Moshi town
Senior Member
- Dec 7, 2021
- 171
- 120
- Thread starter
-
- #41
Na huku wewe unakandamizwa na TOZO na mpaka vizazi kumi vijavyo vitakuwa vinalipa Madeni ya Mikopo iliyotokana na huu ubadhirifu, mbaya zaidi badala ya mabomba kutoa maji yanatoa hewa.
😂Wewe sio Lutindi kweli? Muhasibu nilisikia naye alinyimwa Mgao???
Hili linatakiwa lipate jukwaa la kipekee. Hivi ina maana watalii na wananchi wa Arusha wanatumia maji ya sumu ya A to Z? Aisee hii ni hatari sana. Baada ya muda Arusha itakuwa na mazuzu na mandezi wengi sana. Hivi Mh. Mbunge anayo taarifa?Menejimenti ya Auwsa ni Mandezi sana , Badala ya Kueleza Mkandarasi wa Mradi wa A to Z amepatikanaje wameamua kukabidhi TAKKURU barua za Waziri Aweso na katibu Mkuu zilizoelekeza utekelezaji wa Mradi wa A to Z kama utetezi
Maswali ya Msingi ni
1. Tumaini Engineering alipatikanaje?
2.kwanini Pesa za Mradi wa Longido Namanga alizotoa Rais Samia zimeamishiwa A to Z?
3. Menejimenti ,bodi ya Auwaa na Waziri Aweso kwanini wameruhusu
Sumu kutoka Kiwanda cha A to z kuingia katika bwawa Jipya la Majitaka lilogarimu Bilion 86 wakijua majitaka kutoka A to z yana Sumu ambazo zinaua wadudu wanaosagisha taka?
Mandezi ya Auwa badala ya Kujibu hoja wamekabidhi barua za maelekezo ya Utekelezaji mradi kutoka kwa waziri na katibu Mkuu TAKUKURU .. Barua ya waziri imeagiza utekelezaji wa mradi aikusema Tumaini Engineering apewe kazi ya ukandarasi.
Hapana. Sheria ya Manunuzi ipo wazi na haipindishi kwenye taratibu za manunuzi. Afisa Masuuli hana mamlaka ya kununua kile apendacho au kwa utaratibu aupendao. Kuna vyombo vya maamuzi na taratibu zaka hapa nagusia Bodi ya Tenda, Kamati ya Uthamini na pia manunuzi ya Taasisi hubainishwa kwenye Mpango wa Mwaka wa Manunuzi.Mkuu umeshasema walitakiwa kujenga kwa force account, fahamu kwamba miradi ya namna hiyo ni "kanyaga twende", haizingatii kanuni za zabuni
Msimamizi anatakiwa kufanya kile anachoona ni sahihi kuokoa muda na gharama, tutampima huko mwisho wa kazi.
The end justify the means
Inawezekana kabisa ila wenye akili tunakuona hata bila ya kuambiwa wewe ndiye mmojawapo kati ya wale wanaofaidika na wanaolalamikiwa na huyu unayemtaja kama mchaga….vinginevyo sioni sababu ya wewe kukerwa na malalamiko ga huyu bwana hadi kufikia hatua ya kumkejeli kwa ubia wakeWee mchaga bila shaka wewe ni mtumishi wa hapo! Acha kupiga kelele kamwarifu Mkuu wa mkoa kwa barua na nakala wape takukuru
Wezi wakubwa na wabambikiaji bill hawa! Iweje familia yangu ya watu watatu na mbwa mmoja kila mwezi bill inakuja kwa wastani wa Tsh. 70,000.00? Pamoja na malalamiko yangu kila mara hawajawahi hata leta fundi kujakuchunguza nini tatizo!Kuna ufisadi Mkubwa unafanyika Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Jijini Arusha (AUWSA). Ufisadu huu unafanywa na Mkurugenzi wa Mamlaka ya Majisafi AUWSA, Eng. Justine Rujomba kwa kushirikiana na Waziri wa Maji Ndg. Juma Aweso na Katibu Mkuu Engineer Sanga.
