HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Historia haina msaada kwetuKitu kingine nachosikitikaga ni namna wanavyo vunja nyumba za zamani mjini na kujenga maghorofa mapya
Wanapoteza kabisa historia na asili ya mji
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Historia haina msaada kwetuKitu kingine nachosikitikaga ni namna wanavyo vunja nyumba za zamani mjini na kujenga maghorofa mapya
Wanapoteza kabisa historia na asili ya mji
Ova
Upanga ndo umechoka kabisa🚮Miaka ya zamani 80-90s ukisema unakaa Masaki ,Oysterbay,Upanga,Posta au Mikocheni ulikuwa unaogopeka......Ila kwasasa ukisema unakaa Mbweni(Zile Plots elfu 20 za Mkapa) unaogopeka....Masaki/Oysterbay wanakaa walinzi/wfanyakazi wa ndani tu siku hizi.
Kweli mfano mm naishi Hapa mwaya street ckuiz had mama ntilie kibao kama sio masaki yanMasak naona imeanza kuwa uswazi, na mdogo mdogo inaanza kuwa ya kawaida saana, yani saana...
Bar na restaurants nyingi, na security ya premier residential inaondoka kwa kuwa na maghorofa yenye watu wengi sana, lakini zaid nyumba za ghorofa kumi kuendelea zinaongezeka sana.. soon itaanza fanana na Kariakoo.
Security kwa premier residential services ni priority... sasa hapa bungalow hapa ghorofa lenye apartments 40.
Hapo sijazungumzia frame na viduka uchwara.... hadi mama ntilie
Hapo kwenye kilimanyege kwenye hudumaMasaki ya leo sio ile tulivu ya kishua tena, limebaki jina tu.
Kuna ushamba katikati umetokea ata upanga wakati sisi tunakuwa yalikuwa maeneo ya wafanyakazi wa serikali wenye kipato cha kawaida hasa walimu. Eti siku hizi prime areas.
Yaani watu badala ya kutanua jiji wamevunja na kujenga maeneo hayo hayo machache na kuharibu mandhari ya maeneo; masaki kuna maeneo nilipita nikawa najiuliza hivi ndio hapa kweli ata kilima nyege sikukitambua niliposhuka kwa kushangaa.
Hivi hapo mwaya kuna kambi gani mkuuKweli mfano mm naishi Hapa mwaya street ckuiz had mama ntilie kibao kama sio masaki yan
Kwasasa lazima wazagae humo pote vumilia tuKweli mfano mm naishi Hapa mwaya street ckuiz had mama ntilie kibao kama sio masaki yan
Mbweni....
Kilima jina kwa sababu cha ghafla halafu kifupi ukipita ndani ya gari kuna ka msimumuko fulani. Sijui siku hizi kama wanatoa huduma hapo.Hapo kwenye kilimanyege kwenye huduma
Kabisa kiongozi!leo kimebaki tu kile kilima 😂 na pale ndo mpaka kati ya Masaki na Obey!Wakijenga upya ile barabara nafikiri kitakufa!Kilima jina kwa sababu cha ghafla halafu kifupi ukipita ndani ya gari kuna ka msimumuko fulani.
Hayo maeneo palikuwa na uwazi siku hizi kumejaa ma bar ukipita usiku kama unaijua masaki ya zamani na ujaenda muda mrefu panakuchanganya.
Kulikuwa kimya sana maeneo hayo hasa kwenye hiyo cross-junction hapo ya kilima nyege. Ukishuka chini walikokuwa wanakaa hakina Wasia Mushi unatembea barabarani magari kupita nadra, ukipanda juu wanapokaa kina James Lugembe ile mitaa ukipita kama humjui mtu ata bila ya kuitiwa mwizi unaweza jistukia.
Imearibika sana hakuna open space kabisa na land marks za zamani hazipo tena. Mie nilipotea ilikuwa usiku ata niliposhuka hapo kilima nyege sikujua wala IST sikuitambua maana mbele pale kulikuwa na kimila fulani unapanda kwenda kwa Dr Mbawala nafika sikioni nakutana na high rises nikajiuliza hapa nipo masaki kweli; hiyo ilikuwa baada ya kama 18 years natokea kijijini.Kabisa kiongozi!leo kimebaki tu kile kilima 😂 na pale ndo mpaka kati ya Masaki na Obey!Wakijenga upya ile barabara nafikiri kitakufa!
Kuna Jamaa Angu ana KaPlot Pale kana Nyumba Ya UrithiMasaki tunayoongelea hapa mi ya Oysterbay sio ya kisarawe,masaki haina kaplot
VItuo vya boda boda, bodaboda wamekuwa wengi,wakati Kila nyumba Ina ndinga zaidi ya MojaKwanza kabisa naomba mnisamehe kama Uzi wangu unaofanania na kudhihaki ila hii si shabaha yangu!Shabaha yangu kubwa ni kutoa taswira ya namna mabadiliko ya matumizi ya ardhi ya maeneo husika yalivyotofautiana sana na mpango wa awali wa matumizi ya ardhi ya maeneo hayo kabla;
Enzi hizo wakati naishi mimi:
Masaki ilikuwa ni Residential Area pekee huwezi kuta ofisi yoyote iwe ya serikali au taasisi binafsi ikifanya shughuli zake maeneo hayo.
