Kuna tatizo mahali kwenye nafasi ya uongozi nchi hii. Je, kafara la Lindi linahusika?

Mashahidi wa YEHOVA umewaonea
 
JIWE ALIUAWA NA ALIJUA ATAUAWA NDO MAANA ALIAWMA KUNASIKU MTANIKUMBUKA AU MANENO KAMA NAFANYA KAZI HII NGUMU ILI MTAWALA AJAE ATAWQLE Vizuri.
Jiwe alioewa mashart ya kuchawi akakataa..ndo maana aliamua kusali kila siku na kukimbilia chato katika kupambana.
Hivyo akina kinenes na ikwetwa kwa kushirikiana na watu wa nje wakaamua kumuua..huku wakiwahusisha watu waliikuwa karibu yake..


Huu ni uongo mkubwa kabisa. Kwani Mwendazake alijaribiwa kichawi Luangwa pekee yake?, halafu mbona sababu za kifo chake hazihusiani na kishirikina?
 
Mkuu unaweza tolea ushahidi ulichoandika..?!
 
Hivyo akina kinenes na ikwetwa kwa kushirikiana na watu wa nje wakaamua kumuua..huku wakiwahusisha watu waliikuwa karibu yake..[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]
 
Hivi huyo mkuu wa anga ni nani? Hapa kuna jirani yangu kila akisali anasema ANAMTEKA MKUU WA ANGA. Yaani leo anamteka, kesho anamteka tena wala hatusikii lini huyo mkuu wa anga amekimbia mateka
Soma kitabu cha Daniel utakutana na hii habari! Daniel alipofunga Siku 21 na majibu yakachelewa!



Sent from my TECNO P701 using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli yalifanyika, lakini hayana nguvu hayo sshv kadri muda unavyoenda ndo maana Vita ni kubwa mno na wao hawataki kuachia,ila itafahamika tu!

Sent from my TECNO P701 using JamiiForums mobile app
 
Kuna hivi vifo pia vinahusishwa na kafara la Lindi
Mkuu wa nchi
Mtendaji mkuu
Mlinzi wa sheria
Mkuu wa walinzi
Mhhhhh hapo kuna kimoja hakijapoa kabisa kwamba hao waliharibu Sana hadi kufa au ndiyo as usual
 
Kusitisha mbio za mwenge mwaka jana kuna husika pia.Rejea maagano ya shetani na ccm kwenye zindiko la mapangoni bagamoyo.
Viongozi wa dini kujeni hapa tuikomboe nchi tuvunje maagano na shetani tuwe huru.
Viongozi wa dini hawawezi kusaidia mkuu,wako mwilini tu!
Hapa ni wale wanaomtumikia Mungu wa kweli ambao wapo kiroho zaidi ndo wanaweza,hats hivyo wanaonba sana na kuvunja ndo ujue sio vita ndogo lazima ufanye kwa maelekezo! Yaani Mungu akupe maelekezo,sababu huwezi vunja agano ambalo hujui lilifungwaje!
Ulimwengu wa roho una principal zake pia

Sent from my TECNO P701 using JamiiForums mobile app
 
Kwenu ndipo masikini kuliko pote nchini na ndipo penye watu wenye low IQ kuliko wote nchini japo kuna utajiri wa raslimali tele,chanzo ni kafara la kuitambikia nchi 1992.
Nyie waongo watupu. Lindi sio mkoa masikini kuliko yote TZ. Yaani hata darasa la 7 anapata hilo swali. Wewe inaonekana ndio wale wale unafaulu kwa madesa.

sababu za mikoa mingi ya pwani kuwa masikini ndio utakuwa hujui kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…