Kuna tofauti kubwa kati ya Masaki niliyoishi mimi na Masaki ya leo

Kuna tofauti kubwa kati ya Masaki niliyoishi mimi na Masaki ya leo

Tanzania hatuna mipango Miji sikuhizi hamna tofauti ya makazi ya watu,soko, makazi ya watu yamezungukwa na bar na Kila mtu kwenye nyumba yake anajenga fremu tu.

In short sikuhizi makazi mazuri ya watu hamna, na hata aliyeanzisha wazo la fremu na wote kuiga sijui nani Yani fremu nyingi kuliko wateja
💯
 
Wale wazungu expertise magari yao zilikuwa TX,watoto wa kinondoni wale janja janja wote unawakuta sokoni tx kinondoni,tunasubiri kuwapokea wazungu kuwabebea mizigo nk
Wanatu tip [emoji1] haya maisha bana

Ova
Kumbe pale TX kitambo eeh?
 
Kwanza kabisa naomba mnisamehe kama Uzi wangu unaofanania na kudhihaki ila hii si shabaha yangu!Shabaha yangu kubwa ni kutoa taswira ya namna mabadiliko ya matumizi ya ardhi ya maeneo husika yalivyotofautiana sana na mpango wa awali wa matumizi ya ardhi ya maeneo hayo kabla;

Enzi hizo wakati naishi mimi:
Masaki ilikuwa ni Residential Area pekee huwezi kuta ofisi yoyote iwe ya serikali au taasisi binafsi ikifanya shughuli zake maeneo hayo.

Miaka hiyo Masaki huwezi kuta jengo lenye urefu wa ghorofa zaidi ya ghorofa tatu kwa uchache na upekee wake utakutana na mazingira ya namna hiyo kwny maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya flats yakiwemo maeneo kama ya TIB,THB na kule Harbors.

Masaki ya wakati huo wahudumu walikuwa hawarudi makwao zaidi ya kuishi kwenye nyumba za servants zilizokuwa nyuma ya nyumba kubwa za maboss wao

Wakati huo Masaki huwezi kuta watu wakiwa wamezagaa zagaa hovyo asilimia kubwa kwenye mtaa husika watu tulikuwa tukifahamiana kwa sura hata kama tulikuwa hatusalimiani.

Kwa kifupi mimi nimeishi na kukua kwenye mtaa wa Haile Selassie.
Aisee
Umenikumbusha mbali sana, kweli tumezeeka
Haile Sellasie road ndio nyumbani kabisa ilikuwa miaka hiyo kabla hujafika Mhalibwa grocery, hebu fikiria ndio lilikuwa duka pekee, ukiacha Supermarket ya Morogoro stores.
Enzi za kina Rob D, na Nigga one (RIP) ndani ya mtaa
Wakati huo basi ni moja tu la UDA, mitaa kimyaaaa
Kibibii ya Tryphone Maji peke yake ndio alikuja kupewa leseni ya daladala
Mitaa mingine unajikuta ni wewe peke yako barabara nzima
Nilikuja kwenda na familia miaka kadhaa niwaonyeshe madogo wangu nilipokulia, duuh..hadi aibu kama uswahilini tu mabaa na bodaboda, wamasai wametapakaa mtaa mzima, tulipokuwa tunaishi sasa mbele kuna Pub, nilishindwa hata niwaonyeshe nini watoto wenyewe hawajazaliwa bongo ni ilikuwa kituko tu

Masaki kumechafukwa na kuvurugwa haswa, sio tena residential area ya kishua
 
Aisee
Umenikumbusha mbali sana, kweli tumezeeka
Haile Sellasie road ndio nyumbani kabisa ilikuwa miaka hiyo kabla hujafika Mhalibwa grocery, hebu fikiria ndio lilikuwa duka pekee, ukiacha Supermarket ya Morogoro stores.
Enzi za kina Rob D, na Nigga one (RIP) ndani ya mtaa
Wakati huo basi ni moja tu la UDA, mitaa kimyaaaa
Kibibii ya Tryphone Maji peke yake ndio alikuja kupewa leseni ya daladala
Mitaa mingine unajikuta ni wewe peke yako barabara nzima
Nilikuja kwenda na familia miaka kadhaa niwaonyeshe madogo wangu nilipokulia, duuh..hadi aibu kama uswahilini tu mabaa na bodaboda, wamasai wametapakaa mtaa mzima, tulipokuwa tunaishi sasa mbele kuna Pub, nilishindwa hata niwaonyeshe nini watoto wenyewe hawajazaliwa bongo ni ilikuwa kituko tu

Masaki kumechafukwa na kuvurugwa haswa, sio tena residential area ya kishua
Ulipotaja hapa tu kaka umemaliza "Mhalibwa grocery" kulikuwa na mshkaji mmoja mnene mnene hivi ndo palikuwa kwao krb na zile flat za TIB baadae kidogo kuna duka jingine lilifunguliwa kule krb na kwa mzee Nimrod Mkono krb na Oysterbay Hospital.So sad!!!!
 
