HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Mbweni ya upande huo iko bien sanaMbweni....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbweni ya upande huo iko bien sanaMbweni....
Uzuri hawajaweka yale maduka dukaMbweni kuko sawa sawa
Huko hakuna kuombana chumvi au sukari
Ova
Umetoa mfano halisi na hivi ndivyo na sisi inaweza kututokea. Kurithisha majumba ni hasara.Ama kweli maisha yana badilika sana ,ulichosema ni kweli kabisa .kipindi cha nyuma miaka ya 2000 huko,kuna ki mji kilikuwepo shinyanga na walio kianzisha wengi ni watumishi wa shirika moja hivi.
Wale wazee walifirisi shirika hilo ,na wote walikuwa wamejenga sehemu moja ,nyumba zote zilikuwa na kuta na mageti ,nyasi zilimea kwa kumwagiliwa maji ya kutosha(garden)
Miaka imeenda wazee wakaanza kuugua na kufa mmoja mmoja,inasemekana ukimwi uliwapiga KO ya hatari ,kipindi kile hakua cha ARV wala nn,walikuwa wana share totozi ,si unajua mambo ya pesa.
Nyumba zilibaki na watoto tu ,nyasi zilikauka kila mji.hali ili badirika sana ,baba na mama hawapo ,unazani famia itakuwaje?
Si mji ule tena ambao ilikuwa ukipita unasikia sauti nene za music taratibu na harafu ya vinono vikikaangwa.
Nyumba ziliuzwa na wajomba na mashangazi baada ya wazazi kuondoka gafla na kukosekana mwelekeo wa malezi.
walio baki ni wachache sana ambao hata leo hii uzao wao upo pale
Huwa nashindwa kuelewa kwanini tunakazana kuongeza zaidi hii mikoa na manispaa kuliko kuipunguzaHapana, isiunganishwe, ila Kibaha na Bagamoyo zipandishwe hadhi ziwe manispaa zinazojitegemea
😁 😁 😁 😁Halafu wenyewe wanaleta dharau🤣🤣🤣🤣
DuuhIlikuwa ndo njia yetu tukielekea kule Masaki mwisho na baiskeli zetu za BMX across Europa Mini-Supermarket mwisho kbs kule kwenye kambi ya jeshi kucheza basketball kwny ile court ya jeshi.Pande zote ni ushua mtupu!.
Si utani
Unaongelea Kigamboni ya mwaka gani?Sio kuvuka tu.
Kigamboni ina tatizo sugu la umeme
Dah!Noma sana.Duuh
Ee bwana eehh
Usiniambie, kucheza basket Masaki mwisho, Enzi za kina Mpoki
Sisi tUmecheza sana Half Court ya Mzee Malay wa Pazi na Mazula, na Warioba
Na sometime tunaomba mechi na watoto IST
Kurasin Tom estateSi utani
Pale mitaa ya Sigara ilikuwa tulivu, nimepita sana mitaa hiyo
Na sehemu nyingine, ilikuwa kule Kurasini, kulikuwa na sehemu imetulia kama Obey
Hivi mwanangu aluta warioba yupo wapi?Duuh
Ee bwana eehh
Usiniambie, kucheza basket Masaki mwisho, Enzi za kina Mpoki
Sisi tUmecheza sana Half Court ya Mzee Malay wa Pazi na Mazula, na Warioba
Na sometime tunaomba mechi na watoto IST
Hahaha kama duka hili liko chole Road,naona mangi huyu kawapata hapoUzuri hawajaweka yale maduka duka
Kwanza kabisa naomba mnisamehe kama Uzi wangu unaofanania na kudhihaki ila hii si shabaha yangu!Shabaha yangu kubwa ni kutoa taswira ya namna mabadiliko ya matumizi ya ardhi ya maeneo husika yalivyotofautiana sana na mpango wa awali wa matumizi ya ardhi ya maeneo hayo kabla;
Enzi hizo wakati naishi mimi:
Masaki ilikuwa ni Residential Area pekee huwezi kuta ofisi yoyote iwe ya serikali au taasisi binafsi ikifanya shughuli zake maeneo hayo.
Miaka hiyo Masaki huwezi kuta jengo lenye urefu wa ghorofa zaidi ya ghorofa tatu kwa uchache na upekee wake utakutana na mazingira ya namna hiyo kwny maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya flats yakiwemo maeneo kama ya TIB,THB na kule Harbors.
Masaki ya wakati huo wahudumu walikuwa hawarudi makwao zaidi ya kuishi kwenye nyumba za servants zilizokuwa nyuma ya nyumba kubwa za maboss wao
Wakati huo Masaki huwezi kuta watu wakiwa wamezagaa zagaa hovyo asilimia kubwa kwenye mtaa husika watu tulikuwa tukifahamiana kwa sura hata kama tulikuwa hatusalimiani.
Kwa kifupi mimi nimeishi na kukua kwenye mtaa wa Haile Selassie.
Aluta kwa kweli sina taarifa zake, tulikuja kuwa tunakutana ukubwani baada ya alivyotoka UK miaka ile, baadae tukapotezana na mihangaiko ya maisha kwa kweli sikumuona tenaHivi mwanangu aluta warioba yupo wapi?
Nlikuwa najumuika naye sana kwenye mareggae festival
Aise,kweli watu tumepoteana
Ova
Aisee kwa kweli sio tena Masaki, Chole road ndio ilikuwa moja ya mitaa kimyaaaaaHahaha kama duka hili liko chole Road,naona mangi huyu kawapata hapo
View attachment 2611050View attachment 2611051
Duh!Na hii ilikuwa ni maeneo ya kishua tu huko uswahilini mambo yalikuwa yakitimbanganya vibaya mno especially lile bonde la msasani!.