Wagumu Tunadumu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2022
- 5,276
- 17,354
Ni kweli,madogo wananenepa sio poa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi huyo🙌Unene ni mwili wa mtu ukichanganya na uvivu wa mazoezi na kulakula kila kinachokatiza machoni lazima kufutuka.
Hawana shida,pesa za kumwagaNi kweli,madogo wananenepa sio poa
Anaongelea Kitambi chakufutia tachiAnaongelea hiki kitambi changu nilichpkipatia hapa Halmashauri??
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Nenepa ila usikuwe na tumbo plsMimi huyo🙌
Limeanza kuja...soon nakamilika kuwa mshangazi wenye T3Nenepa ila usikuwe na tumbo pls
Ongezea na kujamba hovyoSamaleykum,
Hawa jamaa zetu hasa wa umri wa kuanzia 26 mpaka 35, hiyo miili mikubwa na mavitambi yasiyoeleweka mnavipata vipi haraka haraka, na ni juzi tu mmetoka shule mkiwa wembamba kama rula, yaani mtu mnafanya kazi sawa, dili za hapa na pale mnapiga wote fresh, lakin mwenzako anafutuka tu kama kifutu sababu ya kula kula ovyo kisa pesa ipo, Mbona wale wengine ambao ni wa age hizo na wanapambana mtaani miili yao iko fresh tu,
kuna uhusiano gani kati ya kula pesa ya serikali na kupenda kula kula kisha kunenepa ovyo.
Matataizo yao ni
1) kuonekana mzee ungali kijana,
2) kupumua kwa shida na
3) kukoroma ovyo
Acheni kula kula ovyo wazee, unene kupitiliza hasa katika umri mdogo ni hatari kwa afya
Astaghafirullah😄Limeanza kuja...soon nakamilika kuwa mshangazi wenye T3
Oyaa acha basi🤣🤣Ongezea na kujamba hovyo
Silipendi pia,ngoja nirudi zoezini 🤦Astaghafirullah😄
Sipendi tumbo
Kuna ka umri fulani kakifika kakitambi kanaanza kukuwinda, hata ule biskuti na soda kitambi hiki hapa...
Sasa imagine waliopo serikalini wanakula kodi za wananchi..
Ni matokeo ya kuridhika haraka na kujisahau kwamba maisha pia yana vipindi vya msimu wa masika(kupata) na kiangazi(kukosa) vyanzo vya mapato. Ukitaka kuamini ngoja kipindi cha mabadiliko ya msimu ndo utaelewa umri ukifika(kustaafu/kusimamishwa kazi)😎Samaleykum,
Hawa jamaa zetu hasa wa umri wa kuanzia 26 mpaka 35, hiyo miili mikubwa na mavitambi yasiyoeleweka mnavipata vipi haraka haraka, na ni juzi tu mmetoka shule mkiwa wembamba kama rula, yaani mtu mnafanya kazi sawa, dili za hapa na pale mnapiga wote fresh, lakin mwenzako anafutuka tu kama kifutu sababu ya kula kula ovyo kisa pesa ipo, Mbona wale wengine ambao ni wa age hizo na wanapambana mtaani miili yao iko fresh tu,
kuna uhusiano gani kati ya kula pesa ya serikali na kupenda kula kula kisha kunenepa ovyo.
Matataizo yao ni
1) kuonekana mzee ungali kijana,
2) kupumua kwa shida na
3) kukoroma ovyo
Acheni kula kula ovyo wazee, unene kupitiliza hasa katika umri mdogo ni hatari kwa afya
HakikaMtu akifanikiwa alafu akashindwa kubalance diet haimake sense.
Anyway maisha ni kuchagua
halafu kila siku kutuuliza mbona mabro mko vile vile, nina kisa cha dogo mmoja tulienda nae ughaibuni mwezi tukawekwa apartment moja tunashare jiko, aisee dogo saa kumi na moja unasikia huko jikoni keshaliamsha, saa nne kaagiza tena, saa tisa anasema njaa kali, saa mbili usiku anamalizia, mvinyo usisema utafikiri vile vitu vinaisha, anahema kwa shida huyoNi kweli,madogo wananenepa sio poa
haikwepeki hiyo, vitambi mbinukoNenepa ila usikuwe na tumbo pls
No. Vinakwepekahaikwepeki hiyo, vitambi mbinuko
huwez nenepa bila deposition of fats kwenye tumbo hapoNo. Vinakwepeka
Hao hapoHawa jamaa zetu hasa wa umri wa kuanzia 26 mpaka 35, hiyo miili mikubwa na mavitambi yasiyoeleweka mnavipata vipi haraka haraka, na ni juzi tu mmetoka shule mkiwa wembamba kama rula, yaani mtu mnafanya kazi sawa, dili za hapa na pale mnapiga wote fresh, lakin mwenzako anafutuka tu kama kifutu sababu ya kula kula ovyo kisa pesa ipo, Mbona wale wengine ambao ni wa age hizo na wanapambana mtaani miili yao iko fresh tu,
kuna uhusiano gani kati ya kula pesa ya serikali na kupenda kula kula kisha kunenepa ovyo.