Kuna tatizo mahali kwenye nafasi ya uongozi nchi hii. Je, kafara la Lindi linahusika?

Kuna tatizo mahali kwenye nafasi ya uongozi nchi hii. Je, kafara la Lindi linahusika?

Mkuu wa anga ni aina za majini au fallen angels wanaozuia maombi yetu yasimfikie Mungu. Ni jini mkubwa na wenzie (wakuu wa anga). Kumbuka Lusifa ana wenzie 6 Malaika waasi na wao na wengine ni theluthi (moja ya tatu) ya Malaika na walipoasi walishushwa chini ni matrilioni ya viumbe vya kiroho vinavyotutesa.
Nitataja Hao 6 na baadae ila tukumbuke ulimwengu wa roho una madaraja 7 nayo ni physical realm (ulimwengu wa nyama) huu wa kibinadamu ,pili ni spiritual huko ndiko mizimu ,wachawi ,misukule,majini wa kati ,vibwengo n.k. yaani tofauti na WA nyama ,tatu ni Luciferian hawa ni majini wakubwa ambao wanaitawala dunia na watu wakubwa duniani wakipata ukuu wa spiritual realm wanaenda huku ili wawe wakuu kidunia kama vile tajiri wa dunia, kucontrol teknolojia na Sayansi za dunia,magonjwa na tiba kidunia,nne ni Fallen Angels realm yaani Lucifer na kaka zake 5 na dada Yao mmoja hawa ndiyo wameleta dini za uongo zote kuanzia uhindu, budha,tao,Shinto,Mashahidi wa Yehova na zingine pia wasioamini Mungunitaongelea siku ingine na maovu yote .Tano ni Angels realm, SITA ni Prophets and seers realm yaani manabii na waonaji Mungu huwaonyesha hawa vingi vinavyotokea .Daraja la 7 la Mungu ni la juu huko Mungu ana wenye uhai wanne na Wazee 24 yaani 12 wa zamani enzi za agano la kale na 12 wale wanafunzi wa Yesu ila Yuda Iskarioti hayumo.
Mashahidi wa YEHOVA umewaonea
 
JIWE ALIUAWA NA ALIJUA ATAUAWA NDO MAANA ALIAWMA KUNASIKU MTANIKUMBUKA AU MANENO KAMA NAFANYA KAZI HII NGUMU ILI MTAWALA AJAE ATAWQLE Vizuri.
Jiwe alioewa mashart ya kuchawi akakataa..ndo maana aliamua kusali kila siku na kukimbilia chato katika kupambana.
Hivyo akina kinenes na ikwetwa kwa kushirikiana na watu wa nje wakaamua kumuua..huku wakiwahusisha watu waliikuwa karibu yake..


Huu ni uongo mkubwa kabisa. Kwani Mwendazake alijaribiwa kichawi Luangwa pekee yake?, halafu mbona sababu za kifo chake hazihusiani na kishirikina?
 
JIWE ALIUAWA NA ALIJUA ATAUAWA NDO MAANA ALIAWMA KUNASIKU MTANIKUMBUKA AU MANENO KAMA NAFANYA KAZI HII NGUMU ILI MTAWALA AJAE ATAWQLE Vizuri.
Jiwe alioewa mashart ya kuchawi akakataa..ndo maana aliamua kusali kila siku na kukimbilia chato katika kupambana.
Hivyo akina kinenes na ikwetwa kwa kushirikiana na watu wa nje wakaamua kumuua..huku wakiwahusisha watu waliikuwa karibu yake..
Mkuu unaweza tolea ushahidi ulichoandika..?!
 
JIWE ALIUAWA NA ALIJUA ATAUAWA NDO MAANA ALIAWMA KUNASIKU MTANIKUMBUKA AU MANENO KAMA NAFANYA KAZI HII NGUMU ILI MTAWALA AJAE ATAWQLE Vizuri.
Jiwe alioewa mashart ya kuchawi akakataa..ndo maana aliamua kusali kila siku na kukimbilia chato katika kupambana.
Hivyo akina kinenes na ikwetwa kwa kushirikiana na watu wa nje wakaamua kumuua..huku wakiwahusisha watu waliikuwa karibu yake..
Hivyo akina kinenes na ikwetwa kwa kushirikiana na watu wa nje wakaamua kumuua..huku wakiwahusisha watu waliikuwa karibu yake..[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]
 
Hivi huyo mkuu wa anga ni nani? Hapa kuna jirani yangu kila akisali anasema ANAMTEKA MKUU WA ANGA. Yaani leo anamteka, kesho anamteka tena wala hatusikii lini huyo mkuu wa anga amekimbia mateka
Soma kitabu cha Daniel utakutana na hii habari! Daniel alipofunga Siku 21 na majibu yakachelewa!



Sent from my TECNO P701 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna taifa lolote duniani lililosimama imara bila nguvu za mkuu wa anga! Kuanzia matambiko mpaka makafara na vyama vya kishetani.

Hivi vyote vimejenga madhabahu zao kwenye kila ardhi ya kila taifa. Wananchi wake wana dini na imani zao lakini mataifa yamesimikwa kwenye hizi madhabahu viapo na makafara.

Tanzania nj taifa kama mataifa mengine duniani, nayo ina makafara na madhabahu zake za kuifanya nchi itawalike iheshimike na iwe na 'stability' kwenye kila nyanja kuanzia kiuchumi, kijamii, kimaono mpaka kiulinzi nk

Kuna makafara ya kuilinda Tanzania yanatajwatajwa sana.. Kafara la Bagamoyo na kafara la Lindi! Kafara la Bagamoyo linaelezewa kwa ufasaha na wahusika wake wanajulikana.. Shida ipo kwenye usiri mkubwa unaotawala kwenye kafara la Lindi

Hili limebaki kuwa fumbo na tetesi isiyothibitishwa popote. Wanaolijua ni wachache na hulisimulia kwa tahadhari kubwa sana! Lina nini ndani yake hili?