Kuna Mradi wa Ujenzi wa Mtandao wa Uondoaji huduma ya Majitaka Eneo la Kisongo A to Z wenye thamani ya Tzs 3.5 bilion amepewa Mkandarasi 'Tumaini Engineering' bila tenda kutangazwa huu ni ukiukwaji wa taratibu za Ununuzi pamoja na Waziri wa Maji Ndg. Aweso, Katibu Mkuu Eng. Sanga na Bodi ya AUWSA chini ya Dr. Masika kuwa na taarifa juu ya Ufisadi huu wameshindwa kuchukua hatua yoyote.
Watumishi wa AUWSA waliandika barua kwa Waziri Aweso kumtaarifu juu ya Ufisadi wa Mradi wa Majitaka wa A to Z cha kusikitisha Waziri alimpatia barua MD wa AUWSA na kumtaadharisha kukaa mbali na Technical Manager Eng. Humphrey Mwombelwa badala ya Waziri kuifanyia kazi barua yeye akamchonganisha MD na TM hivyo kumlazimisha TM kuacha kazi. Ni aibu na Kinyume cha Maadili ya Utumishi wa Umma kwa Waziri kutoa taarifa za siri kwa mhusika.
Serikali ilitoa TZS 3 billion zitumike kujenga mtandao wa majisafi Longido hadi Namanga kwa kutumia Force Account, cha Kusikitisha MD wa AUWSA ameipatia kazi ya Ujenzi kampuni ya Tumaini Engineering bila kufuata taratibu za Ununuzi zabuni haikutangazwa kama taratibu zinavyotaka.
Pamoja na Serikali kuzuia Posho, Management ya AUWSA na wasimamizi wa mradi kila mwisho wa Mwaka wanajilipa posho kila Mmoja TZS 1 Million hadi 5 Million za Sikukuu ya Noeli (Christmas) huku upotevu wa Maji NRW ukiwa ni asilimia 54. Serikali ilishapiga marufuku Posho za Sikukuu.
Ofisi ya Rais, Waziri Mkuu, PCCB Makao Makuu (PCCB wa Arusha wamewekwa Mfukoni) tuna imani sana na ofisi zenu; tumeni wakaguzi huru wachunguze Ufisadi unaondelea AUWSA.
Ww ni chawa wa Awesu, Ni wakuja tu ndio wasiomjua huyo Wazir kwamba Ni mpigaji Hana uzalendo wowote uleAndiko linaweza kuwa na nia njema lakini limeandikwa kwa kutanguliza chuki, husuda na hasada,kwanza katika jambo la kawaida tu Mamlaka za Maji zina siasa zake, kuba tabia ya kushughulikiana, ila changamoto nilioiona hapa ni kumhusisha Kiongozi Mzalendo na mwenye maono alieonesha dira katika sekta hii ngumu Aweso, hiyo haitoshi anachafuliwa mpaka Katibu Mkuu ambae weledi wake kwass tunaomfahamu tangu akiwa Mwanza si wa kutia shaka hata kidogo.
Andiko limewekwa kimkakati ili viongozi hawa wapate panic wamshughulikie anae windwa hapa hapa Mhandisi Rujomba,
Kosa kubwa sana tunafanya kuwakatisha tamaa viongozi makini na wenye nia ya dhati na nchi yetu, ukitaka kujua andiko lina matatizo unawezaje kumtuhumu Waziri kuwa ameweka watu wake kwenye mamlaka za maji wakati tangu awe Waziri kamili miezi kadhaa hii hajabadili Md’s wa Mamlaka za Maji kabisa na ameendelea kufanya kazi na watu walewale wa Kamwelwe, Mbalawa na Kitila.
Ni hoja inayolikosesha credit kabisa bandiko hili kwasabaabu kama hizi za ovyo.
Unaweza kumtaftia zengwe Aweso lakn utakesha maana ni kijana asie na tamaa, anaeishi maisha ya kawaida na mnyenyekevu Mchapakazi na mwana mapinduzi katika utendaji wake.