Miaka hiyo Masaki huwezi kuta jengo lenye urefu wa ghorofa zaidi ya ghorofa tatu kwa uchache na upekee wake utakutana na mazingira ya namna hiyo kwny maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya flats yakiwemo maeneo kama ya TIB,THB na kule Harbors.
Masaki ya wakati huo wahudumu walikuwa hawarudi makwao zaidi ya kuishi kwenye nyumba za servants zilizokuwa nyuma ya nyumba kubwa za maboss wao
Wakati huo Masaki huwezi kuta watu wakiwa wamezagaa zagaa hovyo asilimia kubwa kwenye mtaa husika watu tulikuwa tukifahamiana kwa sura hata kama tulikuwa hatusalimiani.
Kwa kifupi mimi nimeishi na kukua kwenye mtaa wa Haile Selassie.
Hiyo sehemu imejengwa miaka ya 90's na wafanyakazi wa SHIRECU,2000's ilikuwa tayari ilishadoda.Nilipelekwa kuangalia nyumba ya kupanga unakuta jumba kuubwa hadi linatisha.Nadhani kwa sasa patakuwa hoi zaidi.Ama kweli maisha yana badilika sana ,ulichosema ni kweli kabisa .kipindi cha nyuma miaka ya 2000 huko,kuna ki mji kilikuwepo shinyanga na walio kianzisha wengi ni watumishi wa shirika moja hivi.
Wale wazee walifirisi shirika hilo ,na wote walikuwa wamejenga sehemu moja ,nyumba zote zilikuwa na kuta na mageti ,nyasi zilimea kwa kumwagiliwa maji ya kutosha(garden)
Miaka imeenda wazee wakaanza kuugua na kufa mmoja mmoja,inasemekana ukimwi uliwapiga KO ya hatari ,kipindi kile hakua cha ARV wala nn,walikuwa wana share totozi ,si unajua mambo ya pesa.
Nyumba zilibaki na watoto tu ,nyasi zilikauka kila mji.hali ili badirika sana ,baba na mama hawapo ,unazani famia itakuwaje?
Si mji ule tena ambao ilikuwa ukipita unasikia sauti nene za music taratibu na harafu ya vinono vikikaangwa.
Nyumba ziliuzwa na wajomba na mashangazi baada ya wazazi kuondoka gafla na kukosekana mwelekeo wa malezi.
walio baki ni wachache sana ambao hata leo hii uzao wao upo pale
Dah kumbe ndo nyinyi mligonga geti nikawafungulia? Madalali matapeli.Upo sahihi,mwezi uliopita kuna nyumba mitaa ya Mkadini Oysterbay karibu na Qatar Charity tulienda kugonga geti akatoka beki tatu na kutuambia bosi hakai hapo siku hizi muda sana...
Kuna mama mmoja msomi kwenye hiyo sector ya urban planning nilikutana nae short course Dodoma kwenye maswala monitoring and evaluation nilimuuliza nini chanzo cha huu utopolo wa ujenzi holela alinijibu in short ni "kuacha kila mtu ajenge"vitu hivi vinapaswa kuachia makampuni makubwa ya Real Estates then sisi tunakuwa wanunuzi tu kutokana na nguvu ya mfuko wako.Zambia,lusaka kuna sehemu ya kishuwa ilijengwa inaitwa kingsland
Aise mahala hapo si mchezo
Bongo sijui tunashindwa nn
Unajua hakuna eneo baya sema tTizo ni namna ya watu wanavyojenga
Huyu kajenga vile huyu kajenga kile
Huyu kaziba njia basi vurugu tupu
Ova
Sijui IST ya leo ila IST ya kipindi kile pembeni kulikuwa na kontena watoto wa kishua wakitoka shule wakati wengine wakisubiria kuchukuliwa wanakula pombe na mafegi kwa kwenda mbele dah wakati huo mi nasoma Obey primary school!! Watoto wa kike wazuri kinoma!Mara moja moja watoto wa mtaa tulikuwa tukiruhusiwa magetini na walinzi tuingie kwenye ile basketball court yao kupiga kikapu.Wakati huo lami haileselasie inashia shule ya IST mbele kote vumbi tu
Ova
Kbs John alikuwa ni mtu sana pamoja na Banzi wa pale Mbuyuni Primary School!.Longtime,kuna mtoto mmoja wa kizungu alikuwaga obay alikuwa anaitwa John bichwa kama mtu alikaa obay na masaki hyu atakuwa anamfahamu...
Wazee wake walikuwa maeneo mengi wanayamiliki huko
Ova
Mkadini kipindi hiko ulikuwa ni mtaa wa majaji na wanasheria manguli mfano mzuri ni mzee wetu Lubuva,Mihayo pamoja na Jaji Bahati na wengine wengi tu.Upo sahihi,mwezi uliopita kuna nyumba mitaa ya Mkadini Oysterbay karibu na Qatar Charity tulienda kugonga geti akatoka beki tatu na kutuambia bosi hakai hapo siku hizi muda sana...