Mr Leo
JF-Expert Member
- May 1, 2021
- 604
- 1,269
Mimi swali langu moja tu la kuuliza...kwanini Tanzania when it comes to salary na maslahi mengine hususani kwenye tasnia ya mpira wa miguu huwa hawaweki wazi kama wenzetu(ulaya na America kadhalika Asia) pindi tu mchezaji bado hajasaini mkataba offer yake inakuwa ipo wazi na akisaini mambo yanawekwa wazi maslahi yake, offer na mshahara lakini kwetu always huwa ni skendo tu
Nasema skendo tu kwasababu taarifa kama hizi hazitoki kwenye vyanzo ambazo ni trusted bali ni maneno ya kuzungumwa na watu tu
Nasema skendo tu kwasababu taarifa kama hizi hazitoki kwenye vyanzo ambazo ni trusted bali ni maneno ya kuzungumwa na watu tu