Tetesi: Kuna tetesi kuwa kuna mambo yatafanyika ili kuzima yanayojiri Sasa

Baada ya Wasaidizi wake kuona kuwa Mitandaoni Kumenuka na kila Kona anashambuliwa kwa Boko lake alilolitoa Jana kuna Kikao kimefanyika huku Mhusika akiwa anatia Huruma kwani kuna Mtu Mmoja anayemheshimu sana kamwambia Ukw
Hiyo namba 6 😊
Binafsi genta umechachamaa Sana siku ya Leo sijawaona watu kina bro Pascal Mayalla wakitoa maoni.

Kuna constructive criticism nilitaka niitoe kwa madam president Ila nimeamua kuacha.

Leo mitandao kumechafuka kila mahali na kila sehemu speech ya Jana ya mama kusema ukweli mama alipuyanga sana sio utani..
 
Hasa Watanzania wa dizaini za huyu Mwanafunzi wangu Lucas Mwashambwa na Chawa Mwenzake ChoiceVariable
🀣
Hao wakipewa buku 7 na matumaini HEWA ya uteuzi ndio wanajiona wao ndio wao.


Ngoja akamwage hela kwenye mpira na mastaa wa mtandaoni ndani ya dakika 0 watz wanasahau kila kitu.




Shida ni kule anakoendaga kuomba matrilioni na kukopa matrilioni kama na wenyewe watasahau jinsi walivyofokewa na kuchambwa.
 
Baada ya Wasaidizi wake kuona kuwa Mitandaoni Kumenuka na kila Kona anashambuliwa kwa Boko lake alilolitoa Jana kuna Kikao kimefanyika huku Mhusika akiwa anatia Huruma kwani kuna Mtu Mmoja anayemheshimu sana kamwambia Ukweli kuw
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€...kuna watu ni genius aisee, your among them, even before hayo kutokea, with a such kind of presentation ,have my salute brother
 
www.ramli.co.tz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…