Kuna tofauti kubwa kati ya Masaki niliyoishi mimi na Masaki ya leo

Umetoa mfano halisi na hivi ndivyo na sisi inaweza kututokea. Kurithisha majumba ni hasara.
 
Ilikuwa ndo njia yetu tukielekea kule Masaki mwisho na baiskeli zetu za BMX across Europa Mini-Supermarket mwisho kbs kule kwenye kambi ya jeshi kucheza basketball kwny ile court ya jeshi.Pande zote ni ushua mtupu!.
Duuh
Ee bwana eehh
Usiniambie, kucheza basket Masaki mwisho, Enzi za kina Mpoki

Sisi tUmecheza sana Half Court ya Mzee Malay wa Pazi na Mazula, na Warioba
Na sometime tunaomba mechi na watoto IST
 
Duuh
Ee bwana eehh
Usiniambie, kucheza basket Masaki mwisho, Enzi za kina Mpoki

Sisi tUmecheza sana Half Court ya Mzee Malay wa Pazi na Mazula, na Warioba
Na sometime tunaomba mechi na watoto IST
Hivi mwanangu aluta warioba yupo wapi?
Nlikuwa najumuika naye sana kwenye mareggae festival
Aise,kweli watu tumepoteana

Ova
 

Vitu vyote vya zaman na sasa ni tofauti, hata wewe una ndevu siku hizi, what is your point?
 
mfano mimi ninapoishi nyuma kuna bimdash ana baa na ni street kabisa sehemu za mqkazi ya watu basi wale walevi ni kero na nusu, Nina mpango wa kuhama😁😁😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…