To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
🤣🤣🥴Na nafua kweli ukiniletea habari sizo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🥴Na nafua kweli ukiniletea habari sizo
Ukijichanganya utajuta
Sithubutu hata kuingia.... mwambie apambane na hali yake🙌Ukijichanganya utajuta
Sithubutu hata kuingia.... mwambie apambane na hali yake🙌
🤣🤣🤣🤣Sijaelewa ujue...View attachment 3237750
Kuna muda hata kabatini vyombo lazima vigongane. Huyu nae alijichanganya
Ujaelewa nini sasa?🤣🤣🤣🤣Sijaelewa ujue...
Kuna muda huwa najiuliza hivi siye members wa jf tupo mtaani kweli?
Mbona humu ni kama tuna tabia ogopeshi sana😳
Mh,aisee....sisi tuna tabia za ajabu sana mkuuUjaelewa nini sasa?
Ndio sisi sisi tuliopo mtaani
Samaleykum,
Hawa jamaa zetu hasa wa umri wa kuanzia 26 mpaka 35, hiyo miili mikubwa na mavitambi yasiyoeleweka mnavipata vipi haraka haraka, na ni juzi tu mmetoka shule mkiwa wembamba kama rula, yaani mtu mnafanya kazi sawa, dili za hapa na pale mnapiga wote fresh, lakin mwenzako anafutuka tu kama kifutu sababu ya kula kula ovyo kisa pesa ipo, Mbona wale wengine ambao ni wa age hizo na wanapambana mtaani miili yao iko fresh tu,
kuna uhusiano gani kati ya kula pesa ya serikali na kupenda kula kula kisha kunenepa ovyo.
Matataizo yao ni
1) kuonekana mzee ungali kijana,
2) kupumua kwa shida na
3) kukoroma ovyo
Acheni kula kula ovyo wazee, unene kupitiliza hasa katika umri mdogo ni hatari kwa afya
Ndio ubinadam ulivyoMh,aisee....sisi tuna tabia za ajabu sana mkuu