Aisee
Umenikumbusha mbali sana, kweli tumezeeka
Haile Sellasie road ndio nyumbani kabisa ilikuwa miaka hiyo kabla hujafika Mhalibwa grocery, hebu fikiria ndio lilikuwa duka pekee, ukiacha Supermarket ya Morogoro stores.
Enzi za kina Rob D, na Nigga one (RIP) ndani ya mtaa
Wakati huo basi ni moja tu la UDA, mitaa kimyaaaa
Kibibii ya Tryphone Maji peke yake ndio alikuja kupewa leseni ya daladala
Mitaa mingine unajikuta ni wewe peke yako barabara nzima
Nilikuja kwenda na familia miaka kadhaa niwaonyeshe madogo wangu nilipokulia, duuh..hadi aibu kama uswahilini tu mabaa na bodaboda, wamasai wametapakaa mtaa mzima, tulipokuwa tunaishi sasa mbele kuna Pub, nilishindwa hata niwaonyeshe nini watoto wenyewe hawajazaliwa bongo ni ilikuwa kituko tu

Masaki kumechafukwa na kuvurugwa haswa, sio tena residential area ya kishua
Ilikuwa ndo njia yetu tukielekea kule Masaki mwisho na baiskeli zetu za BMX across Europa Mini-Supermarket mwisho kbs kule kwenye kambi ya jeshi kucheza basketball kwny ile court ya jeshi.Pande zote ni ushua mtupu!.
 
Tujuane wale tuliokuwa na membership card kwa ajili ya kuazima movie pale Morogoro Stores na kule Europa😂 usiombe kukutana na tapes za NTS zinachagua deck vibaya mno, dah tenkolojia hii eti kuna kipindi tulikuwa tunasubiri tape iwe rewinded inategemea na urefu wa movie yenyewe, mara deki imekula mkanda 😂😂😂.
 
Kilima jina kwa sababu cha ghafla halafu kifupi ukipita ndani ya gari kuna ka msimumuko fulani. Sijui siku hizi kama wanatoa huduma hapo.

Hayo maeneo palikuwa na uwazi siku hizi kumejaa ma bar ukipita usiku kama unaijua masaki ya zamani na ujaenda muda mrefu panakuchanganya. Ilipo elements opposite alikuwa anakaa shushushu mmoja kanali Mnyani kulikuwa na space kubwa tu hadi ufikie gate lake.

Kulikuwa kimya sana maeneo hayo hasa kwenye hiyo cross-junction hapo ya kilima nyege halafu land niliyokuwa naijua ni nyumba ya captain Mutafungwa zile chongoma hazipo tena. Ukishuka chini kwenye walikokuwa wanakaa hakina Wasia Mushi unatembea barabarani magari kupita nadra, ukipanda juu wanapokaa kina James Lugembe ile mitaa ukipita kama humjui mtu ata bila ya kuitiwa mwizi unaweza jistukia.
Saiv kuna dada poa wanajiuza kuanzia saa moja wanasima upande wa garden
 
Tanzania hatuna mipango Miji sikuhizi hamna tofauti ya makazi ya watu,soko, makazi ya watu yamezungukwa na bar na Kila mtu kwenye nyumba yake anajenga fremu tu.

In short sikuhizi makazi mazuri ya watu hamna, na hata aliyeanzisha wazo la fremu na wote kuiga sijui nani Yani fremu nyingi kuliko wateja

Hakuna kitu kinaudhi mtu kujenga frame za biashara katika nyumba ya kuishi. Basi iwe hata moja ya mwenye nyumba, anaweka sita. Tena unamkuta mtu msomi kabisa.

Watu mpo mtaa umetulia ghafla vimigahawa, bar, studio ya kuingiza nyimbo kwenye simu, movie. Inaanza vurugu tu.
 
Sema Mbweni sasa hivi ni habari nyingine na mji unakuwa kuelekea Bagamoyo, natamani Dar na Pwani ingeunganishwa uwe mkoa mmoja tu uitwe Dar ili watu wasogeesogee huko, na waondokane na ile dhana ya kutaka kuonekana hawaishi Dar wanaishi nje ya miji
Hapana, isiunganishwe, ila Kibaha na Bagamoyo zipandishwe hadhi ziwe manispaa zinazojitegemea
 
Wa
Walikuwa wanakuja maduka mawili wanasema mbona lami yenu humu mitaani imechakaa sio Kama Chole road?ukiwaambie tukanywe soda TTC club wanasema Kuna mavumbi sio Kama Slipway nyieeeeeeeee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]sijui na vitoto vya siku hizi vinajidai hivyohivyo
Wakati maduka mawili, chang'ombe ndio ushuani ya ukanda wenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom