Kuna hatua kama saba za kuweza kufanya ili kufubaza hili tambiko..Lakini ni nani wa kulifanya? Walioko madarakani? THUBUTUUUU
 
Hapo Nyerere umemtoa lakini yeye ndio mwanzilishi wa hayo yote.
 
Sasa Chief kwanini amuombe Mungu?, Hauoni kumwambia amuombe Mungu ni kukubaliana naye kuwa kweli hizo nguvu giza zipo?
 
HAKUNA JIPYA. HILI LIMESHAANDIKWA SANA. TENA NA TENA.

Ngoja nikupe Darsa kidogo la lugha na maana.
"Baba, sisi tunataka kuwasha mwenge na kuuweka juu ya mlima Kilimanjaro, umulike HATA nje ya mipaka yetu, ulete tumaini mahala pasipo na tumaini"

Mtu anapoaema umulike HATA maana yake ni nyongeza. Umulike ndani na hata nje ya mipaka yetu. Sasa wewe mwenyewe hapo juu ulicopy na kupaste maneno yaliyosemwa kama yalivyo. Ila chini umekuka ondoa neno HATA. umetukosea sisi wasomi.

Kabla hujaandika uwe unajua kuna watu mbalimbali humu ndani. Na uelewa umetofautiana.

Nikisema HATA mbwa anauma maana yake kuna mnyama mwingine yupo anauma. Tunataka kuwasha taa HATA za nje ziwashwe. Maana yake za ndani ni kawaida na kuna nyongeza ya taa za nje pia kuwashwa.

Habari za Makafara na ninii sijui ni uongo ule ule wa miaka yote. Tanzania inahitaji kuelimika ili iwe na mtizamo mpya zaidi.


 
Funguka zaidi Mshana hata Kwa codes mbona mie naweka nyama za kutosha au hupendi watu wajue hebu muda unao weka madini humu watu waamke nchi inapelekwa kiroho na ndiyo maana kimwili no delivery
I think hata viongozi wetu huanza vizuri ila ikifikia mahali hubadilika na kufungwa ufahamu wa kutenda mambo
 
Kafara la Lindi mtafute mtu anaitwa Omari Mnyeshani amezungumzia vizuri na amehusika moja kwa moja
 
Uko sahihi kabisa mkuu,nimependa maelezo yako
Nauliza hivi kupitia maombi makali haya mazindiko hayawezi kusambaratika?
 
Hajapiga mchonga ni wale Wazee wenye chama chao na ni kabla ya 1990 Lindi na tukumbuke Wana mazindiko madogo madogo mara kwa mara
Hebu tuanze kuchangishana tupate hela sasa tukalinunue halafu tujenge hema kuu ya Mungu mkuu Muumba wetu tukusanye watu wa kiroho wanaosema na mungu wetu tukakemee hayo mashetani Taifa lipone!!!
 
Sasa nimeelewa why dangote hapa juzi aliposema anataka kuwekeza kati ya lindi na mtwara serikali eti ikasema aende Mtwara na sio Lindi!Nikajiuliza sana ambavyo huko Lindi kulivyokua nyuma why wasimpe huko?
Kumbe bwana wanayajua maagano yao,wanaogopa kuyageuka!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kuna hivi vifo pia vinahusishwa na kafara la Lindi
Mkuu wa nchi
Mtendaji mkuu
Mlinzi wa sheria
Mkuu wa walinzi
Sasa najiuliza why wamuondoe huyu mkuu wa nchi?au inawezekana huyu alikua kinyume na mambo yao?pengine mzee ndo alikua anatupeleka on the right track?au aliwakwaza wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…