Tetesi: Kuna tetesi kuwa kuna mambo yatafanyika ili kuzima yanayojiri Sasa

Mbali na kuandikiwa hotuba, kiongoz anatakiwa awe na uwezo wa kumwaga speech kutoka kwenye akili yake mwenyewe, yaani ajue kuendana na upepo uliopo. Haya mambo ya kuandikiwa unakuja andikiwa mambo ya jana
 
Mbali na kuandikiwa hotuba, kiongoz anatakiwa awe na uwezo wa kumwaga speech kutoka kwenye akili yake mwenyewe, yaani ajue kuendana na upepo uliopo. Haya mambo ya kuandikiwa unakuja andikiwa mambo ya jana
Pia watu huandika zaidi mambo ya kitakwimu lakini sio mawazo na misimamo binafsi
Tubadilike
 
BoniYai yupo lupango tayari. Anayefuata.......
 
oyah umejuaje we jamaa ni noma sana😁
Na ndiyo maana nikawa ni GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" Mkuu. Nina Zawadi (Shani / Tunu) kadhaa ambazo ni Nadra sana kuzikuta kwa Watu ambazo nimepewa na Mwenyezi Mungu. Namshukuru mno Mwenyezi Mungu kwa Kunibariki nazo.
 
Inaonekana hana
raha kbs kwenye hicho cheo. Ndani na nje ya chama chake hawamtaki
 
Namba 6 nimeelewa zaidi.

Pia, ongeza namba 7 kuna connection ya mastar wetu wa kibongo itavuja.
8. Kutaibuka mvutano kati ya mond na kiba au Konde boy na WCB au hata Mwijaku kutoa Boko li watuhamishe kwani ni kweli bi. Mipasho jana kachemka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…