Ungekuwa na akili usingetoa huu uharo wako hapa! Ungekuwa na akili ungegundua huyu aliyelalamika ni mpika majungu ofisini, hajui nini kinaendelea ofisini na wala hajui taratibu za ofisi aliyopo na ni mvivu, hajui majukumu yake! Hivyo wamemuacha na kumpuuza bila kupangiwa kazi yo yote. Na hiyo ni kwa kumsaidia astaafu salama vinginevyo atafukuzwa kazi ili ale jeuri yake!Inawezekana kabisa ila wenye akili tunakuona hata bila ya kuambiwa wewe ndiye mmojawapo kati ya wale wanaofaidika na wanaolalamikiwa na huyu unayemtaja kama mchaga….vinginevyo sioni sababu ya wewe kukerwa na malalamiko ga huyu bwana hadi kufikia hatua ya kumkejeli kwa ubia wake
na badala yake kama huna nafasi ya kushughulikia malalamiko haya basi ungekaa kimya ili wenye nafasi na uwezo wa kuyashughulikia wayafanyie kazi kwa faida ya wengi.
Ungekuwa na akili usingetoa huu uharo wako hapa! Ungekuwa na akili ungegundua huyu aliyelalamika ni mpika majungu ofisini, hajui nini kinaendelea ofisini na wala hajui taratibu za ofisi aliyopo na ni mvivu, hajui majukumu yake! Hivyo wamemuacha na kumpuuza bila kupangiwa kazi yo yote. Na hiyo ni kwa kumsaidia astaafu salama vinginevyo atafukuzwa kazi ili ale jeuri yake!
Ila nadhani kwenye suala la elimu utakua unamuonea bure,kua na elimu kubwa masters au PHD sio kwamba ndio kua na uwezo wa kuongoza taasisi,hizi masters,PhD mara nyingi hua ni rubish tu,na sijui kwa nini hua zimewekwa kwenye kupima uwezo wa kuongoza,na labda nachoona kuna watu hapo wanaomuonea Wivu kwa kua wao hawajapewa huo ukurugenzi.Rujomba hana Sifa za Kuwa MD amepewa UKurugenzi ili kutengeneza chakula cha waziri na Katibu Mkuu , Scheme of Service ya Auwsa inataka MD, Wakuu wa Idara na Sehemu wawe na Masters ( Shaada ya Uzamili) Rujomba ni Technichian hana Masters ,maswali ya kujiuliza imekuwaje ameteuliwa kuwa MD wakati kuna wahandisi wenye Sifa ( Masters) waliomba ukurugenzi , Mfano Engineer Ezron wa Bonde la pangani ana PHD na wengine wengi.
Kama Scheme of Service inataka MD awe na Masters ilitokeaje jina la Rujomba likafika katika panel ya interview? Nani alifanya Shortlisting ( usahili) ?
Na Je Board ya Wakurugenzi ya Auwsa chini ya Dr. Masika awakulioma ili?
Takukuru ( PCCB) mkoa wa Arusha wana Taarifa zote hizi kwanini awazifanyi kazi?
Ofisi ya Rais utumishi na Msajili wa hazina inakuwaje mnaachia Scheme of Service mliyoidhinisha inachezewa na Waziri na Dr. Masika?
Kama Scheme of Service inataka MD , wakuu wa idara wawe na Masters inakuwaje inavunjwa?
Ofisi ya Rais , Waziri Mkuu tumeni wachunguzi Mapema
kuna mambo ya ajabu sana mfano Matofali ya Kujenga Tanks za Karatu zinatoka Moshi na tofali moja Auwsa inanunua kwa Shilingi 3200. Inakuwaje tofali zinatoka Moshi? Ina maana karatu hakuna matofali? Makuyuni hakuna tofali? Arusha mjini je? Na ni sahii kununua tofali Moja kwa Shilingi 3200?
Auwsa kuna Upotevu wa Maji 54% bila aibu ikifika Chrismas Management na wasimamizi wa Miradi wanajilipa Milion mbili hadi tano za Sikukuu kwa kila Mmoja alafu wafanyakazi wa Chini ambao ndiyo engine ya taasisi wanapewa pilau na Tzs 50,000.. Hii ni dharau kubwa kwa wafanyakazi kada ya chini.
Management wanapewa 14 Milion za kununua Sofa kila Mwaka.. hizi pesa zikitumika kufanya extension ya mtandao wa Maji inatosheleza kujenga kilomita 200
Inakuwaje wakaguzi wa CAG awatoi ripoti hizi?