Kafara la Bagamoyo ni la moto..na kiongozi wake ni Mzee mchawi marehemu Forojo Ganze na hiki ndicho alikisema kabla ya kukata roho

"Baba, sisi tunataka kuwasha mwenge na kuuweka juu ya mlima Kilimanjaro, umulike hata nje ya mipaka yetu, ulete tumaini mahala pasipo na tumaini, faraja palipo na huzuni, tumaini pasipo na tumaini, upendo penye chuki na heshima palipo na dharau"

Baada ya kutamka hayo mbele ya Mwl. Nyerere, Ganze alikata roho na ndipo ukaanzishwa Mwenge wa Uhuru. Kinachonishangaza hapa ni kile kipengele kisemacho"UMULIKE NJE YA MIPAKA YETU". Ina maana ndani ya nchi tubaki gizani kama tulivyo sasa?

Hli kafara la Bagamoyo tunaweza kuliita kafara la mambo ya nje na lile la Lindi tunaweza kuliita la mambo ya ndani...sasa hapa ndio penye shida...ni kafara la mambo ya ndani na limebaki ndani na kuwa siri kubwa

Mwalimu Nyerere Mchonga meno kwa hakika anayajua vema makafara yote mawili na miiko yake na pengine ndio maana katika tawala zote tangu uhuru ni utawala wake pekee ndio ukifanikiwa kwa kiwango cha juu kwenye
Kuweka misingi sahihi ya uongozi, uwajibikaji na uzalendo
Kuweka misingi sahihi kijamii, kisiasa na kiulinzi
Kuweka misingi sahihi ya kimtazamo na kimaono
Mipango endelevu na dira sahihi tangu tulipoanzia, tulipofikia na tunakoenda

Baada ya hapo waliofuatia wote kila mtu alikuja na MAGAZIJUTO YAKE na sarakasi zake
Baada ya hapo kila aliyeingia alianza vizuri lakini hakuchelewa kuharibu. Kama si kipindi cha kwanza basi cha pili cha uongozi wake
Baada ya hapo waliofuatia wote waliingia kwa upole na unyenyekevu lakini mara wakageuka wajivuni, wababe, na baadhi yao dharau kujikweza na kujimwambafai kwingi...bila kusahau vitisho na ugiligili mwingine mwingi
Baada ya hapo wengine wote watakanguliza maslahi binafsi, ya ndugu zao, jamaa zao na watu wote waliokuwa na maslahi nao

Mambo yanazidi kuharibika na pengine hawaoni wametiwa upofu.. Huu ugiligili sasa ni mpaka kwa viongozi wanaowateua kuwasaidia majukumu ya kiutendaji. Sasa hivi kiongozi akipewa kipaza sauti aongee mbele ya makamera asipotoa boko basi atatoa kituko cha karne ama kuongea yasiyowezekana

Matamko ni mengi mno
Maelekezo ni mengi mno
Makatazo ni mengi mno
Maonyo ni mengi mno
Yani haya ni mengi mno mpaka yanapishana barabarani na kupigana vibega

Kuna tatizo kubwa la kiuongozi na hili lina mizizi mirefu tangu ang'atuke mwalimu. Je, kwa mtazamo wa kiroho ni lile kafara la Lindi?
Wakati utaongea. Hebu tuupe muda!
Ni kweli yalifanyika, lakini hayana nguvu hayo sshv kadri muda unavyoenda ndo maana Vita ni kubwa mno na wao hawataki kuachia,ila itafahamika tu!

Sent from my TECNO P701 using JamiiForums mobile app
 
Kuna hivi vifo pia vinahusishwa na kafara la Lindi
Mkuu wa nchi
Mtendaji mkuu
Mlinzi wa sheria
Mkuu wa walinzi
Mhhhhh hapo kuna kimoja hakijapoa kabisa kwamba hao waliharibu Sana hadi kufa au ndiyo as usual
 
Kusitisha mbio za mwenge mwaka jana kuna husika pia.Rejea maagano ya shetani na ccm kwenye zindiko la mapangoni bagamoyo.
Viongozi wa dini kujeni hapa tuikomboe nchi tuvunje maagano na shetani tuwe huru.
Viongozi wa dini hawawezi kusaidia mkuu,wako mwilini tu!
Hapa ni wale wanaomtumikia Mungu wa kweli ambao wapo kiroho zaidi ndo wanaweza,hats hivyo wanaonba sana na kuvunja ndo ujue sio vita ndogo lazima ufanye kwa maelekezo! Yaani Mungu akupe maelekezo,sababu huwezi vunja agano ambalo hujui lilifungwaje!
Ulimwengu wa roho una principal zake pia

Sent from my TECNO P701 using JamiiForums mobile app
 
Kwenu ndipo masikini kuliko pote nchini na ndipo penye watu wenye low IQ kuliko wote nchini japo kuna utajiri wa raslimali tele,chanzo ni kafara la kuitambikia nchi 1992.
Nyie waongo watupu. Lindi sio mkoa masikini kuliko yote TZ. Yaani hata darasa la 7 anapata hilo swali. Wewe inaonekana ndio wale wale unafaulu kwa madesa.

sababu za mikoa mingi ya pwani kuwa masikini ndio utakuwa hujui kabisa
 
Back
Top Bottom