Kuna uhusiano gani kati ya kula pesa ya serikali na kunenepa ovyo

Kuna uhusiano gani kati ya kula pesa ya serikali na kunenepa ovyo

Samaleykum,

Hawa jamaa zetu hasa wa umri wa kuanzia 26 mpaka 35, hiyo miili mikubwa na mavitambi yasiyoeleweka mnavipata vipi haraka haraka, na ni juzi tu mmetoka shule mkiwa wembamba kama rula, yaani mtu mnafanya kazi sawa, dili za hapa na pale mnapiga wote fresh, lakin mwenzako anafutuka tu kama kifutu sababu ya kula kula ovyo kisa pesa ipo, Mbona wale wengine ambao ni wa age hizo na wanapambana mtaani miili yao iko fresh tu,
kuna uhusiano gani kati ya kula pesa ya serikali na kupenda kula kula kisha kunenepa ovyo.

Matataizo yao ni
1) kuonekana mzee ungali kijana,
2) kupumua kwa shida na
3) kukoroma ovyo

Acheni kula kula ovyo wazee, unene kupitiliza hasa katika umri mdogo ni hatari kwa afya
Ongezea na kujamba hovyo
 
ukitaka kujua hakuna watu humo angalia ankara zao za mishahara yaani mtu analipwa 500k ana mke an watoto na ana kitambi pia, mashavu, katoa tako pia yaani changamoto za afya ya akili ziko nyingi sana
 
Kuna ka umri fulani kakifika kakitambi kanaanza kukuwinda, hata ule biskuti na soda kitambi hiki hapa...
Sasa imagine waliopo serikalini wanakula kodi za wananchi..

Walimu vipi ?
Mbona sijaona virambi vyao?

Lakini ukiona una wafanyakazi wanaonenepa ovyo ujue matumizi ya Akili ni kidogo sana.

Wanawaza muda wa kutoka au kupiga dili na sio kazi.

Wajapani, Wakorea , Wachina n.k. Akili ndio inakupa maisha . Huwezi kukuta mavitambi ya hovyo hovyo.
 
Samaleykum,

Hawa jamaa zetu hasa wa umri wa kuanzia 26 mpaka 35, hiyo miili mikubwa na mavitambi yasiyoeleweka mnavipata vipi haraka haraka, na ni juzi tu mmetoka shule mkiwa wembamba kama rula, yaani mtu mnafanya kazi sawa, dili za hapa na pale mnapiga wote fresh, lakin mwenzako anafutuka tu kama kifutu sababu ya kula kula ovyo kisa pesa ipo, Mbona wale wengine ambao ni wa age hizo na wanapambana mtaani miili yao iko fresh tu,
kuna uhusiano gani kati ya kula pesa ya serikali na kupenda kula kula kisha kunenepa ovyo.

Matataizo yao ni
1) kuonekana mzee ungali kijana,
2) kupumua kwa shida na
3) kukoroma ovyo

Acheni kula kula ovyo wazee, unene kupitiliza hasa katika umri mdogo ni hatari kwa afya
Ni matokeo ya kuridhika haraka na kujisahau kwamba maisha pia yana vipindi vya msimu wa masika(kupata) na kiangazi(kukosa) vyanzo vya mapato. Ukitaka kuamini ngoja kipindi cha mabadiliko ya msimu ndo utaelewa umri ukifika(kustaafu/kusimamishwa kazi)😎
 
Ni kweli,madogo wananenepa sio poa
halafu kila siku kutuuliza mbona mabro mko vile vile, nina kisa cha dogo mmoja tulienda nae ughaibuni mwezi tukawekwa apartment moja tunashare jiko, aisee dogo saa kumi na moja unasikia huko jikoni keshaliamsha, saa nne kaagiza tena, saa tisa anasema njaa kali, saa mbili usiku anamalizia, mvinyo usisema utafikiri vile vitu vinaisha, anahema kwa shida huyo
 
Hawa jamaa zetu hasa wa umri wa kuanzia 26 mpaka 35, hiyo miili mikubwa na mavitambi yasiyoeleweka mnavipata vipi haraka haraka, na ni juzi tu mmetoka shule mkiwa wembamba kama rula, yaani mtu mnafanya kazi sawa, dili za hapa na pale mnapiga wote fresh, lakin mwenzako anafutuka tu kama kifutu sababu ya kula kula ovyo kisa pesa ipo, Mbona wale wengine ambao ni wa age hizo na wanapambana mtaani miili yao iko fresh tu,
kuna uhusiano gani kati ya kula pesa ya serikali na kupenda kula kula kisha kunenepa ovyo.
Hao hapo
1739557828674.png
 
Back
Top Bottom